The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

filamu

Irene Paul Humwambii Kitu kwa Shilole

STAA wa filamu za kibongo, Irene Poul amewakata vilimi mastaa wa kike wa Bongo kwa kuwaambia kuwa hakuna staa mkubwa Bongo kama Zuwena Mohammed ’Shilole’. Akizungumza na AMANI, Irene amesema kuwa mwanamama Shilole ni mfano wa kuigwa…

Wastara Awaburuza Steps Kortini

STORI: HAMIDA HASSAN NA GLADNESS MALLYA | RISASI JUMAMOSI STEPS Entertainments, ambayo ni kampuni ya kusambaza filamu Tanzania, imepelekwa mahakamani na Wastara Juma, anayeidai kiasi kikubwa cha fedha baada ya kukataa kumlipa, Risasi…

Mpenzi Wangu Anapenda Ngono tu!

Na Anko Nangale/GPL HABARI anko? Nina mpenzi wangu nimeishi naye miaka miwili simuelewi, anapenda ngono tu. Nimeshachoka kuishi maisha ya kibachela, nimemuomba japo aende kwetu ajulikane anasema ningoje, nifanyeje anko na miaka…

Uthamani wa Muvi ni Uhalisia

Na Salum Milongo/GPL Neria ni filamu ya Zimbabwe aliyochezwa mwaka 1993, iliyoandikwa na mwandishi Tsitsi Dangarembga. Filamu hii iliyoongozwa na Godwin Mawuru na kwa kushirikiana na Louise Riber. Ni filamu ya juu kwa hadhi katika…

Genevieve Aolewa, Atundikwa Mimba

Na ANDREW CARLOS| GAZETI LA IJUMAA| KUTOKA NAIJA KONGWE wa filamu kutoka Nollywood, Genevieve Nnaji anadaiwa kuolewa kisirisiri akiwa ametundikwa mimba. Kwa mujibu wa chanzo, Genevieve aliyewahi kutikisa na filamu ya Most Wanted,…

Rita Dominic Apondwa kwa Kujizeesha

Rita Dominic Na MWANDISHI WETU | IJUMAA | Kutoka Nija ZIKIWA zimepita saa chache tangu atupie picha mtandaoni ikimuonesha akiwa na nguo zilizomzidi mwili ‘oversize’, mashabiki wa mkongwe wa filamu kutoka Nollywood, Rita Dominic…