The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Kichuya

Kichuya Aahidi Balaa Namungo

Mshambuliaji mpya wa Namungo FC, Shiza Kichuya anasema bado ana matumaini ya kurejea kwenye kiwango cha juu kama ilivyokuwa zamani. Kichuya amejiunga kwa mkataba wa miaka miwili kwenye kikosi hicho chenye maskani yake…

Kichuya Mambo Magumu Misri

TANGU kipenzi cha mashabiki wa Simba, Shiza Kichuya atue kwenye ardhi ya Misri hajawahi kushangilia ushindi na timu yake ya ENPPI. Tena mbaya zaidi ipo nafasi ya mwisho kabisa kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Misri. Kichuya…

 Mzungu amfungukia Kichuya

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems, amefunguka kuwa kitendo cha Shiza Kichuya kutoanza kwenye michezo iliyopita si tatizo, bali ameamua kufanya hivyo ili kuona viwango vya waachezaji wake wengine. Mchezo uliopita wa…

Kichuya Aahidi Mabao Zaidi Simba

AKIFUNGA bao lake la kwanza katika msimu huu wa Ligi Kuu Bara, kiungo mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya ameibuka na kutamba kuwa huo ni mwanzo, bado ataendelea kufumania nyavu. Kauli hiyo ameitoa ikiwa ni saa chache tangu mchezo wao…

Simba: Mpeni Msuva Tuzo Yake

NA OMARY MDOSE | CHAMPIONI | HABARI KOCHA Msaidizi wa Simba, Jackson Mayanja raia wa Uganda, amesema katika mbio za kuwania Tuzo ya Mfungaji Bora Bara msimu huu, anaona kiungo wa Yanga, Simon Msuva ndiye mwenye nafasi kubwa ya…

Jina la Kichuya Laingia Uganda

Musa Mateja, Dar es Salaam | CHAMPIONI UWEZO anaouonyesha kiungo mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya, umekuwa gumzo kiasi cha kuvuka mipaka na kuingia Uganda, kwani aliyewahi kuwa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Emmanuel Okwi…

Tambwe: Huyu Kichuya ni Hatari Aisee

KASI ya kuzifumania nyavu ya winga wa Simba, Shiza Kichuya aliyonayo sasa katika Ligi Kuu Bara, imempagawisha mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe (pichani juu) ambaye amekiri kuwa jamaa anatisha.Tambwe amedai kuwa kwa sasa Kichuya…