The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

mo dewji

Mo afanya jambo Simba

BAADA ya Simba kuanza msimu huu kwa matokeo yasiyoridhisha, klabu hiyo imeamua kuunda kamati ya vigogo watatu ambao watakuwa maalum kwa ajili ya kurudisha hamasa kikosini hapo. Vigogo hao ni mwekezaji wa klabu hiyo, Mohamed…

Mo Aimaliza Yanga SC Mapema tu

BAADA ya kikao kizito kilichofanyika kati ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’, Mtendaji wa Klabu, Barbara Gonzalez na Kocha Mkuu, Didier Gomes, imebainika kwamba wachezaji wameahidiwa bonasi mara tatu zaidi…

MO Ampa Maagizo Mazito Gomes

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ amempa maagizo mazito kocha mkuu wa klabu hiyo Mfaransa, Didier Gomes kuhakikisha klabu hiyo inatwaa makombe yote ya ndani ambayo watashiriki na kufika angalau nusu fainali…

Mo Dewji Ampa Shavu Mondi

Mfanyabiashara na bilionea maarufu Bongo, Mohamed Dewji amempongeza Msanii machachari wa Bongofleva, Naseeb Abdul, ‘Diamond Platnumz’ kwa kuteuliwa kuwania tuzo za BET awards. Mo ambaye ni Mwekezaji na mwenyekiti wa bodi ya…

Mo Awachokoza Yanga SC

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, bilionea Mohammed Dewji ‘Mo’, ni kama amepiga kijembe kwa watani wao wa jadi, Yanga, hiyo ni baada ya kutamka kuwa wanatamani kupata upinzani kwenye Ligi Kuu Bara, kauli ambayo inamaanisha…

Mo Aleta Kifaa Kipya Simba SC

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’, ameleta kifaa kipya kutoka nje ya nchi kitakachotumika kuwapima wachezaji wao. Hiyo yote katika kuhakikisha wanatengeneza fitinesi ya…

Mo Dewji Amaliza Utata Chama na Mukoko

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba Mohammed Dewji, amethibitisha kuwa mchezaji Clatous Chama, amesaini mkataba wa miaka miwili zaidi na klabu hiyo, awali kulikuwa na tetesi kuwa huenda angesajiliwa na…

Mo Ajibu Mapigo, Aweka mil 120

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, bilionea, Mohammed Dewji ‘Mo’ naye jana usiku alivamia kambi ya timu hiyo na kula chakula cha pamoja na wachezaji wake sambamba na kufanya kikao kizito na mastaa wake. Hiyo yote…