Simba Watambulisha ‘Jembe jipya’ Onana kutoka Cameroon
Rasmi uongozi wa Simba Sports Club, umemtambulisha mchezaji wao mpya Willy Essomba Onana(23) , ambaye amesajiliwa ili kuongeza nguvu katika kikosi cha wekundu wa msimbazi simba kuelekea msimu ujao wa soka.
Simba wamefanikiwa…