The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

Waziri Mkuu

Majaliwa Achangisha Mil. 18.9 Kumsaidia Mtoto Miriam

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameendesha harambee ya papo kwa papo na kuchangisha sh. milioni 18.9 ambapo kati ya hizo, sh. milioni 10 zimetolewa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akifuatilia tukio hilo kupitia Televisheni.…