Makonda, Chalamila Wapigiwa Shangwe Bungeni, Naibu Spika Akiwatambulisha Wakuu Wa Mikoa – Video
Wakuu mbalimbali wa mikoa, wakiwemo Paul Makonda wa Arusha, Albert Chalamila wa Dar es Salaam, Antony Mtaka wa Njombe na wengine wengi, leo April 16, 2024 wametinga bungeni jijini Dodoma.
Wakuu hao wa mikoa wametambulishwa na Naibu Spika, Mussa Hassan Zungu ambapo wamepigiwa makofi kwa wingi.