Simba Waanza Mipango ya Kumrejesha Shiza Kichuya Kikosini, Bosi Afunguka
SIMBA SC ipo katika mipango ya kumrejesha kikosini kwao kiungo mshambuliaji, Shiza Kichuya ambaye hivi sasa anakipiga Namungo FC.
Hiyo ni katika kuhakikisha wanaimarisha kikosi chao maeneo yote muhimu kuelekea msimu ujao wa…