LINAH, BELLE9 KUKIWASHA IRINGA WASAFI FESTIVAL…
BAADA ya uzinduzi wa kutisha wa Wasafi Festival kufanyika katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, leo (Ijumaa) moto utawaka ndani ya Uwanja wa Samora mkoani Iringa ambapo wakali wapya Linah pamoja na Belle9 wameongezwa kwenye…