Tanzia: Kamanda Kidavashari Afariki Dunia
NAIBU Kamishna wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, Zahir Kidavashari, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne, Novemba 17, 2020 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya DCMC Ntyuka jijini Dodoma.
Kidavashari…