The House of Favourite Newspapers
Browsing Category

Biashara

Serikali yafuta Tozo ya Mafuta

WIZARA ya Nishati nchini imefikia uamuzi wa kuondoa tozo ya Tsh 100 kwa kila lita ya Dizeli, Petroli na mafuta ya taa. Tozo hiyo ilipaswa kulipwa na watumiaji wa mafuta nchini humo kuanzia mwezi Machi mpaka Mei, mwaka huu huku taifa…

Balsingh Bosi Mpya Airtel

KAMPUNI ya Airtel Tanzania Plc imetangaza mabadiliko katika timu yake ya uongozi kwa kumteua Dinesh Balsingh kuwa Mkurugenzi Mkuu Mteule wa Airtel Tanzania Plc, kufuatia kujiuzulu kwa George Mathen. Taarifa iliyotolewa Jumatano na…

Maonesho ya TANTRADE za Kutikisa Desemba Hii

Aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dr. John Pombe Magufuli pamoja na serikali yake, alihimiza kuwepo kwa uchumi wa viwanda huku hamasa zaidi ikitolewa kwa wazawa kujenga viwanda hivyo nchini! Lengo kubwa la mpango huo…