×

Celebrities

Salam SK Ataja Msanii Anayetajwa Kujitoa WCB

Kutoka twitter meneja wa WcB Wasafi @sallam_sk amefichua kwa mara ya kwanza kuhusu uvumi wa msanii aliyetajwa kujiengua kutoka kwenye...

READ MORE

Jay Z, Robin Thicke, Kelly Rowland, Meek Mill Waungana

Jay Z na wasanii wengine, akiwemo Robin Thicke, Kelly Rowland, Meek Mill, wamejitokeza na kuomba marekebisho sheria ya New York...

READ MORE

Muna Yuko Hoi Kisa Sajari?

IMEDAIWA kwamba, kwa wiki ya pili sasa, msanii wa Bongo Movies, Rose Alphonce Nungu haonekani huku tetesi zikisema kuwa sajari...

READ MORE

Zuchu Asifia Mpenzi Wake… Kisa Kipo Hapa

MALKIA mwingine wa Bongo Fleva, Zuhura Othman au Zuchu amemsifia mpenzi wake baada ya kumnunulia zawadi ambayo alikuwa anaitamani mno....

READ MORE

Harmonize Akanusha Kuachana na Briana

MWANAMUZIKI wa muziki wa kizazi kipya, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ leo Januari 23, 2022 amebadiliki amebadili maamuzi yake juu ya hali...

READ MORE

Defao Azikwa Kitaifa DRC

MWAMAMUZIKI wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo François Lulendo Matumona, maarufu General Defao amezikwa Jumamosi hii katika mazishi ya kitaifa....

READ MORE

Idris Elba Kuigiza Kama James Bond

PRODUCERS  wa filamu za 007 James Bond, Barbara Broccoli na Michael G. Wilson wamethibitisha kuwa Jina la Idris Elba ni...

READ MORE

21 Savage Kuachia Albamu Mpya

RAPA maarufu duniani, 21 Savage ametangaza ujio wa album mpya ikiwa ni mwaka mmoja na nusu tangu atoe albam yake....

READ MORE

Davido & Wizkid Wamaliza Bifu

WASANII wakubwa Barani Afrika na duniani kutokea pande za Nigeria, Ayodeji Ibrahim Balogun ‘Wizkid na David Adedeji Adeleke ‘Davido’ wamemaliza...

READ MORE

Akon Anadaiwa Bilioni 9.2

MSANII nguli wa muziki duniani kutoka pande za Senegal, Akon anadaiwa mkwanja na aliyekuwa mshirika mwenzake (business partner) Devyne Stephens...

READ MORE

Mpenzi wa Kanye Apata Dili Nono

Mpenzi mpya wa Kanye West, Julia Fox amelamba dili kubwa Hollywood la kuigiza katika filamu ya msanii nguli na mashuhuri...

READ MORE

Harmonize Athibitisha Kuachana na Bryana

Huenda penzi la mwanamuziki na C.E.O.wa KondeGang Harmonize na mpenzi wake mzungu raia wa Australia #Bryana limevunjika , kulingana na...

READ MORE

Harmonize Kutoa Nyimbo Mfululizo

MWANAMUZIKI wa muziki wa kizazi kipya, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ amesema mwaka 2022 atawashangaza wengi kwa kutoa nyimbo mfululizo, ambazo zingine...

READ MORE

Arnold Schwarzenegger Apata Ajali

MUIGIZAJI mkongwe wa filamu za Hollywood na Gavana wa zamani wa Jimbo la California, Arnold Alois Schwarzenegger (74) amepata ajali...

READ MORE

TID Mnyama Kuachia Kombora la Albam

LEGENDARI wa muziki wa Bongo Fleva, Khalid Mohamed ‘TID’ ametangaza kuachia albam yake mpya na ya sita amabyo ameipa jina...

READ MORE

Vee Money, Diamond Kwenye Tuzo Moja na Beyonce

Pamoja na Mwanadada Vanessa Mdee kuachana kabisa na mambo ya mziki na kuamua kufanya mambo mengine,ametwaja kuwania tuzo kubwa za...

READ MORE

Siri ya Bill Nass na Sugu Yafichuka

RAPA maarufu Bongo, William Nicholaus Lyimo Bill Nass amefunguka chanzo cha ukaribu wake na legend wa muziki huo wa rap...

READ MORE

Hatimaye Nuh Mziwanda Afuta Tattoo ya Shilole

ALIYEWAHI kuwa mpenzi wa mwanamuziki na mjasiriamali Zuwena Yusuf Mohammed maarufu kama Shilole, msanii Nuh Mziwanda hatimaye amefuta tattoo aliyokuwa...

READ MORE

Hadija Kopa Abariki Ndoa ya Diamond na Zuchu

MALKIA wa mipasho Bongo, Hadija Omary Kopa amesema haoni tatizo kwa msanii Diamond Platnumz kumuoa mtoto wake Zuchu kwa kuwa...

READ MORE

Diamond Ampongeza Dkt. Ackson Tulia

Staa na Rais wa Lebo ya WCB, Diamond Platnumz ampongeza Tulia Ackson kwa kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa...

READ MORE

Priyanka Chopra na Nick Jonas Wapata Mtoto

MREMBO Priyanka Chopra(39) na Nick Jonas(29) wapata mtoto wa kike baada ya kumuajiri mwanamke wa kuwabebea mimba yao(surrogate). Mtoto amezaliwa...

READ MORE

Mavoko: Wanaofanya Amapiano Bongo Waachwe

STAA maarufu wa Bongo Fleva, Richard Martin Lusinga Rich Mavoko amezungumzia kuhusu muziki wa #Amapiano kuendelea kusikika kwenye soko la...

READ MORE

Janjaro: 2022 ni Mwaka wa Kuwasaidia Wachanga

RAPA maarufu Bongo, Abdulaaziz Chande ‘Dogo Janja’ amesema kuwa kwake yeye mwaka 2022 ni mwaka wa kuwassapoti wasanii wachanga ikiwa ni...

READ MORE

TID Alia na Tanzania Kukosa Tuzo Zake za Muziki

MSANII nguli wa Bongo Fleva, Khalid Mohamed ‘TID’ ametoa sababu zake kuhusu muziki wa Bongo Fleva kutosikika kama zamani na...

READ MORE

Moni Centrozone Afungukia Country Boy Kusepa Konde Gang

RAPA maarufu Bongo, Awadhi Chami ‘Moni Centrozone’ amefungukia kuhusu rafiki yake wa muda mrefu, Ibrahim Mandingo ‘Country Wizzy’  kuondoka katika...

READ MORE

P Diddy Arejea na Mzuka si wa Nchi Hii

RAPA maarufu duniani Sean John Combs ‘P Diddy’ ameanza kazi ya kukamilisha albamu yake mpya ambayo hapo awali aliahidi angeitoa...

READ MORE

Kisa Kanye, Mchumba wa Kim Kardashian Aajiri Walinzi

UNAAMBIWA mpenzi mpya wa mwanamitindo maarufu duniani, Kim Kardashian aitwaye Pete Davidson ameajiri walinzi binafsi kwa mara ya kwanza baada...

READ MORE

Diamond Amlipia Tiffah Milioni 50

DIAMOND Platinumz ni staa mkubwa wa muziki barani Afrika; ni staa mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye mitandao ya kijamii kwa...

READ MORE

Pete ya Miba, Ukivua Imekula Kwako

Rapper Machine Gun Kelly (31) amethibitishwa kwenye Jarida la Vogue kuwa pete ya mchumba wake Megan Fox (35) imewekewa miba...

READ MORE

Vic Mensa Anaswa na Mihadarati Marekani

HIT maker wa ngoma ya ‘You Mad’ rapa Vic Mensa amekamatwa kwa kosa la kujaribu kuingia nchini Marekani na mihadarati...

READ MORE

Cardi B Kufuata Nyayo za Amber Rose

RAPA maarufu kutoka pande za Marekani, Belcalis Marlenis Almánzar ‘Cardi B’ amesema kuwa ana mpango wa kufuata nyayo za msanii...

READ MORE

Ukimtaka Adele, Jipange

STAA wa muziki kutoka nchini Marekani ambaye ni mzaliwa wa uingereza, Adele Laurie Blue Adkins ‘Adele’ ameripotiwa na vyombo mbalimbali...

READ MORE

Fid Q: Mwaka Huu Nitapanda Mwendokasi

RAPA nguli Bongo, Farid Kubanda ‘Fid Q’ ametia neno kwenye kile ambacho rapper #Cardib ametweet kupitia akaunti yake ya Twitter...

READ MORE

Tyson Kumvaa Kijana wa Miaka 25

TAARIFA kutoka Gazeti la The Sun inasema kuwa bondia mkongwe na mashuhuri duniani Mike Tyson (55) yuko katika hatua za...

READ MORE

Tommy Kuachia Dude la Maana

MSANII wa Bongo Fleva, Tommy Flavour amesema kuwa tayari ameshakamilisha albamu yake mpya ambayo yupo tayari kuitoa siku za hivi...

READ MORE

Mawakili Wamkimbia R. Kelly

MSANII maarufu duniani wa RnB, Robert Sylvester Kelly ‘R. Kelly’ ameanza kutafuta mawakili wengine wa kumuwakilisha kwenye kesi yake mjini...

READ MORE

Mwijaku: Billnass Alipewa Mil 100 na Nandy

VIDEO Clip ya msanii Billnass akiwa anaonyesha begi lililojaa mpunga imekuwa ikisambaa mitandaoni huku kila mmoja akireact kivyake.   Kwa...

READ MORE

Majibu ya Nenga kwa Nandy Yashtua

NANDY au The African Princess ni malkia wa muziki Afrika Mashariki akiwa ni zao la Nyumba ya Kukuza VipajiTanzania (THT)....

READ MORE

Tuzo za Grammy Zarejea Tena

HATIMAYE zile Tuzo kubvwa duniani za Grammy 2022 zimerejea tena baada ya kusitishwa kwa muda kwa kile kilichodaiwa kuwa ni...

READ MORE

Davido Aanika Ndinga Yake Mpya ya Tsh Bilioni 1.27, Inakuja!

MWANAMUZIKI kutoka nchini, Nigeria David Adeleke Adeleji maarufu Davido jana Januari 20, 2022 kupitia ukurasa wake wa twitter ameposti gari...

READ MORE