×

Global TV Online

Mageuzi Reli ya Tazara, Jenerali Mabeyo Awakaanga Wenzake, Gumzo Utendaji Rais Samia – Video

Karibu kutazama na kusikiliza na kutazama Kipindi cha FRONT PAGE kila siku kuanzia JUMATATU hadi IJUMAA kuanzia Saa 2:30 Asubuhi…

READ MORE

Timbwili Laibuka kwenye mazishi ya mwendesha bodaboda, Gidion Sanaa ‘Bakhresa’ wa Tabata- Video

Timbwili limeibuka kwenye mazishi ya mwendesha bodaboda, Gidion Sanaa almaarufu Bakhresa wa Tabata ambaye aliuawa kikatili kwa kupigwa na kuchomwa...

READ MORE

Dorothy Afunguka Zitto Kabwe Kugombea Urais 2025 – Video

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amefunguka tetesi za aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe...

READ MORE

Dorothy Mrithi Wa Zitto Ajibu Kwa Nini Makamu Wa Kwanza Zanzibar Hana Nguvu Kama Makamu Wa Pili – Video

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo aliyechukua nafasi ya Zitto Kabwe ndani ya chama hicho, mwanamama Dorothy Semu amefunguka...

READ MORE

#Exclusive: Mkubwa Fella Afunguka Zuchu Kufungiwa Zanzibar -Video

MENEJA wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul almaarufu Diamond Platnumz, Said Fella maarufu kama Mkubwa Fella amefunguka sakata...

READ MORE

#Exclusive: Mke Wa Mkubwa Fella Aliyempata Kidato cha Kwanza Afunguka Mazito – Video

Global Tv imefanya mahojiano na mke wa meneja wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul almaarufu Diamond Platnumz, Said...

READ MORE

Silaa Atoa Gari Lake Kumuwezesha Kikongwe Wa Miaka 98 Kulipwa Fidia Aliyodai Kwa Muda Mrefu – Video

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,  Jerry Silaa amempa gari lake Bibi Mariam kikongwe ili limpeleke kwa Mkurugenzi...

READ MORE

Video: Ajali Arusha Yaua Watu 5 Wakitoka Kwenye Mnada – Daladala Iliigonga Gari Ya Mbao

Kufuatia ajali iliyohusisha daladala iliyokuwa inatoka mnadani na lori la magogo jijini Arusha na kusababisha vifo vya watu takribanmi watano,...

READ MORE

Mama Mjane Asimulia Mumewe Kulawiti Mabinti Zake Wawili, Atupwa Jela Miaka 60 – Video

Maisha yana siri nzito nyuma ya pazia Global TV inakuletea kisa kizito cha mwanamke ambaye mabinti zake wawili wamelawitiwa na...

READ MORE

#Exclusive: Flaviana Temba – Niliumizwa Vibaya, Mpenzi Wangu Alitembea na Rafiki Yangu -Video

Mwanadada mjasiriamali Flaviana Temba @officialflaviana_temba aliyetoboa kwa kuuza viatu, akianzia kuuza mitandaoni mpaka sasa akiwa na duka kubwa, amesema ni...

READ MORE

Dada Amwaga Machozi Baada Ya Kuhudumiwa Na Waziri Silaa – Video

Mkazi wa Jijini Mwanza Theopista Alphonce (kulia). Mkazi wa Jijini Mwanza Theopista Alphonce mkazi wa Nyasaka jijini Mwanza ameikuta anaangua...

READ MORE

Mc Podoa: Wadada Wa Saluni Za Kiume Wanavunja Ndoa – Kwa Siku Naondoka Na Elfu 40 – Video

MC Podoa amefunguka Mwanzo mwisho yanayoendela kwenye masaluni ya kiume Burbarshop Yeye ni mmoja kati ya waliofanya kazi hio kwa...

READ MORE

#Exclusive: Kajala Amkana Harmonize – “Paula Au Mimi Nikifa Mmoja Atapata Tabu Sana” – Video

STAA mkali kwenye kiwanda cha filamu nchini Tanzania almaarufu Bongo Movies, Kajala Masanja amefanya mahojiano na Global Tv na kudai...

READ MORE

Chalamila: Waliniambia Nitoke CCM Nihamie Chama Kingine – CCM Tunafitinishana Wenyewe – Video

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila amesimulia namna wanachama wenzake wa Chama Cha Mapinduzi walitaka ahamie chama...

READ MORE

#Exclusive: Mama Bonge Wa Kariakoo Amjia Juu Niffer – “Anavuka Mipaka, Atuombe Msamaha” – Video

Mfanyabiashara maarufu wa Kariakoo jijini Dar es Salaam Sinyaa, amefanya mahojiano na Global Tv na kudai kuwa Niffer aliwatukana wafanyabiashara...

READ MORE

Bibi Miaka 68 Asimulia Alivyowashinda Majambazi 4 Mchana, Kuitwa Jeshini – Video

Rose Yoramu (68) ni mwanamke ambaye ni mlinzi wa ‘yard’ kubwa ya magari iliyopo Mikocheni kwa Warioba. Akizungumza na Global...

READ MORE

#Breaking: Mfanyabiashara Maarufu Babu Rama Wa Kariakoo Ajiua Kwa Kujipiga Risasi Kichwani – Video

Mfanyabishara maarufu wa mikoba katika Mtaa wa Kongo kwenye Soko Kuu la Kimataifa la Kariakoo jijini Dar, Ramadhani Ntunzwe almaarufu...

READ MORE

Khadija Majanga Amwaga Machozi Akisimulia Mwanaye Alivyofia Swimming – Video

Msanii wa Bongo Muvi, Khadija Majanga amefunguka kwa uchungu jinsi alivyompoteza mtoto wake wa kike, ambaye alifariki kwenye bwawa la...

READ MORE

Carina Ashindwa Kutoka katika Hospital ya Rufaa ya Bugando Kisa Deni

UPDATES; Deni la shilingi milioni tatu, limemfanya msanii wa Bongo Muvi, Carina kushindwa kutoka katika Hospital ya Rufaa ya Bugando,...

READ MORE

Rais Samia Awaongoza Wananchi Wa Visiwa Vya Zanzibar Kuaga Mwili Wa Hayati Alhaj Ali Hassan Mwinyi (Picha +Video)

Rais Samia awaongoza viongozi na wananchi wa Visiwa vya Zanzibar kuaga mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa...

READ MORE

Video; Umati Wafurika Uwanja Wa Uhuru Kumuaga Hayati Ali Hassan Mwinyi – Video

Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed Ali ameungana na Watanzania na viongozi wakuu wa Serikali katika kutoa heshima za mwisho...

READ MORE

Mwili wa Hayati Ali Hassan Mwinyi ulivyowasili Msikiti wa BAKWATA Kinondoni Dar – ViDEO

Mwili wa Hayati Ali Hassan Mwinyi, ulivyowasili katika Msikiti wa BAKWATA Makao Makuu Kinondoni Dar es Salaam, kwa ajili ya...

READ MORE

Said Salim Bakhresa Afika kutoa rambi rambi katika msiba wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania

Mmiliki wa Bakhresa Group, Said Salim Bakhresa (mwenye miwani ya rangi nyeusi) amefika kutoa rambi rambi katika msiba wa aliyekuwa...

READ MORE

#Part2: Kumbuka Afichua Alichofanyiwa Na Mwamposa,Tangu Siku Hiyo Sijamuacha Mungu | Hard Talk

Mtangazaji na mshereheshaji mwenye jina lake hapa mjini, Kumbuka ameelezea jinsi mtumishi wa Mungu Mwamposa alivyomuita madhabahuni na kumueleza shida...

READ MORE

Saleh Jembe: Ni Kosa Kumlinganisha Chama Na Pacome – Kweli Mo Dewji Ashukuriwe Yanga Kufuzu

Mchambuzi na mwandishi nguli wa michezo, Saleh Ally amefanya mahojiano na baadhi ya waandishi wa habari na kuwaeleza kuwa kiwango...

READ MORE

Big Interview: Heche Na Ziara Za Makonda “Amekuwa Mpokea Taarifa”-Video

GLOBAL TV imefanya mahojiano maalum na Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche na...

READ MORE

Esma Platnumz Afunga Ndoa na Mpenzi wake Rashid Shaibu ‘Jembe One’ – Video

Mwanamama maarufu kwenye mitandao ya kijamii (sosholati) na dada wa staa wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platnumz, ESMA Khan au...

READ MORE

Bashe Atoa Kauli Nzito Sakata La Sukari – ”Wafanyabiashara 28 Tumewakamata -Tumeshawabeba Sana” – Video

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema licha ya tatizo la uhaba nchini lililosababishwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kunyesha kwa mvua...

READ MORE

Sanamu La Nyerere Lavunja Mbavu Watu Ikulu – ”Madaraka Nyerere Amesema Yule Ni Baba Yake” – Video

Serikali ya Tanzania kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi...

READ MORE

Mkurugenzi Wa Mawasiliano Ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus Azungumza Na Wahariri – (Video+Video)

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus pamoja na Viongozi wengine wakizungumza na Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari...

READ MORE

Naibu Waziri Biteko Awalipua Tanesco Makao Makuu – ”Idara Ya Manunuzi Wawabadilishe” – Video

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema utekelezaji wa mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JHNPP)...

READ MORE

Video: Kijana Afunguka Mazito, Apitia Maisha Magumu Hata Kula yake Imekuwa ya Shida

Global Tv imefanya mahojiano na officialvini2024 na kueleza namna alivyohaso kutoka mkoa wa Lindi mpaka jiji lenye hekaheka zake yaani...

READ MORE

#Part1 Video: Dokta Kumbuka – ”Siku Hizi Wanawake Wengi Wanawaroga Wanaume Zao”…| Hardtalk

Kwenye Hard Talk wiki hii na mtumishi wa Mungu na mwandishi wa vitabu, Lilian Mwasha yupo na mwigizaji, mtangazaji, mshereheshaji...

READ MORE

Rais Aongoza mazishi Ya aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Mkoani Arusha (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan amesema, miongoni mwa vitu alivyojifunza kutoka kwa hayati Edward Ngoyai Lowassa...

READ MORE

Ibada Ya Mazishi Ya Aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ashiriki Ibada ya Mazishi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa...

READ MORE

Msiba Wa Lowassa Monduli; Ng’ombe 100 Zachinjwa Na Viongozi Wa Mila – Video

Baadhi ya viongozi wa kimila wamesema kuwa wanayaenzi maisha ya Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa kwa kuchinja ng’ombe 100 hivyo...

READ MORE

Mirathi Yazua Balaa Dar, Mwananchi Aibua Tuhuma Nzito ”Naomba Nionane Na Waziri Mkuu”…

Mohamed Soli, mkazi wa Gerezani, Kariakoo jijini Dar, ameomba nafasi ya kuonana na Waziri Mkuu kuhusiana na sakata lake la...

READ MORE

Mbunge Mpina Ajilipua Bungeni “Tufute Gharama za Matibabu ya Kansa” – Video

Mbunge wa Kisesa Luhagha Mpina, ametoa hoja bungeni kuhusu swala la kufuta matibabu ya gharama za kansa kwa wagonjwa kutokana...

READ MORE

Ibada Ya Kuuaga Mwili Wa Lowassa Kanisa La KKKT Azania Front

Mwili wa Waziri mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa ukiwa Katika Kanisa la KKKT Usharika wa Azania Front Jijini Dar es...

READ MORE

Msibani Kwa Lowassa: Steve Nyerere Awararua Vibaya Wasanii – Video

Msanii wa Bongo Muvi Steve Nyerere mara baada ya kufika msibani kwa aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa, amefanya mahojiano...

READ MORE