×

Habari

Safari ya Mwisho ya Rais Banda

Rais Hakainde Hichilema wa Zambia, jana, Alhamisi, Machi 17, 2022 ameongoza waombolezaji kwenye mazishi ya Kitaifa ya Rais mstaafu wa...

READ MORE

Mzozo wa Ukraine: Afisa wa China Akutana na Balozi wa Urusi – Live Updates

Afisa wa wizara ya mambo ya nje ya China alikutana na balozi wa Urusi nchini China siku ya Alhamisi ili...

READ MORE

Chadema Kuchagua Warithi wa Mdee, Wenzake

KUSUKA au kunyoa kwa wabunge 19 wa Viti Maalumu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ‘Chadema’ uamuzi wake upo mikononi...

READ MORE

‘Mfalme Zumaridi’ na Wenzake Wafikishwa Mahakamani

Diana Bundala maarufu kama ‘Mfalme Zumaridi’ na wenzake 84 leo Alhamisi Machi 17, 2022 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

READ MORE

Waliosambaza Video Za Prof Jay Mbaroni

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), linawashikilia Samuel Mhina,...

READ MORE

Watu 13 Wakamatwa, Video Ya Prof Jay Iliyovuja Akiwa ICU-Video

JESHI la polisi kanda maalum ya Dar kwa kushirikiana na mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) linawashikilia watu kwa tuhuma za...

READ MORE

Japan Yaziona Meli za Kivita za Urusi Zikielekea Ukraine

Meli nne kubwa za kivita za Urusi zimeonekana zikisafiri karibu na visiwa vya Japan vya Honshu na Hokkaido zikielekea Ulaya,...

READ MORE

Marekani Kupeleka Ukraine Ndege Hatari Zisizo na Rubani

Marekani inatuma ndege 100 zisizo na rubani nchini Ukraine kama sehemu ya msaada mkubwa wa kijeshi uliotangazwa na utawala wa...

READ MORE

Putin Azipiga Mkwara Mzito Nchi Za Magharibi

RAIS wa Urusi, Vladimir Putin kupitia njia ya runinga ameyapiga mkwara mzito mataifa ya Magharibi huku Marekani akiwa mlengwa mkuu...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Watanzania Kuadhimisha Mwaka Mmoja wa Hayati Magufuli -(Picha +Video)

LEO Alhamisi, Machi 17, 2022 ni siku ya kumbukizi ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya 5 wa Jamhuri...

READ MORE

Rais Joe Biden Amwita Putin Kuwa Mhalifu wa Kivita

Wakati hali ikiendelea kuwa mbaya nchini Ukraine, Rais Joe Biden wa Marekani amemwita rais wa Urusi Vladimir Putin kuwa ni...

READ MORE

Sabaya Aumwa Ghafla Akisikiliza Utetezi Wa Mshtakiwa Mwenzake-Video

KESI ya Uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na Wenzake Saba imemaliza kusikilizwa hapo...

READ MORE

Mwaka Mmoja Bila Kishindo Cha Magufuli, -Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…...

READ MORE

Samsung Yawakutanisha Wadau Wa Afrika Mashariki

Kampuni ya kielektroniki ya Samsung, imefanya mkutano katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha wadau mbalimbali...

READ MORE

Washindi 100 wa Droo ya 10 NMB MastaBata Wapatikana

    DROO ya wiki ya mwisho ya msimu wa tatu wa Kampeni ya ‘NMB MastaBata Kivyako Vyako’ inayoendeshwa na...

READ MORE

Mwanafunzi ajinyonga kwa waya Dar

Mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari Mpigimagohe iliyopo Mbezi, Abdul Kasuku (16) amejiua kwa kujinyonga kwa waya...

READ MORE

Ahukumiwa Miaka 30 Jela kwa Kumbaka Mwanafunzi Mara mbili

Furaha Samweli Ligate (26) mkazi wa kijiji cha Unyangala wilaya ya Makete mkoani Njombe amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela...

READ MORE

Serikali Yaendelea Kuimarisha Huduma Kwa Watu Wenye Ulemavu

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan ameziagiza Wizara za Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi...

READ MORE

Mhariri wa Urusi Aliyekatiza Habari Kupinga Vita Hajulikani Alipo

Mwandishi wa habari wa Urusi ambaye alikatiza kipindi cha moja kwa moja cha habari kweye televisheni kupinga vita vya Ukraine...

READ MORE

Live Updates: ICC Kutoa Uamuzi wa Uvamizi wa Urusi Nchini Ukraine

Mahakama ya kimataifa ya makosa ya uhalifu, ICC inataraji hii leo kutoa maamuzi kuhusu ombi la dharura la Ukraine la...

READ MORE

Emirates Kuanza Kutangaza Vivutio Vya Utalii Vya Tanzania

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Uongozi wa juu wa Shirika la ndege la Umoja wa...

READ MORE

Vita vya Ukraine: Viongozi wa Ulaya Wapanda Treni Kukutana na Zelensky

Ukraine imepongeza ujasiri wa viongozi wa Ulaya waliosafiri kwa treni kutoka Poland hadi Kyiv kuonesha mshikamano wao baada ya mji...

READ MORE

Serikali Yakamilisha Mifumo Ya Kidigitali Ya Wasanii

Serikali kupitia Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Bodi ya Filamu na Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) imefanikiwa kuzindua mifumo...

READ MORE

Waziri Balozi. Dkt Pindi Chana Atoa Faraja kwa Waraibu Dawa za Kulevya

    WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Mhe.Balozi Dkt.Pindi Chana amewataka waraibu wa dawa...

READ MORE

Video: Rais Samia Azungumza Na Watu Wenye Ulemavu Ikulu – Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo march 16, 2022, amekutana na kuzungumza na watu...

READ MORE

Benki ya Exim Yakabidhi Msaada wa Madawati 100 Mbeya

Benki ya Exim Tanzania imekabidhi msaada wa madawati 100 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 20 mkoani Mbeya ikiwa...

READ MORE

Trump Aibuka, Ampinga Vikali Putin

RAIS wa zamani wa Marekani, Donald Trump ameibuka kwa mara ya kwanza na kuzungumzia vita inayoendelea baina ya Urusi na...

READ MORE

Vodacom Yaungana na Eutelsat Mtandao Wenye Kasi Kufikia Maeneo Yasiyofikiwa

  Dar es Salaam, 15 Machi 2022 – Vodacom Tanzania, kampuni inayoongoza katika huduma za kiteknolojia nchini imetangaza kutia saini...

READ MORE

Live Updates: Urusi Yatangaza Vikwazo Dhidi ya Biden

Urusi imemuwekea vikwazo Rais wa Marekani Joe Biden, wizara yake ya mambo ya nje inasema. Wizara ya mambo ya nje...

READ MORE

Mwandishi Mwingine Auawa Ukraine Akiripoti – Video

Mwandishi wa habari na mpiga picha wa kituo cha Fox News, Pierre Zakrzewski aliyekuwa na umri wa miaka 55, ambaye...

READ MORE

Lulu: Ndoa Tamu Sana, Ajiachia Insta!

ELIZABETH Michael almaarufu Lulu au Mama G; ni mwanamama wa Bongo Movies na mjasiriamali ambaye ametrendi kutokana na Wimbo wa...

READ MORE

Wafanyakazi wa Kike SGA Watoa Vifaa Ocean Road

  WAFANYAKAZI wa kike wa Kampuni ya ulinzi ya SGA Security, wamekabidhi vifaa tiba kwa uongozi wa hospitali ya saratani...

READ MORE

Naibu Spika Zungu Aipongeza NMB Kwa Kuwakumbuka Wamachinga

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Hassan Zungu ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la...

READ MORE

NMB, eGovernment Z’bar Zasaini Makubaliano Makusanyo Mapato

Benki ya NMB na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kupitia Wakala wa Serikali Mtandao ‘eGovernment Zanzibar’, wamesaini makubaliano ya...

READ MORE

Mhariri Abeba Bango Runingani Akimshutumu Putin Kudanganya (Picha +Video)

Katika kipindi cha matangazo ya moja kwa moja ya habari kutoka Kituo cha Runinga cha Channel 1 cha nchini Urusi,...

READ MORE

Urusi Yazidisha Mashambulizi Kiev – Live Updates

Vikosi vya Urusi vimezidisha mashambulizi yake kwenye mji mkuu wa Ukraine, Kiev, wakati ambapo wapatanishi wanakutana tena katika duru nyingine...

READ MORE

Jumba La Bilionea Wa Urusi Latekwa, Latumika Kuhifadhi Wakimbizi

Baadhi ya wanaharakati wameandamana katika Jiji la London nchini Uingereza na kuliteka jumba la kifahari linalomilikiwa na Bilionea wa Urusi,...

READ MORE

Bia Iliyotengenezwa Kwa Kutumia Majitaka

KATIKA juhudi za kuongeza ufahamu juu ya uwezekano wa kuyabadilisha Majitaka kuwa maji salama kampuni moja inayozalisha bia jijini Stockholm...

READ MORE

Mke Ataka Kumtoa Uhai Mumewe

Mwanamke aitwae Zainabu Mahomoka 35 ambaye ni Mkulima kutoka kijiji cha Makonjiganga Wilayani Liwale mkoa wa Lindi amenusurika kushitakiwa Mahakamani...

READ MORE