×

Habari

SportPesa Yazamini Bunge la Tanzania

  Jumanne,November 30. Kampuni ya michezo  Na burudani SportPesa leo imetoa vifaa vya michezo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi...

READ MORE

JWTZ Latoa Tamko Kuhusu Matapeli Ajira Jeshini

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetoa ufafanuzi kuhusu vitendo vya rushwa, ulaghai na utapeli vinavyofanywa na baadhi ya watu...

READ MORE

Aliyetaka Kumuua Eminem Akutwa na Hatia Nyingine

Kijana anayefahamika kama Mathew David Hughes aliyetaka kumuua Rapa Eminem kwa majaribio kadhaa mwaka 2020 aingia tena matatizo baada ya...

READ MORE

Akaunti ya Mwanafunzi Yakutwa na Bil 2.3

MAHAKAMA ya kupambana na rushwa nchini Kenya imeagiza akaunti ya benki ya ya mwanafunzi, Felesta Njoroge (21) ifungwe kwa siku...

READ MORE

Wakulima Waaswa Kuchangamkia ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

Mtwara na Lindi: Novemba 29, 2021: Serikali mkoani Mtwara imesema ipo tayari kuonesha ushirikiano zaidi na taasisi pamoja na wadau mbalimbali...

READ MORE

🔴#LIVE: Mapya Kesi ya Sabaya, Wasaidizi Wake Walidai Ni TISS, Kauli Ya Samia Yazua Gumzo | FRONTPAGE

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

G7 Wakutana kwa Dharura

KUNDI la mataifa tajiri duniani ya G7 leo hii limefanya mkutano wa dharura kuhusu aina mpya ya kirusi cha Covid-19...

READ MORE

Tahadhari: Kirusi Kipya cha Corona

Shirika la Afya Duniani (WHO), Novemba 26, 2021 liliripoti uwepo wa aina mpya ya kirusi cha Uviko-19 kiitwacho “Omicron”, kinachosemekana...

READ MORE

Wanne Wauawa kwa Kupigwa Risasi na Majambazi – Video

Watu wanne wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi, tukio lililotokea huko nchini Kenya. Wakazi wa eneo...

READ MORE

Diamond: Hata Nisipoimba Nitaingiza Pesa

Staa wa muziki barani Afrika kutoka Tanzania, Diamond Platnumz amesema anaendelea kuwekeza katika biashara mbalimbali ili ikitokea hata asipofanya muziki,...

READ MORE

Mwenyekiti Wa Nacopha Awafunda Vijana

Mwenyekiti wa baraza la watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi (Nacopha) Bi. Leticia Mourice,amewafunda vijana waliohudhuria katika mdahalo wa kitaifa...

READ MORE

Walimu Wachangia Vyoo na Wanafunzi 500

Zaidi ya wanafunzi 500 wa Shule ya Msingi Omunga, kakika Wilaya ya Rorya, mkoani Mara, wanalazimika kuchangia vyoo na walimu...

READ MORE

Aomba Msamaha kwa Kumsaliti na Wanawake 12

Huenda ikawa Kanye West amewavutia watu wengi kuiga kitendo alichofanya kwa kukiri makosa yake hadharani na kuomba radhi Kim Kardshian...

READ MORE

Onyo! Kuvaa Jaketi Za Ngozi

Mamlaka za nchini Korea Kaskazini zimetoa onyo kali kwa wananchi wa nchi hiyo kuvaa jaketi za ngozi, kwa kile wanachokidai...

READ MORE

Wanafunzi Waliopata Ujauzito Kurejeshwa Shuleni ni Uamuzi wa Serikali

Rais Samia, ametoa ufafanuzi kuhusu kauli iliyotolewa siku za hivi karibuni na Waziri wa Elimu, Joyce Ndalichako inayowahusu wanafunzi wote...

READ MORE

Ombi la Mbowe na Wenzake Lakataliwa Mahakamani

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imekubali pingamizi la mawakili wa Serikali la kutopokea barua kama...

READ MORE

Rais Samia, Museveni Wazundua Shule ya Msingi Museveni, Chato – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta...

READ MORE

Rais Samia Akerwa na Kauli ya Waziri Wake Kuhusu Sukari

RAIS Samia Suluhu Hassan ameeleza kukerwa na kauli ya waziri wake aliyoitoa kuhusu uingizaji wa sukari nchini kutoka Uganda.  ...

READ MORE

🔴#LIVE: Morisson Afanya Mambo Ya Kutisha, Mastaa Yanga Wawekwa Kitimoto | KROSI DONGO

Karibu katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi.. 

READ MORE

Rwanda Kusitisha Safari Za Ndege Kwa Baadhi Ya Nchi Za Afrika

Rwanda imetangaza kusitisha safari zake za ndege kwenda Johannesburg na Cape Town South Africa, Lusaka Zambia na Harare Zimbabwe na...

READ MORE

🔴#LIVE: Askari Wageuza Simu Za Wizi Mradi Binafsi, Maumivu Bei Ya Gesi Kupanda | FRONT PAGE

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

Huawei Yatoa Vifaa Vya Maabara Ya TEHAMA UDOM

  Kampuni ya Huawei Technologies Tanzania imetoa msaada wa maabara ya TEHAMA kwa Chuo Kikuu cha Dodoma ikiwa na nia...

READ MORE

Watu Sita Wafariki kwa Kula Samaki Aina ya Kasa

JUMLA ya watu sita wamepoteza maisha na wengine 12 wakiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya wilaya ya Micheweni baada ya...

READ MORE

NBC Yatoa Saruji Mifuko 920, Madawati100 Kuboresha Elimu Mara, Mtwara

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa msaada wa mifuko ya saruji 920 (sawa na tani 46) yenye thamani ya...

READ MORE

Rais Museveni Afanya Ziara Bandari ya Dar

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Museveni amefanya ziara katika Bandari ya Dar Es Salaam na Ujenzi wa Reli ya...

READ MORE

Senene Kuongezwa Kwenye Orodha ya Huduma ya Vyakula Kwenye Ndege

Baada ya kusambaa kwa video inayomuonesha mchuuzi wa Senene aliyekuwa akiuza bidhaa zake ndani ya Ndege ya Shirika la Ndege...

READ MORE

Dkt.Abbasi Awataka Wasanii Kuipa Heshima Tasnia

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, amewataka wasanii nchini kushiriki kuiendesha tasnia kwa weledi,...

READ MORE

Jukwaa La Taifa La Wanawake Wanaoishi Na Virusi Vya UKIMWI Lazinduliwa

Baraza la Watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Tanzania ( NACOPHA) leo limezindua Jukwaa la Taifa la Wanawake wanaoishi na...

READ MORE

Mfumuko wa Bei… Wananchi Wapaza Sauti Mbele Ya Mbunge Shigongo-Video

Kufuatia kupanda kwa bei za bidhaa mbalimbali hapa nchini wananchi wa kata ya Bukokwa, Nyehunge na Nyanzenda wa jimbo la...

READ MORE

Rais Mwinyi Atoa Pole Kwa Waliofariki Kwa Kula Samaki Kasa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo Novemba 28, 2021 ametoa salamu za...

READ MORE

Majaliwa: Rais Samia Amedhamiria Kulinda Na Kuimarisha Afya Za Watanzania

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia ipo makini na inaendelea kuboresha...

READ MORE

Kikosi cha Yanga Chatua Mbeya Leo

Kikosi cha Yanga leo Novemba 28, 2021 kimefika salama mkoani Mbeya tayari kwa maandalizi ya mchezo wao wa Ligi Kuu...

READ MORE

Wakusanya Ushuru wa Maegesho Mkoa wa Dar Wafundwa

  Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) leo tarehe 28 Novemba, 2021 umeendesha Semina ya kuwajengea uwezo Wakusanyaji...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Ateua Viongozi Mbalimbali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Novemba 27, 2021 amefanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali kama...

READ MORE

Performance Ya Kwanza Ya P Square Nchini Nigeria Baada Ya Maelewano

  Kundi la muziki la P-Square kutoka Nigeria sasa limerejea rasmi, hii ni baada ya kutangaza show yao ya kwanza...

READ MORE

Dkt. Abbasi: Tanzania Itaiongoza Dunia Kuadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani Julai 7, 2022

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, amewataka wadau, wapenzi na wataalamu wa...

READ MORE

Koffi Apigwa Stop Rwanda

Wanaharakati wa haki za wanawake nchini Rwanda wamelipiga ‘stop’ tamasha la mwamba wa Rhumba wa Congo, Koffi Olomide kwa tuhuma...

READ MORE

Tengeneza Mkwanja Kwenye Michezo Ya Kibabe Wikiendi Hii

Ligi Soka barani Ulaya kuendelea wikiendi hii. Unaweza kutengeneza faida kupitia Meridianbet ukichagua kubashiri kwenye EPL, LaLiga, SerieA na Championship....

READ MORE

Pweza, Kaa Na Kamba Kutungiwa Sheria

Serikali ya Uingereza imetaka viumbe jamii ya Pweza, Kaa na Kamba kutambuliwa na kupewa ulinzi chini ya sheria mpya ya...

READ MORE

Ahukumiwa Kifo Kwa Kupeleka ‘SQUID GAME’ Shuleni

  Taarifa za kusikitisha kutoka nchini Korea Kaskazini, ambapo jamaa mmoja aliyesafirisha kwa magendo filamu ya ‘Squid Game’ na kuuza...

READ MORE