×

Habari

Kada wa Chadema Arudi CCM, Amuomba Kazi Rais Samia

ALIYEWAHI kuwa Diwani wa Sombetini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ally Bananga, ametangaza kurejea katika chama tawala cha...

READ MORE

Ofisi ya Mtendaji wa Kijiji Yachomwa Moto

OFISI ya mtendaji wa kijiji cha Mwabagalu kata ya Nyabubinza wilayani Maswa Mkoa wa Simiyu imechomwa moto alfajiri ya leo...

READ MORE

Rais Samia Azindua Hospitali Ya Jiji La Arusha – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 17 Oktoba, 2021 amezindua rasmi Hospitali ya Jiji...

READ MORE

Serikali Yaipa Mwanza Bilioni 344 Kutekeleza Miradi Ya Maendeleo

  Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema leo Oktoba 17, 2021 kuwa katika kipindi cha Miezi 6, Serikali ya...

READ MORE

Ally Bananga Atimka Chadema Ajiunga CCM

Aliyekuwa Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Diwani wa Kata ya Sombetini aliyemaliza muda wake, Ally Bananga...

READ MORE

Rais Samia Amwaga Bilioni 90 Wizara Ya Utalii-Video

WAZIRI wa maliasili na utalii, Dkt Damas Ndumbaro, leo Oktoba 17, amezungumza na wanahabari kuhusiana na Mabilioni ya fedha yaliyotolewa...

READ MORE

Shigongo Akabidhi Magodoro 70 ya Mil. 3 Nyehunge Sekondari – Video

MBUNGE wa Jimbo la  Buchosa, Eric Shigongo, amekabidhi Magodoro 70 yenye thamani ya Sh milioni tatu kwa ajili ya wanafunzi...

READ MORE

Dkt. Gwajima Akutana Na Naibu Waziri Wa Afya wa Urusi

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu...

READ MORE

Mwanza Mkoa wa Pili kwa Mapato

MSEMAJI Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema serikali imeendelea kutoa fedha za miradi mbalimbali ya maendeleo katika jiji la Mwanza...

READ MORE

Waziri Chande Azitaka Halmashauri Kuzibana Kumbi Zinazopiga Kelele

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Hamad Chande amezitaka halmashauri nchini kuhakikisha zinadhibiti nyumba za starehe...

READ MORE

Watanzania Zaidi ya 940,000 Wamechanjwa

MSEMAJI wa Serikali Gerson Msigwa amesema utoaji wa chanjo aina ya Johnson & Johnson umekamilika na kwa takwimu za hadi...

READ MORE

Mbaroni Kwa Kuua Na Kuwabaka Wanawake-Video

Innocent Matara-Global TV- Nairobi, Kenya Mwaka 2010 nchini Kenya iliwahi kuripotiwa stori ya wanawake zaidi ya kumi kuuawa na baadaye...

READ MORE

Azam FC Yabanwa Nyumbani

AZAM FC ikiwa uwanja wa nyumbani wa Azam Complex, Dar, jana ilikubali kubanwa na wageni wao, Pyramids katika mchezo wa...

READ MORE

Gerson Msigwa: Watanzania 940,507 Wapokea Chanjo – Video

Mkoa wa Mwanza umepokea shilingi Bilioni 344 kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya wananchi katika kipindi cha miezi sita...

READ MORE

TTCL Yawafunda Vijana Matumizi Sahihi Ya Tehama

  VIJANA nchini Tanzania wameshauriwa kuitumia TEHAMA kwa malengo yaliyokusudiwa ili iweze kuwasaidia kupiga hatua katika kujijenga kiuchumi. Ushauri huo...

READ MORE

Aliyejaribu Kujiua Mara Tatu, Hatimaye Ajiua

Mkazi wa Kijiji cha Riroda, wilayani Babati mkoani Manyara, Monica Manyara (65), amefariki dunia baada ya kujinyonga hadi kufa kwa...

READ MORE

Hatuna Upungufu wa Chanjo, Mzigo Mwingine Upo Njiani – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania haina uhaba wa chanjo ya Uviko – 19...

READ MORE

Rais Kenyatta Akutana na Rais Biden, Wazungumza Mazito

RAIS Uhuru Kenyatta ameingia katika vitabu vya kumbukumbu kama rais wa kwanza kutoka Barani Afrika kualikwa na Rais wa Marekani,...

READ MORE

Sabaya Kukata Rufaa – Video

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake watatu wanatarajia kukata rufaa baada ya kutoridhishwa na hukumu...

READ MORE

Rais Clinton Alazwa Hospitalini

RAIS wa zamani wa Marekani Bill Clinton (75) amepelekwa  kwenye kwenye Kituo cha Afya cha UC Irvine, California kwa ajili...

READ MORE

Sabaya: Mungu Yupo Kazini

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai. Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya amewataka ndugu zake wasiogope kwani Mungu yupo kazini....

READ MORE

Mbunge wa Uingereza Auawa kwa Kuchomwa Kisu

Mbunge wa Southend Magharibi kutoka Chama cha Conservative nchini Uingereza, Sir David Amess amefariki dunia baada ya kuchomwa kisu katika...

READ MORE

Ripoti ya CAG Kuanza Kuchambuliwa Bungeni

Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge la Tanzania vitaanza Jumatatu ya 18 hadi 30 Oktoba 2021. Pamoja na mambo...

READ MORE

Kijana Hamisi Afariki Dunia – Video

KIJANA Hamisi Salum (21) aliyekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuvimba miguu amefariki dunia akiwa nyumbani kwao Tandika jijini Dar es...

READ MORE

Majaliwa: Tanapa, Wadau wa Utalii Shirikianeni Kuitangaza Rubondo

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) ishirikiane na wadau wa masuala ya utalii ukiwemo uongozi...

READ MORE

Mbaroni kwa Tuhuma za Kutengeneza Vitambulisho Feki vya NIDA

  Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Abdul Selemani mwenye umri wa miaka 27, Mluguru mfanyabiashara wa stationary mkazi...

READ MORE

Chama, Fei Toto, Mukoko, Bocco Nani Zaidi

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa tuzo za msimu wa 2020/21 zitakazotolewa na Shirikisho hilo zitatolewa Oktoba...

READ MORE

Wasifu wa Lengai Ole Sabaya

LENGAI Ole Sabaya amezaliwa 26/12/1986 mkoani Arusha. Amesoma Shahada ya Sayansi katika Elimu Chuo Kikuu cha Mtakatifu John Dodoma (St....

READ MORE

Breaking: Sabaya Ahukumiwa Jela Miaka 30

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro,...

READ MORE

Sabaya Akutwa na Hatia “Sio Mimi, Nilitumwa, Nataka Kufunga Ndoa”

Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Arusha, Odira Amworo amesema hakuna shaka washitakiwa watatu walifika dukani kwa Mohamed Saad siku...

READ MORE

Yanga Wabadili Gia Angani

KAMATI ya Mashindano ya Yanga, imebadili gia angani juu ya maamuzi ya kuweka kambi ya siku tisa jijini Arusha na...

READ MORE

Samia Aweka Jiwe la Msingi Hopsitali ya Mawenzi – Video

Rais Samia, Mapema Oktoba 15, 2021 ameweka jiwe la msingi katika Hopsitali ya Mawenzi Mkoani Kilimanjaro wakati akizindua jengo la...

READ MORE

Rais Samia Apokelewa kwa Mabango Kilimanjaro – Video

Baadhi ya wananchi wamejitokeza kwenye ziara ya Rais Samia Hassani Suluhu, wakiwa na mabango yenye jumbe mbalimbali, ikiwamo migogoro ya...

READ MORE

Mollel Atamani Uchaguzi Kesho, Kisa ni Hiki

Naibu Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel, amesema akimtazama Rais Samia Suluhu Hassan anatamani uchaguzi uwe kesho ili watu waheshimiane...

READ MORE

Rc Makala Atema Cheche Kwa Wamachinga-Video

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amekutana na wenyeviti wa vijiji katika kikao hicho cha uteuzi mpya wa wenyeviti...

READ MORE

Hukumu ya Sabaya Yaanza Kusomwa Kortini

HUKUMU ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya...

READ MORE

Rais Samia, Mbunge Kibiti Wamwaga Misaada ya Kimaendeleo Mjawa, Kibiti

MBUNGE wa Kibiti, Twaha Mpembenwe akizungumza na wananchi wa Kata ya Mjawa wikiendi iliyopita.     Wakazi wa Kata ya...

READ MORE

Mlipuko wa Bandari ya Beirut Sita Wauawa

TAKRIBANI watu sita wameuawa na wengine 32 kujeruhiwa na risasi katika mji mkuu wa Beirut nchini Lebanon. Yote haya yalianza...

READ MORE

Prof. Ndalichako Awapa Maagizo Maafisa Elimu Ngazi Za Halmashauri

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amewaagiza maafisa elimu wote wa ngazi za Halmashauri kuhakiksha wanasimamia...

READ MORE

Wanawake Watano DRC Waishtaki Ubelgiji

Wanawake watano wenye asili ya Kongo na Ubelgiji, waliotengwa na familia zao wakati wa ukoloni wameishtaki serikali ya Ubelgiji kwa...

READ MORE