×

Habari

Breaking News: Profesa Benno Ndulu Afariki Dunia

  ALIYEWAHI kuwa Gavana Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu (71), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu,...

READ MORE

Stendi Mbezi Luis Kuanza Kutumika Feb 25

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge, jana Februari 21,  amesema  kuwa stendi kuu ya mabasi ya mikoani...

READ MORE

NMB Yatoa Vifaa vya Milioni 50 Morogoro, Dodoma na Singida

Benki ya NMB imetoa vifaa mbalimbali katika sekta ya elimu na Afya kwenye Wilaya za Mpwapwa mkoani Dodoma, Manyoni na...

READ MORE

Ndege ya Kijeshi Yaanguka, Yaua Wawili

Marubani wawili wamefariki kutokana na ajali ya ndege ya kijeshi katika jimbo la Alabama huko Marekani.   Jeshi la Anga...

READ MORE

Rais JPM: Hatujazuia Kuvaa Barakoa

Rais John Magufuli amesema Serikali haijazuia matumizi ya barakoa na amewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya COVID19 kama wanavyoshauri wataalamu...

READ MORE

Silinde Amsimamisha Mkuu wa Shule Mtwara

NAIBU waziri wa ofisi ya Rais TAMISEMI David Silinde amemsimamisha kazi mkuu wa shule ya sekondari ya Naliendele Halidi Mchanga...

READ MORE

Rais Magufuli Awaondoa Hofu Watanzania -Video

Rais Dk John Magufuli amewataka watanzania kutokuwa na hofu na ugonjwa wa corona na badala yake wanatakiwa kumtanguliza Mungu mbele...

READ MORE

Laini za Simu Kuwekwa ‘Password’ Kuanzia Julai Mosi

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imesema ifikapo Julai mosi, laini zote zitakazotolewa zitakuwa na neno la siri ambalo mteja atatakiwa...

READ MORE

JPM Awataka Watanzania Kuchukua Tahadhari ya Corona

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli, amewataka watanzania kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa Korona kama zinaelekezwa na...

READ MORE

JPM Ashiriki Ibada Ya Dominika Ya Kwanza Ya Kwaresima Oystrerbay Dar

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  leo Februari 21, 2021 ameshiriki katika Ibada ya Dominika...

READ MORE

Jinsi ya Kuongeza Kinga ya Mwili Kupambana na Corona Mpya

Wakati wimbi jipya la maambukizi ya virusi vya Corona yakizidi kuwa tishio duniani kote, utafiti wa Kisayansi umeendelea kuonesha kwamba...

READ MORE

Kaze Aja na Gia Nyingine Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mrundi, Cedric Kaze amefunguka kuwa licha ya kupata matokeo ya sare katika mechi mbili mfululizo lakini...

READ MORE

Majaliwa: Tujiridhishe na Barakoa, Tuliombee Taifa – Video

  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewashukuru viongozi wa dini kwa kuendelea na maombi ya...

READ MORE

Amuua Mama’ake Mzazi kwa Kumkata Shingoni Kisa Utajiri

  Jeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia Fredius Philibart Kibengo mkazi wa Omurushaka wilayani Karagwe kwa tuhuma za kumuua mama...

READ MORE

Kauli ya Vicky Kamata Baada ya Mumewe Kufariki

ALIYEKUWA kuwa mbunge wa Viti Maalum, Vicky Kamata, ameandika kuwa alidhani yeye ni jasiri, baada ya kumpoteza mume wake Dkt.Servacius...

READ MORE

Fiston Arejea Kuivaa Mtibwa sugar

UONGOZI wa Yanga umewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia kuwa mshambuliaji wao Mrundi, Fiston Abdoul Razack leo atakuwepo...

READ MORE

Video: “Magufuli Tusaidie” – Wananchi Waangua Vilio Nyumba Zao Kubomolewa

 Wakazi wa vitongoji vya Muheza na Mitamba vilivyopo Mtaa wa Lumumba Kata ya Pangani Kibaha mkoani Pwani wametoa wameelezea...

READ MORE

Ugonjwa Uliomuua Balozi Kijazi Watajwa – Video

  Serikali imeweka wazi chanzo cha kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, na kusema kuwa amefariki kutokana...

READ MORE

Breaking News: Mume Wa Vicky Kamata, Dk Likwelile Afariki Dunia

MUME wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi CCM, Vicky Kamata, Dk. Servacius Likwelile amefariki dunia leo,...

READ MORE

Ahukumiwa Kifungo kwa Kumpiga Mkewe na Mwiko

  Mahakama ya Mwanzo ya Buguruni imemhukumu kifungo cha nje cha miezi minne mkazi wa Tabata Segerea, Baraka Athuman (33)...

READ MORE

Wanafunzi Walazimisha Kula Mayai, Shule Yafungwa

WANAFUNZI wa shule ya wasichana ya Moi nchini Kenya, watalazimika kubaki nyumbani kwa muda usiojulikana baada ya shule hiyo kufungwa...

READ MORE

Maalim Seif: Jabali la Siasa Aliyetemwa CCM, Akafungwa Miaka 3

GLOBAL Publishers tumekuandalia makala ya maisha na enzi ya Hayati Maalim Seif Sharif toka alipozaliwa, maisha ya kisiasa mpaka alipokutwa...

READ MORE

Shule ya Sekondari Jambiani Yapatiwa Msaada wa Mabati

  Benki ya NMB imekabidhi mabati 200 na vifaa vingine vya ujenzi kwa ajili ya ukarabati wa vyumba vya madarasa...

READ MORE

Kortini Wakidaiwa Kuitia Hasara Sh Bil 1 Stamigold

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kagera imewafikisha mahakamani watumishi wanne wa kampuni ya uchimbaji madini ya...

READ MORE

Marekani: Chombo cha Nasa Chatua ‘Mars’

Shirika la Marekani la Utafiti wa Anga (NASA) limefanikiwa kukifikisha chombo chake katika Sayari ya Mirihi (Mars) na kimefanikiwa kutuma...

READ MORE

Makamu Mkuu wa Sekomu Kuzikwa Kesho

Prof. Vincent Kihiyo, Makamu Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa (SEKOMU) aliyefariki dunia Februari 18 atazikwa kesho, Februari...

READ MORE

Rais Magufuli: Maalim Seif Alikuwa Kiongozi wa Tofauti

  Rais wa Tanzania, John Magufuli amesema baada ya kufanya mazungumzo na aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim...

READ MORE

Chemsha Bongo ya Gazeti la Ijumaa Yashika Kasi Kitaa

IKIWA ni wiki moja baada ya kuzinduliwa kwa Chemshabongo na Gazeti la Ijumaa ambap msomaji wa gazeti hilo hujibu maswali...

READ MORE

Rais JPM Atangaza Maombi Siku 3 “Tusitishane” – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kuendelea kumuomba Mwenyezi Mungu kuliepusha Taifa la...

READ MORE

JPM Akanusha Kifo cha Dkt. Mpango “Anaendelea Vizuri”

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amekanusha taarifa za uzushi zilizosambazwa mtandaoni kuwa Waziri...

READ MORE

Simanzi: Rais JPM Aongoza Waombolezaji Kumuaji Kijazi – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amewaongoza waombolezaji na Watanzania wote kuaga mwili wa aliyekuwa...

READ MORE

JPM Aeleza Alivyomuibua Kijazi – Video

RAIS John Magufuli amesema alikosa mtu wa kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi baada ya aliyekuwa akishika nafasi hiyo, Balozi John...

READ MORE

Ajiua kwa Kukata Nyeti Zake kwa Chupa

Kamanda wa polisi katika jimbo la Kano Kaskazini mwa Nigeria amethibitisha kifo cha Mustapha Muhammad, mkazi wa kijiji cha Malam...

READ MORE

Chuma cha Ajabu Kilichoonekana DRC Chateketezwa kwa Moto

Chuma cha ajabu kilichoonekana katika eneo la makutano ya barabara jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kimeteketezwa na...

READ MORE

Mwigulu: Wanaozusha Vifo Wakamatwe

  Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuwachukulia hatua Watu wanaosambaza taarifa...

READ MORE

Bodi ya Usajili Majenzi Yaasa Wanafunzi kupenda Masomo ya Sayansi

BODI ya Usajili wa Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) leo imefanya ziara katika baadhi ya shule za Sekondari jijini Dar es...

READ MORE

Anayedaiwa Kumuua Baba Yake Nick Minaj Atiwa Mbaroni

Mshukiwa wa mauaji ya Baba mzazi wa Nicki Minaj, ametiwa mbaroni mara baada ya kujisalimisha mwenyewe katika kituo cha polisi...

READ MORE

NMB Yaongeza Faraja Kwa Wajawazito Kishapu

  Benki ya NMB kupitia tawi lake la Kishapu imetoa msaada wa vitanda saba vikiwemo vitatu vya kujifungulia na mashuka...

READ MORE

Video: Mwili wa Balozi Kijazi Wawasili Dar

Mwili wa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi umesafirishwa leo Februari 18, kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam ambapo umepelekwa...

READ MORE