×

Habari

Rais Mwinyi Asamehe Wafungwa 49

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa msamaha kwa wanafunzi (wafungwa) 49 waliokuwa...

READ MORE

Rais Nyusi: Magufuli Sili Sembe, Mama Nyerere Alinipikia Mbuzi – Video

RAIS wa Jamhuri ya Msumbiji, Filipe Jacinto Nyusi, amewasili Uwanja wa Chato Mkoa wa Geita katika ziara yake ya kikazi...

READ MORE

Mfanyabiashara Adai Kuporwa Eneo Alilonunua na Aliyemuuzia

MFANYABIASHARA Nicodemus Mollel mkazi wa Zanzibar amemshutumu Bwana Silvester mkazi Kijiji cha Msolwa Kata ya Kisanga Wilayani Kilosa mkoani Morogoro...

READ MORE

Bibi Harusi Afariki Dunia Baada ya Fungate

DESEMBA 11, 2020, Mastin Mukanga alifunga pingu za maisha na Linet Kavere katika harusi maridadi lakini bibi harusi aliaga dunia...

READ MORE

Akaunti za Facebook Zinazomwunga Mkono Museveni Zafungwa

WAFUASI wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, wameilalamikia kampuni ya Facebook kwa madai kuwa ilifunga akaunti zao kwenye mtandao huo....

READ MORE

Rais Amfuta Kazi Waziri wa Afya

RAIS wa Zambia, Edgar Lungu, amemfuta kazi waziri wa afya nchini humo, Chitalu Chilufya, ambaye mwezi Juni mwaka jana alikamatwa...

READ MORE

Polisi Watajwa Kushirikiana na Waliovamia Bunge

  TUKIO la Marekani la wafuasi wa Rais Trump kuvamia Bunge limezua sura mpya baada ya baadhi ya Wawakilishi kusema...

READ MORE

Live: Rais Nyusi Awasili Nchini, Apokelewa na JPM

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi, amewasili nchini hii leo Januari 11, 2021, katika ziara yake ya siku mbili wilayani Chato,...

READ MORE

Wakurugenzi Wakalia Kuti Kavu, Silinde Awapa Maagizo – Video

NAIBU waziri wa nchi, ofisi ya Rais – Tamisemi, David Silinde, ametoa maagizo kwa wakurugenzi wote nchini waliopewa fedha shilingi...

READ MORE

Mmoja Afariki Gari la RPC Likiteketea kwa Moto

GARI la Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita na gari ndogo la abiria aina ya Hiace jana, Januari 11, 2021,...

READ MORE

Wawili Wanusurika Basi Likitumbukia Baharini – Video

WATU wawili wamenusurika kifo baada ya basi la Pollman Tours na Safari Company walilokuwa wamepanda kuteleza na kuzama baharini katika...

READ MORE

Wawili Wafariki Katika Ajali Tarime

DEREVA wa Mkurugenzi wa Tarime Mji na Afisa Maendeleo ya Jamii jana Januari 10, 2021, walifariki dunia baada ya gari...

READ MORE

DC Gondwe: Tuache Maneno, Tufanye Kazi – Video

WAKAZI wa Wilaya ya Temeke wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo na kuhakikisha maeneo yake yanakuwa katika hali...

READ MORE

Rais wa Msumbiji Kufanya Ziara Nchini

Rais Felipe Nyusi wa Msumbiji anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili nchini kuanzia kesho Januari 11. Akizungumza na...

READ MORE

Mama Anayeishi Mazingira Magumu Alivyowezeshwa na Share Meal & Give Capital

Hadija Said mkazi wa Kimara Kwa Mtoro Bonyokwa jijini Dar ambaye anayedaiwa kuishi katika mazingira magumu baada ya kifo mumewe...

READ MORE

Ajali ya Ndege Indonesia, Black Box, Miili ya Abiria Vyaonekana

NDEGE ya Shirika la Ndege la Sriwijaya iliyokuwa imewabeba watu 62 imepoteza mawasiliano dakika chache baada ya kuruka kutoka mji...

READ MORE

PICHA: Makamu wa Rais Ashiriki Maandamano ya Miaka 57 ya Mapinduzi Z’bar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo Januari 10,2021 ameshiriki kwenye Hafla ya...

READ MORE

Polisi Watano Wakamatwa kwa Tuhuma za Uhalifu JNIA

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameagiza maofisa watano wa polisi katika Uwanja wa Ndege wa...

READ MORE

Serikali Kutatua Changamoto za Wanahabari

  SERIKALI imesema inatambua mchango wa sekta ya habari na kuahidi kuzishughulikia changamoto za tasnia hiyo kwa kufanya maboresho, kupitia...

READ MORE

Ndege Yapotea na Abiria 62

      NDEGE iliyokuwa na  abiria  zaidi ya 62 imepotea na haijulikani ilipo muda mfupi baada ya kuruka kutoka...

READ MORE

Gari la Mabomu Karibu na Bunge Lakamatwa

POLISI jijini Washington DC, Marekani, wamekamata gari lililokuwa na mabomu na bunduki, likiwa limeegeshwa karibu na Bunge siku ya Jumatano...

READ MORE

Wananchi Wagoma Kufungiwa Mita za Maji

  BAADHI ya wananchi wa Kata ya Kalela wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, wametishia kutotumia maji yanayotolewa na mradi wa...

READ MORE

5 Wajeruhiwa Basi ‘Simba Mtoto’ Likipata Ajali Chamwino- Video

WATU watano wamejeruhiwa wakati basi la abiria kampuni ya Simba Mtoto linalofanya safari zake kati ya Dodoma na Tanga kupata...

READ MORE

RC Morogoro Aamuru Kuswekwa Ndani Wenyeviti 21

MKUU wa mkoa wa Morogoro, Loata Ole Sanare ameagiza kukamatwa na kuwekwa ndani wenyeviti wa vitongoji 21 wa halimashauri ya...

READ MORE

Wabunge Walalamikia Kondom Feki

WABUNGE nchini Zambia wamelalamikia kondom na glovu zisizo na viwango zinazosambazwa na Kampuni ya Honey Bee, ikidaiwa zinaweza kuvuja zikijazwa...

READ MORE

Simbachawene Ampa Sirro Siku 7 Kushughulikia Bajeti ya Mbwa – Video

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amempa siku saba Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, (IGP)...

READ MORE

Mnangagwa: Marekani Haina Haki ya Kuadhibu Nchi Nyingine

BAADA ya wafuasi wa Rais Trump kuvamia Bunge la Marekani, Rais wa #Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, amesema taifa hilo halina haki...

READ MORE

TRA Yafafanua Ongezeko Ushuru wa Magari

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa ufafanuzi taarifa juu ya kupanda kwa gharama za kodi za magari yaliyotumika yanayoingia nchini....

READ MORE

Iraq Yatoa Hati Kumkamata Trump

JAJI  katika Mahakama ya uchunguzi ya Baghdad ametoa hati ya kukamatwa kwa Rais wa Marekani anayemaliza muda wake, Donald Trump,...

READ MORE

Silinde Amvua Madaraka Mwalimu Mkuu Ikhanoda – Video

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais Tawala wa Mikoa na  Serikali za Mitaa (Tamisemi), David Silinde, amemvua madaraka Mwalimu Mkuu wa...

READ MORE

Utata Kifo Kigogo Bima

UTATA umeibuka kufuatia kifo cha Ofisa wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) mkoa wa Tabora aliyefahamika kwa jina la...

READ MORE

Matatani Kunywa Pombe na Wanawake Wawili Baa

KWANI kunywa bia na wanawake wawili baa ni kosa kisheria? Si ndivyo utakavyohoji? Sasa UWAZI linakuambia wewe endelea na udadisi...

READ MORE

Asakwa Tuhuma za Kumnyonga Mchumba’ke

PENZI la kifo! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia kijana Yusuf Ally (25), mkazi wa Kijiji cha Msimbo Kata ya Msimbi wilayani...

READ MORE

Tigo Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa JazaTukujazeTena wa Wiki Hii

NIMESHINDA: Sifuni Mlacha ndiye Mshindi wa JazaTukujazeTena Samsung Note 20 akabidhiwa simu yake na Unataka kuwa mshindi wiki ijayo? Endelea...

READ MORE

China Yaisamehe DR Congo

SERIKALI ya China imeisamehe Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo sehemu ya deni inaloidai, ili taifa hilo liweze kupambana na janga...

READ MORE

Wenye Smart Phone Wapewa ‘Maujanja’ Kusoma Magazeti Mtandaoni

WAKATI Kampuni ya Global Publishers Ltd ikizidi kwenda kasi katika ulimwengu wa kidijitali  mtandaoni,  leo timu ya maofisa masoko wa...

READ MORE

JPM Aiomba China Mambo Matatu “Wanajua Hatuna Corona” – Video

Rais Dkt. John Magufuli leo Ijumaa, Januari 8, 2021, amempongeza Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi kwa...

READ MORE

Tanzania, China Zasaini Ujenzi SGR (Mwanza-Isaka)

  SERIKALI  ya Tanzania kupitia Shirika la Reli (TRC) na China zimeingia makubaliano ya kujenga reli ya kisasa ya kilomita...

READ MORE

Yusuf Mlela Sioni Tatizo Wasanii wa Bongo Fleva Wakiigiza

MKALI katika tasnia za filamu Bongo, Yusuf Mlela amesema kutokana na mabadiliko yanayohitajika kwenye sanaa, haoni tatizo wasanii wa Bongo...

READ MORE

Live: Rais Magufuli Akutana Na Waziri Wang Yi Wa China Chato

Rais Dkt John Magufuli leo Januari 8, 2020 amekutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi, wilayani...

READ MORE