×

Habari

Niyonzima Atua Yanga: ‘Nimerudi Nyumbani’ – Video

KIUNGO nyota wa zamani wa timu  ya Yanga ambaye aliondoka kwa misimu miwili na kwenda kwa watani wao wa jadi,...

READ MORE

Mahakama Yamgomea Kabendera Kumzika Mama Yake – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemnyima kibali mwandishi wa habari, Erick Kabendera, kwenda kushiriki ibada ya maziko ya mama yake...

READ MORE

Kifo cha Mama, KABENDERA Amwaga Machozi MAHAKAMANI

Mwandishi wa habari wa Kujitegemea, Erick Kabendera amepandishwa tena kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.   Kabendera anashitakiwa kwa...

READ MORE

Mbeya: Jeneza Latelekezwa Sokoni, Mbele ya Duka – Video

WANANCHI wa eneo la Soko la Soweto wameuanza mwaka kwa taharuki ya aina yake baada ya kuamka asubuhi siku ya...

READ MORE

Askari Polisi Akatwa Nyeti na Mkewe kwa Madai ya Kuchepuka

JESHI la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia mwanamke Frola Adamu (23), mkazi wa Shinyanga mjini, kwa tuhuma za kumkata mume wake...

READ MORE

Papa Aomba Radhi Kumzaba Vibao Muumini

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis,  ameomba msamaha kwa kitendo chake cha kumpiga mmoja wa waumini wa kanisa hilo...

READ MORE

Vigogo Wawili Wanaswa na Dawa Za Kulevya Dar

MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imetangaza kuwanasa vigogo wawili wa biashara haramu ya dawa hizo katika...

READ MORE

Serikali Yapiga Marufuku Mawakili Nje ya Ofisi za NIDA

NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni,  amepiga marufuku watu wanaojiita mawakili na kuwatoza wananchi kiasi...

READ MORE

Video: Mrembo Agoma Kuingiliwa Kinyume na Maumbile, Ashushiwa Kipigo

Angel Leso mkazi wa Mlandizi Pwani Pwani amedai kushushiwa Kipigo na Mpenzi wake, Benedict Wiso baada ya kukataa kuingiliwa Kinyume...

READ MORE

Nyumba ya Shehe Yavunjwa, Yazua Balaa – Video

  MZEE Sharif Mohammed (75), mkazi wa Vingunguti-Kwamnyamani jijini Dar, ameibua balaa la aina yake kwenye nyumba inayodaiwa ni ya...

READ MORE

Afariki kwa Kupigwa na Radi Akichuma Maembe

  MWANAMKE mmoja mkazi wa Kata ya Ng’ambo Manispaa ya Tabora, Rehema Simende amefariki dunia kwa kupigwa na radi wakati...

READ MORE

Wawa: Ushindi wa Yanga Utatupa

BEKI wa kati wa Simba, Pascal Wawa, amewaahidi mashabiki wa timu hiyo ushindi dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo...

READ MORE

Majivu ya MaREHEMU Yaibiwa Siku ya Mazishi

MWIZI arejesha sanduku lenye majivu ya marehemu baada ya kuliiba sanduku  hilo ndani ya gari la familia ya marehemu walipokuwa...

READ MORE

Betika Lafungua Mwaka Mpya 2020 Buguruni

MAPEMA leo Jumatano, Januari Mosi, 2020 (siku ya mwaka mpya) timu ya maofisa masoko ya Global Publishers imetembelea maeneo ya...

READ MORE

Madrid, Atletico Zatikisa Kwa Ulinzi La Liga

NGUZO pekee kwenye kikosi cha Real Madrid kwa sasa ni safu yake imara ya ulinzi ambayo imekuwa ikifanya kazi kubwa...

READ MORE

Mama Amkata Nyeti Mwanaye, Kijana Amuua Mama kwa Mpini

  KATIKA hali isiyo ya kawaida,  mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Kambiala Kata ya Msanzi wilaya ya Kalambo mkoani...

READ MORE

Man United Wamezidiwa Ujanja

UNAWEZA kusema kuwa ni pigo kubwa kwa klabu ya Manchester United baada ya staa waliyekuwa wakimwania kwa nguvu kubwa Erling...

READ MORE

Rais Magufuli Awatakia Watanzania Heri ya Mwaka Mpya 2020

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewatakia Watanzania wote heri ya Mwaka mpya wa...

READ MORE

Mtoto Huyu Anatafutwa, Amepotea Tangu Krismasi

MTOTO Steven Mselle (17), mkazi wa Kimara Suca, anayesoma kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Mchikichini jijini Dar es...

READ MORE

Sherehe ya Ndoa: Bw., Bi Harusi Watua na Helikopta Ukumbini

JAMAA mmoja aliyefahamika kwa jina la William Moye mkazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro ameweka rekodi ya aina yake baada ya...

READ MORE

Serikali Yaagiza Mali za Bilionea Mtoto wa Rais Zikamatwe

MAHAKAMA ya Angola imeagiza kukamatwa kwa mali na akaunti za benki za bilionea ambaye ni binti wa rais wa zamani...

READ MORE

Binti Asiye na Mikono Wala Miguu Ashangaza Watu – Video

  HUU ni ushuhuda wa binti, SARAH CHARLES, mwenye umri wa miaka 18, ambaye hana mikono yote miwili, lakini pia...

READ MORE

Polisi 29 Wahukumiwa Kifo

MAHAKAMA Kuu nchini Sudan imewahukumu kifo polisi 29 kwa kosa la kumtesa na kumuua Mwalimu Ahmad al-Khair (36) waliyemkamata wakati...

READ MORE

Lwakatare Afanya Ibada ya Mwaka Mpya – Video

MCHUNGAJI wa Kanisa la Mlima wa Moto, Getrude Lwakatare, ameendesha ibada maalum ya mkesha wa mwaka mpya kuukaribisha mwaka wa...

READ MORE

Video: Mapokezi ya Nancy Sumari, Mumewe Hifadhi ya Mkomazi

 MISS Tanzania wa mwaka 2005, Nancy Sumari,  hivi karibuni ametembelea Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi iliyopo wilayani Same mkoani...

READ MORE

Mjamzito Feki Aiba Kichanga, Anusa Kifo

HIKI ni kisa na mkasa! Mama mmoja, mkazi wa Kitongoji cha Mwanzugi wilayani Igunga Mkoa wa Tabora aliyejifanya mjamzito, Shija...

READ MORE

Tamu ya Mastaa Mwaka 2019

WAKATI tukisubiri kwa shauku kubwa kuingia Mwaka Mpya wa 2020, si vibaya tukajiku-mbusha machungu na matamu waliyopitia mastaa wetu kwa...

READ MORE

Wamevipiga Vita na Mwendo Wameumaliza 2019

KIFO ni haki yetu licha ya kwamba hakizoeleki, kisikie tu kwa mwenzako, siku kikifika kwako hupati picha kutokana na kwamba...

READ MORE

Jokate Afunga Mwaka 2019 Kibabe

  AMEFUNGA mwaka kibabe! Ndivyo unavyoweza kumtafsiri Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe (DC), Jokate Urban Mwegelo ambaye licha ya kuiongoza...

READ MORE

Kampuni ya Azania Yaendelea Kumwaga Zawadi za Sikukuu

RAHA ya sikukuu upate zawadi! Hiyo ndiyo sababu iliyofanya Kampuni ya Azania, watengenezaji wa sabuni za King Limau na Marhaba...

READ MORE

Kigwangalla: ‘Mind Your Own Business’

Baada ya Rais John Magufuli kuagiza Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumuua Mfanyabiashara na Kumtupa Chooni

Polisi Mkoani Singida wanawashikilia Bashiri Hamisi, Hamisi Salumu na Hamida Hamisi wakazi wa Kijiji cha Irisya Wilayani Ikungi, Singida kwa...

READ MORE

JPM Atishia Kuwatumbua Kigwangalla na Katibu Mkuu Wake

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametoa siku tano kwa Waziri wa Maliasili na Utalii...

READ MORE

Dkt. Mpango Aanika Hali ya Uchumi, Utekelezaji wa Bajeti – Video

WAZIRI wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amesema ongezeko la deni limetokana na mambo mawili,  kwanza ni riba ya...

READ MORE

Video: Zitto Aibua Mazito ‘Wametekwa, Wamepigwa, Wamepata Ulemavu’

  KIONGOZI wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe,  amelaani vitendo vya utekaji na kuwatesa baadhi wananchi akidai kuwa ni...

READ MORE

Mkesha Maalum na wa Kipekee wa Kufunga Mwaka 2019

  Shalom Tanzania! Kwa mara nyingine tena, Kanisa la Christ Mandate and Power Ministries International linawaletea ibada ya mkesha wa...

READ MORE

Breaking News: Mama Mzazi wa Erick Kabendera Afariki Dunia

MAMA mzazi wa mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera, Bi Verdiana Mjwahuzi, amefariki leo Desemba 31, 2019 nyumbani kwake...

READ MORE

Mbaroni kwa Kunaswa na Sare za Jeshi, Bangi na Gongo

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa kumi na mbili [12] kutokana na tuhuma za kupatikana na dawa za...

READ MORE

Simu Hizi Hazitatumia Tena WhatsApp Kuanzia Leo

MTANDAO maarufu duniani wa WhatsApp hautafanya kazi kwenye simu janja zinazotumia mfumo wa Window ‘Window Smartphone’ kuanzia leo Desemba 31,...

READ MORE

Mchezaji Bora Yanga Kuzawadiwa Godoro na GSM Mechi Ya Simba na Yanga

    Kuelekea Mtanange wa kukata na shoka mnamo Januari 4, 2020 kati ya watani wa jadi Simba na Yanga...

READ MORE