×

Habari

Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa, Novemba 1, 2019

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 1, 2019. Ni yale ya...

READ MORE

Makonda Apokea Mamilioni Kusaidia Watoto Wenye Matatizo ya Moyo – Video

Ubalozi wa Nchi za Falme za Kiarabu UAE umeendelea kuunga mkono kampeni ya Upasuaji wa Moyo kwa Watoto kutoka familia...

READ MORE

Nandy Awasili na Tuzo Yake Kutoka Marekani

STAA wa wa Bongo Fleva kutoka Tanzania House of Talent (THT) The One and Only African Princess Fausta Charles Mfinaga,...

READ MORE

Mhindi Adakwa na Almasi Mwanza Akisepa Nairobi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama vikiwemo vile vya Uwanja wa Ndege wa...

READ MORE

Kizaazaa! Wataka Kutoana Roho Kisa Mali za Urithi – Video

Kizaazaa kimeibuka baina ya wanafamilia wakiwa nagombania mali za urithi…fuatilia mkasa huu kupitia Global Tv online na usisahau kubonyeza batani...

READ MORE

Mgonjwa Afungiwa Ndani kwa Minyoyororo Miezi Miwili

Shadrack Johanes (26), mkazi wa Old Shinyanga, Manispaa ya Shinyanga, amefungiwa chumbani akiwa uchi kwa miezi miwili akiwa amefungwa minyororo...

READ MORE

Ahukumiwa Miaka Jela 14 kwa Kumuua Mwanamuziki Radio

MTUHUMIWA Godfrey Wamala amekutwa na hatia ya kumuua msanii Moses Sekibogo (Mowzey Radio) bila ya kukusudia. Hukumu hiyo imesomwa licha ya...

READ MORE

CRDB Yapiga Jeki Chuo Cha Polisi Moshi

  Kufuatia changamoto kubwa ya uchakavu wa vyoo vya wanafunzi wa kike katika chuo cha polisi Moshi ambayo imekuwa ikihatarisha...

READ MORE

Mo Dewji Asimulia “Niliwaambia Watekaji Waniue” – Video

BILIONEA kijana Afrika na mmiliki wa mojawapo ya klabu maarufu ya soka Afrika mashariki Simba SC – Mohammed Dewji amezungumza...

READ MORE

Serikali Ilivyojidhatiti Kupeleka Mawasiliano Vijijini

SERIKALI ya Tanzania inatambua umuhimu wa kuwekeza katika mawasiliano kama mkakati mmoja wapo wa kuhakikisha azma ya kuwa nchi ya...

READ MORE

Treni Yawaka Moto, 16 Wafariki Dunia

WATU 16 wamefariki baada ya treni ya mwendokasi kuwaka moto na wengine 13 wamejeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea mapema leo...

READ MORE

Mzee Pinda, Mwakyembe Wahudhuria Kongamano la Wanawake Wajasiriamali

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akisalimiana na Meneja Mahusiano Wateja wa Benki ya Taifa ya...

READ MORE

Watuhumiwa wa Wizi wa Tausi wa Ikulu Wahukumiwa – Video

JUMATANO Oktoba 30, 2019, watuhiwa watatu wa kesi ya wizi wa tausi ikulu wameachiliwa huru kwa masharti na Mahakama ya...

READ MORE

Mchungaji Anavyosota kwa Madawa ya Kulevya

MCHUNGAJI mmoja na raia watatu wa Nigeria wamekuwa wakisota mahabusu jijini Dar, kwa zaidi ya miezi saba kwa madai ya...

READ MORE

Vikoba Vyazua Kimbembe

WAJUMBE na viongozi wa Vicoba (Village Community Bank) wa Kikundi cha Amani cha Mtaa wa Ukombozi, Mbezi-Luis jijini Dar, wamekinukisha...

READ MORE

‘Msukule’ Azaua Kizaazaa

KIJANA mmoja ambaye jina lake linahifadhiwa kwa sasa, amepotea kimaajabu mwishoni mwa wiki iliyopita na kudaiwa kuwa amechukuliwa msukule, hali...

READ MORE

JPM Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza Kikao cha...

READ MORE

Rwanda Yazindua Magari Yanayotumia Umeme

Rwanda ikishirikiana na kampuni ya Volkswagen na Siemens imezindua magari ya kwanza ya umeme nchini humo yatakayokuwa rafiki kwa mazingira....

READ MORE

Uganda: Msichana Miaka 11 Abadili Maumbile Kuwa Mvulana

BINTI wa miaka 11, aliyefahamika kwa jina la Catherine amefanyiwa upasuaji na kubadili maumbile yak ya uzazi kutoka usichana kuwa...

READ MORE

Tigo yaingiza sokoni ‘Kitochi 4G Smart’ ’ yenye uwezo wa 4G kwa bei nafuu

    Kampuni inayoongoza katika mageuzi ya kidigitali nchini, Tigo, leo imezindua simu yenye sifa za smartphone ‘‘Kitochi 4G Smart’...

READ MORE

Kigwangalla Amjibu Makonda Sakata la Idris na Picha ya JPM

WAZIRI  wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangalla, amemjibu Mkuu wa Mkoa wa dar s salaam, Paul Makonda ambaye mapema...

READ MORE

Makonda akagua patakapo jengwa Hospitali ya Ubungo

Siku chache baada ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutoa fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 1.5 kwaajili ya Ujenzi wa...

READ MORE

Baba miaka 55 alia: BINTI WA MIAKA 17 KANIPONZA

“SIWEZI kusahau tukio hilo katika maisha yangu yote, binti wa miaka 17 kaniponza na kuniharibia maisha yangu yote.  “Mguu wangu...

READ MORE

Makonda: Viongozi wa Ubungo Wananenepeana – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, amewaonea huruma wakazi wa Ubungo kwa kile alichokieleza kuwa hawakuchagua viongozi...

READ MORE

Breaking News: Basi la Abood Lapata Ajali Dar

BASI la abiria mali ya Kampuni ya Abood Bus Services Ltd, limepata ajali mbaya maeneo ya Kimara Temboji jijini Dar...

READ MORE

Waziri Mkuu Hariri Atangaza Kujiuzulu

BEIRUT: WAZIRI Mkuu wa LEBANON, Saad El-Din Rafik Al-Hariri ametangaza rasmi kujiuzulu wadhifa wake huo kutokana na wananchi kuandamana kwa...

READ MORE

Kigogo Chuo Kikuu Aliyekaa Mahabusu Miaka 7, Ahukumiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu, Marietha Milinga kulipa fidia ya Sh12.9 milioni na kifungo cha nje cha miezi sita...

READ MORE

Maaskofu Wapendekeza Wanaume Waliooa Kuwa Mapadre

MAASKOFU wa Kanisa Katoliki wapendekeza kuwaruhusu baadhi ya wanaume waliooa kufanya kazi za Upadre. Pendekezo hili limepitishwa kwa kura 128...

READ MORE

Rais Moi Arudishwa Tena Hospitali

Rais wa Zamani wa Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi  amelazwa tena kwenye Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) katika Hospitali ya...

READ MORE

DC Muro Apokea Pikipiki Kutoka CRDB, Azikabidhi Polisi

Benki ya CRDB imekabithi msaada wa pikipiki tano zenye thamani ya shs 10 milioni kwa kituo cha polisi USA River...

READ MORE

Lugola: Ulitaka Kutuua? Naondoka na Wewe, Sikuachi – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ameyakamata magari mawili yaliyotaka kusababisha ajali kwa kufukuzana na kulazimisha kuovateki...

READ MORE

Ndege Yachomoka Gurudumu, Yashuka kwa Dharura

NDEGE ya Shirika la Silverstone imelazimika kutua kwa dharura baada ya gurudumu lake kuanguka wakati ikipaa, jana Jumatatu, Oktoba 28,...

READ MORE

DC Ludewa Ataka Wasiofunga Ndoa Watiwe Ndani

MKUU wa Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe Andrea Tsele ameagiza watu wanaoishi bila kufunga ndoa kupelekwa mahabusu kwa kuwa watu...

READ MORE

Mtoto Ateketea kwa Moto Baba Akitazama Mechi ya Arsenal

Mtoto wa Kike (Annet Namulondo) mwenye umri wa miaka 6 afariki kwa kuteketea kwa moto wakati Baba yake, Saleh Mukulu...

READ MORE

Happy Birthday Rais JPM

Leo, Oktoba 29, 2019 Rais huyo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Joseph Magufuli anatimiza umri...

READ MORE