×

Kimataifa

Waziri Mstaafu Afariki Akiwa Gerezani Nchini Guinea, Familia Yake Yamlilia

WAZIRI wa zamani wa Guinea Lounceny Camara alikuwa tayari amelazwa hospitali mara moja kabla ya kufungwa jela mwezi Mei, chanzo...

READ MORE

Mwili wa Mwanajeshi wa India Aliyepotea Miaka 38 Iliyopita Wapatikana Kwenye Barafu

MWILI wa mwanajeshi wa India aliyepotea miaka 38 iliyopita umepatikana kwenye mabarafu baada ya kikosi cha jeshi kufanya doria tangu...

READ MORE

Zaidi ya Watu 10 Wafariki Kutokana na Kunywa Pombe Yenye Sumu Uganda

ZAIDI ya watu 10 wamefariki dunia na wengine wamenusurika kifo na kulazwa hospitalini nchini Uganda, baada ya kunywa pombe aina...

READ MORE

Familia ya Nesi Aliyeaga Dunia Akiogelea na Kujirekodi, Yashindwa Kuurejesha Mwili Nchini

FAMILIA ya muuguzi raia wa Kenya aliyeaga dunia nchini Canada wakati akiogelea katika swimming pool huku akijirekodi live kwenye ukurasa...

READ MORE

Watu Zaidi ya 20 Waripotiwa Kuuawa kwa Shambulio la Kigaidi Nchini Somalia

MKUU wa jeshi la Polisi nchini Somalia amethibitisha kutokea kwa shambulio hilo ambalo limefanywa na wanamgambo wa al shabaab ambapo...

READ MORE

Raila Odinga Afungua Kesi Kupinga Ushindi wa Rais Mteule wa Kenya William Ruto

RAILA Odinga aliyekua mgombea katika nafasi ya Urais Kenya ameahidi leo saa nane kupeleka mapingamizi ya kushinda kwa mpinzani wake...

READ MORE

Ukraine Yahofia Mashambulizi Kutoka Urusi Siku ya Uhuru, Zelensky Aonya Raia wake

RAIS Volodymyr Zelensky wa Ukraine anahofia kwamba huenda Urusi ikafanya mashambulio makubwa wakati nchi yake inapotarajia kuadhimisha miaka 31 ya...

READ MORE

Putin Aruhusu Waangalizi wa Umoja wa Mataifa Kutembelea Kinu cha Nyuklia cha Zaporizhzhia

RAIS wa Urusi Vladimir Putin amekubali waangalizi na wakaguzi kutoka Umoja wa Mataifa kutembelea eneo la kinu cha Nyuklia la...

READ MORE

10 Waripotiwa Kufariki Kwenye Mlipuko wa Bomu Ndani ya Hoteli, Mogadishu

WATU 10 wameripotiwa kufariki kufuatia mlipuko uliotokea kwenye Hoteli moja mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.   Serikali pamoja na vyombo...

READ MORE

Maafisa Watatu wa Serikali Wasimamishwa Kazi kwa Tuhuma za Rushwa

RAIS wa Liberia na mchezaji wa zamani wa soka George Weah amewasimamisha kazi maafisa watatu kwa kosa la ufisadi.  ...

READ MORE

Jinamizi la Urais Lamtesa Raila Odinga kwa Miaka 25, Hatma Yabaki Mahakamani

RAILA Odinga mgombea wa kiti cha uraisi wa Azimio la Umoja amepoteza tena kwa mara ya tano dhidi ya mpinzani...

READ MORE

UN na Ukraine Wakubali Kuyamaliza na Urusi, Ni Baada ya Vita Kusogelea Sehemu Hatari

  KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres pamoja na marais wa Uturuki na Ukraine wamejadili namna za kumaliza...

READ MORE

Polisi Wafichua Miili ya Watu Ishirini Iliyokaushwa,Majirani Watoa Neno

POLISI katika mji wa Benin katika Jimbo la Edo kusini mwa Nigeria wanawashikilia watu watatu kutokana na kugundulika kwa miili...

READ MORE

Kanali Mtanzania Atunukiwa Medani na Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani

WIZARA ya Ulinzi ya Jeshi la Shirikisho Urusi limemtunuku nishani kwa kuimarisha ushirikiano katika Majeshi Kimataifa.   Kanali Joseph Bakari...

READ MORE

Mlipuko Mkubwa Watokea Ndani ya Msikiti Unaobeba Watu Wengi Afghanistan

POLISI mjini Kabul wamesema watu zaidi ya 21 wamefariki kutokana na mlipuko uliotokea ndani ya Msikiti Mkubwa zaidi jijini Kabul,...

READ MORE

Watu Zaidi ya 16 Wafariki kwa Mafuriko China Kaskazini, Serikali Yaingilia Kati

BEIJING Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha huko jimbo la Qinghai kaskazini mwa nchi ya China yamesababisha vifo vya...

READ MORE

Rais Mteule William Ruto Akubali Kuitikia Wito Wowote wa Mahakama

BAAADA ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Kenya Rais Mteule William Ruto Ameongea na waandishi wa habari na kusema watashiriki...

READ MORE

Rais wa Ukrain Alaani Mashambulio ya Urusi Dhidi ya Nchi Yake

RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelensky amelaani shambulio dhidi ya makazi ya watu katika mji wa pili kwa ukubwa nchini humo,...

READ MORE

Majeshi ya China na Urusi Yafanya Mazoezi ya Pamoja Yenye Lengo la Kuimarisha Uhusiano

BEIJING na Moscow zina uhusiano wa karibu wa kiulinzi na China imesema inataka kusukuma uhusiano wa nchi hizo mbili “katika...

READ MORE

Mwandishi wa Habari Mexico Auawa wakati wa Mashambulio Dhidi ya Vyombo vya Habari

MASHIRIKA ya kutetea haki za binadamu yanasema mwaka 2022 tayari umekuwa mwaka hatari zaidi kwa waandishi wa habari nchini Mexico...

READ MORE

Ugonjwa wa Surua Wazidi Kusasababisha Vifo Nchini Zimbabwe, Mamlaka Zaongea

SERIKALI imesema watoto 157 wamefariki huku idadi ya washukiwa nchini kote ikiongezeka maradufu katika muda wa siku nne.   Wote...

READ MORE

Mke wa Rais wa Marekani Jill Biden Akutwa na Covid-19, Mmewe Yupo Salama

IKULU ya marekani (White House) imethibitisha kuwa mke wa Rais huyo wa Marekani Jill Biden Alipatikana na maambukizi ya virusi...

READ MORE

Mbwa Akutwa na Ugonjwa wa Binadamu Yashukiwa Kuwa ni Maambukizi Kutoka kwa Binadamu

WANASAYANSI walisema maambukizi ya magonjwa kati ya wanyama wa kufugwa kama vile paka na mbwa kutoka binadamu  hayajawahi kuripotiwa mpaka...

READ MORE

Korea Kaskazini Yafanya Majaribio Mawili ya Makombora, Korea Kusini Yataka Diplomasia

  RAIS wa Korea Kusini Yoon Suk-Yeol atoa wito wa kuwepo kwa diplomasia yenye lengo la kujenga amani endelevu kati...

READ MORE

EU Yataka Suluhu ya Amani Nchini Kenya Baada ya Matokeo ya Uchaguzi

BAADA ya matokeo ya uchaguzi, Raila Odinga amejitokeza na kukataa matokeo hayo kwa kusema yalikuwa na kasoro hivyo kutotambua uteuzi...

READ MORE

Milipuko Yatikisa Ngome ya Urusi Iliyopo Crimea, Yadaiwa Kuwa Mapigo ya Makusudi

CRIMEA Peninsula ambayo ilitekwa kutoka Ukraine na kisha kutwaliwa na Urusi mapema 2014, na wakati majeshi ya Urusi yalipoanzisha uvamizi...

READ MORE

Mwanamuziki Adele Akolewa na Penzi Jipya la Rich Paul, Ataka Watoto Zaidi 

MWANAMUZIKI Adele raia wa Uingereza amesema anafikiria uwezekano wa kupata watoto zaidi kutokana na penzi analopata kutoka kwa mpenzi wake...

READ MORE

Mwili wa Aliyekuwa Msimamizi wa Uchaguzi Kenya Aliyetoweka Waokotwa

ALIYEKUWA Msimamizi wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) katika Jimbo la Embakasi Mashariki, Daniel Musyoka amekutwa...

READ MORE

Rais Samia Atia Neno Ushindi wa Ruto Kiti cha Urais Kenya

BAADA ya Tume Huru ya Uchauzi ya Kenya IEBC hapo jana tarehe 15 Agosti 2022 kumtangaza Dkt. William Ruto kuwa...

READ MORE

Donald Trump Aja na Madai Mazito Dhidi ya FBI, Alaani Jitihada za Kumdhoofisha Kisiasa

WIKI iliyopita, Maafisa wa Usalama Marekani (FBI) walivamia katika nyumba ya aliyekuwa Raisi wa marekani Donald Trump na kusema walipata...

READ MORE

William Ruto Ashinda Urais wa Kenya, Odinga Ashindwa Kutokea Hafla ya Utangazaji Matokeo

ALIYEKUWA mgombea wa Chama cha UDA kwenye uchaguzi wa Rais nchini Kenya William Ruto amechaguliwa kuwa Rais mteule wa awamu...

READ MORE

Mtu Mmoja Akutwa Amefariki Mto Thames Uingereza, Tahadhari Yatolewa

KIJANA wa kiume anayesadikiwa kuwa na umri wa miaka 20 amekutwa amefariki katika mto Thames jiji la London nchini Uingereza....

READ MORE

Wawili Wafariki na Kadhaa Kujeruhiwa Katika Mlipuko wa Soko Nchini Armenia

MLIPUKO huo ulitokea katika eneo la kuhifadhi baruti ndani ya soko la Surmalu katika mji mkuu wa Armenia, Yerevan, Jumapili...

READ MORE

Rais Putin Aapa Kuendelea Kuimarisha Uhusiano na Korea ya Kaskazini

RAIS wa Urusi Vladimir Putin ameapa kuwa serikali yake itaendelea kuimarisha uhusiano wake na taifa la Korea ya kaskazini linaoongozwa...

READ MORE

Huyu Hapa Mrembo Anayeshikilia Nambari Moja Duniani kwa Uzuri

KULINGANA na ripoti ya hivi majuzi iliyotolewa na “Golden Ratio of Beauty Phi,” Bella Hadid anachukuliwa kuwa mwanamke mrembo zaidi...

READ MORE

Mwanauchumi wa Australia aliyefungwa Jela kwa Kosa la Kuvujisha Siri za Nchi Akana Kosa

MWANAUCHUMI anayejulikana kwa jina la Sean Turnell, kutoka nchini Australia alikuwa serikalini kipindi cha uongozi wa Rais wa Myanmar Aung...

READ MORE

Zelensky: Urusi Inajaribu ‘Kutishia Ulimwengu Mzima’ Kwa Kufyatua Kinu cha Nyuklia

RAISI wa Ukraini Volodymyr Zelenskyy ameuonya ulimwengu kwamba Urusi ina mpango wa kufyatua kinu kikubwa cha nyuklia barani ulaya (Zaporizhzhia) kilichopo...

READ MORE

Kim Jong Un Atangaza Ushindi Dhidi ya COVID-19, Siri Nzito Yafichuka

RAIS wa Korea kaskazini Kim Jong Un amesema nchi yake imefanikiwa kumaliza tatizo la Covid -19 na hakuna kisa hata...

READ MORE

Mapigano Makali Yazuka Mashariki mwa Ukraine, Hofu Yatanda Kulipuka Kinu cha Nyuklia

  MAPIGANO makali yamezuka karibu na mji wa Pisky ulio Mashariki mwa nchi ya Ukraine, huku Urusi ikitaka kulitwaa eneo...

READ MORE

Wafanyakazi wa Kike Walazimishwa Kusalia Majumbani Mwao, Afghanistan

NI mwaka sasa kuanzia kundi kubwa la Wapashtun, wenye imani kali ya Kiislamu (Taliban) kuchukua nchi ya Afghanistan.   Wakati...

READ MORE