×

Kitaifa

China Yaripoti Maambukizi Mapya 46 ya Covid-19

SERIKALI ya China imeripoti kesi mpya za maambukizi ya virusi vya corona katika China bara Julai 25, ikiwa ni ongezeko...

READ MORE

Mama Samia: Taifa Limepoteza Mtu Muhimu – Video

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassam, amesema kwamba kifo cha aliyekuwa Rais wa...

READ MORE

Rais Mwinyi, Kardinali Pengo Wafika Kutoa Pole Msiba wa Mkapa – Video

KUFUATIA kifo cha cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu Benjamini wa Tanzania, Benjamin William Mkapa, Rais Mstaafu wa awamu...

READ MORE

Simanzi! Rais Shein Ampa Pole Mama Anna Mkapa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, ameungana na waombolezaji wengine kutoa pole kwa...

READ MORE

Membe: Mkapa Alikuwa Kiongozi wa Dunia

WAKATI Tanzania ikiendelea na mombolezo kufuatia kumpoteza aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamini Mkapa, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya...

READ MORE

Dkt. Shein: Viongozi Vijana Jifunzeni kwa Mkapa – Video

RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali mohammed Shein, amewasili kwa ajili ya kutoa salamu za pole na kusaini...

READ MORE

Majaliwa Amjulia Hali Kijana Deogratius Mianga MOI

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa jana (Ijumaa Julai 24, 2020) alimjulia hali kijana Deogratias Mianga mkazi wa Singida ambaye amelazwa katika...

READ MORE

Wanaswa na Takukuru Wakiwapelekea Fedha Wajumbe

TAASISI ya kuzuia na kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoani Mara inatarajia kuwahoji wagombea ubunge Viti Maalum sita mkoa wa Mara...

READ MORE

Kaburi la Mkapa Laanza Kuandaliwa

ASKARI wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wameanza kuchimba kaburi linalotarajiwa kutumika kuupumzisha mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya...

READ MORE

Wananchi Lupaso Wajiandaa Kupokea Mwili wa Mkapa

WANAKIJIJI wa Lupaso na vijiji jirani wanaendelea na kusafisha mazingira ya makazi yao wakijitayarisha kuupokea mwili wa aliyekuwa Rais wa...

READ MORE

Kifo cha Mzeew Mkapa ni Simanzi kwa Taifa

SIMANZI imetawala kila kona ndani na nje ya Tanzania kufuatia msiba mzito wa Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya...

READ MORE

Maisha ya Mkapa Tangu Kuzaliwa, Shule, Uongozi…Kifo

MWEZI Novemba mwaka jana Mzee Benjamin Mkapa alitoa kitabu juu ya maisha yake, na katika aya ya mwisho ya dibaji...

READ MORE

Ratiba ya Mazishi ya Hayati Rais Mkapa – Video

SERIKALI  ya Tanzania imetangaza kuwa marehemu Benjamin William Mkapa atazikwa kijijini kwake Lupaso, wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Kusini mwa...

READ MORE

Viongozi Wamlilia Mkapa, Wasifia Utendaji Wake

KUFUATIA kifo cha aliyekuwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Benjamin William Mkapa...

READ MORE

Vijana Kinondoni Wapewa Pikipiki, Bajaji

    Manispaa ya Kinondoni leo imekabidhi vyombo vya moto vya  usafiri Bodaboda na Bajaji vyenye thamani ya shilingi milioni...

READ MORE

Polisi Yaeleza Mwenyekiti wa BAWACHA Aliyeuawa kwa Mshale

  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma (RPC), Gilles Muroto amesema chanzo cha kifo cha Mwenyekiti wa BAWACHA, Kata ya...

READ MORE

Tume ya Uchaguzi Yabadili Majina ya Majimbo Matatu

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebadilisha kwa majina ya majimbo ambapo Jimbo la Chilonwa litaitwa Chamwino, Mtera linaitwa Mvumi...

READ MORE

Siri Misikiti, Shule za Kiislamu Kuungua Moto

MFULULIZO wa matukio ya ajali za moto katika misikiti na shule mbalimbali za Kiislamu jijini Dar es Salaam, yamewatikisa viongozi...

READ MORE

Mahakama Yatenda Haki; Aliyeua Mke, Watoto Wawili

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Sumbawanga, Julai 13 mwaka huu, ilitenda haki kwa kumhukumu Yustine Robart (35) kunyongwa hadi kufa baada...

READ MORE

Wazee 15 wa ‘Nitumie kwa Namba Hii’ Wanaswa – Video

WAKAZI 15 wa Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka mbalimbali ikiwemo...

READ MORE

Rais JPM Aagiza Mbuyu wa Mwl. Nyerere Kufanywa Makumbusho

Mti wa Mbuyu uliopo Chamwino, Dodoma ambao Baba wa Taifa na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere...

READ MORE

JPM: Takukuru Mnanivuruga, Mnajenga Gereza? – Video

RAIS  John Magufuli ameeleza kutoridhishwa kwake na gharama zilizotumika katika ujenzi wa Jengo la ofisi za Ofisi Tume ya Kuzuia...

READ MORE

JPM: Takukuru Msijipendekeze Chato – Video

RAIS John Magufuli ameelezwa kukerwa na kitendo cha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) kuomba fedha kiasi...

READ MORE

Magufuli: Wanasiasa Msichokoze Vyombo vya Dola

RAIS John  Magufuli amevitaka vyama vyote vya siasa kufanya kampeni za staha na kuheshimu sheria za nchi, sheria na taratibu...

READ MORE

JPM Atangaza Siku ya Uchaguzi Kuwa Siku ya Mapunziko – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametangaza rasmi kuwa tarehe 28, Oktoba, 2020 ambayo itakuwa...

READ MORE

Jela Maisha kwa Kubaka Mwanafunzi wa Miaka 5

MAHAKAMA ya Wilaya ya Kigoma imemhukumu mkazi wa Katubuka Manispaa ya Kigoma/Ujiji, Jeremia Kilahunja (49), kifungo cha maisha jela kwa...

READ MORE

Mwijaku: Wajumbe CCM Msifanye Kama Kigamboni

MTIA nia wa ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kawe, ambaye pia ni msanii na mtangazaji...

READ MORE

Zair Atumia Watoto Kumvuta Mondi Geto!

ZARINAH Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ni mwanamama mrembo. Ni mfanyabiashara mwenye makazi yake pale Durban, Afrika Kusini. Zari ni...

READ MORE

NEC Yatangaza Tarehe ya Uchaguzi Mkuu

#BreakingNews: Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza ratiba ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kama ifuatavyo: Uteuzi wa...

READ MORE

Hasunga Kidedea CCM Vwawa, Songwe

WAZIRI wa Kilimo, Japhet Hasunga, ameibuka kidedea baada ya kutangazwa mshindi wa kura za maoni wakati wa Mkutano Mkuu wa...

READ MORE

Mnyeti Kidedea Misungwi, Amshinda Kitwanga

ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti, ameibuka kidedea katika kura za maoni Jimbo la Misungwi kupitia Chama Cha...

READ MORE

Shilingi 100 Yatosha Kukupa Mamilioni na Parimatch Casino

Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch mara baada ya kumaliza kufanya maboresho yake katika tovuti yao ya kubashiri, imeamua kuwapa...

READ MORE

Abbas Mtemvu Aongoza Kura za Maoni Temeke

Abbas Mtemvu ameongoza kwa kura 203 katika Jimbo la Temeke akifuatiwa na Doris Kilave kura 182 huku watatu akipata kura...

READ MORE

Shigongo, Tizeba Wafungana Kura za Maoni Buchosa

WATIA nia wawili katika Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric James Shigongo na aliyekuwa mbunge wa Jimbo...

READ MORE

Bashe Aibuka Kidedea Kura za maoni Nzega Mjini

Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amewashinda watia nia wenzake 12 wa Ubunge jimbo la Nzega Mjini kwa kura 367...

READ MORE

Magufuli: Kura za Maoni CCM Zihesabiwe Hadharani – Video

RAIS John Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameagiza wasimamizi wa uchaguzi ndani ya chama hicho...

READ MORE

JPM: Tanzania Iko Salama, Watalii Wanamiminika – Video

RAIS John Magufuli, amesema kuwa Tanzania imebaki kuwa nchi salama  kwa kuwa ilifanikiwa kutokomeza  maambukizi ya ugonjwa wa Covid19 baada...

READ MORE

Wagombea Ubunge Buchosa-Sengerema Wakijinadi kwa Wajumbe Wapiga kura

      Baadhi ya wagombe ubunge katika jimbo la Buchosa wakijinadi kwa wajumbe katika mchakato wa kuwapata wagombea ubunge...

READ MORE

Mbowe, Msigwa Wajitoa Urais CHADEMA

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia  na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe  na makada wengine watatu wamejiengua katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa...

READ MORE