×

Kitaifa

Rais Samia: Kwandikwa Ameaacha Pengo – Video

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kifo cha aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Elias Kwandikwa kimeacha pengo...

READ MORE

Majirani Wasimulia Wema wa Mrehemu Kwandikwa

BAADHI ya majirani wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Elias Kwandikwa wameeleza namna walivyoguswa na kifo...

READ MORE

Udahili Waanza Shule Mbili Zilizojengwa na GGML

JUMLA ya wanafunzi 249 wamedahiliwa kuanza masomo ya kidato cha tano kwa mwaka wa masomo  2021/2022 katika shule za Bugando...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Kuaga Mwili wa Waziri Kwandikwa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ajumuika na waombolezaji wengine kushiriki ibada ya kuaga...

READ MORE

Taratibu za Kufungua Kesi ya Mbowe Zimekosewa, Kesi Yaahirishwa

KESI ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es...

READ MORE

Mbowe Afikishwa Mahakamani Kisutu – Video

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, na wenzake watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kukiwa na ulinzi mkali leo...

READ MORE

Polisi Wamsaka Mbunge Aliyejiuzulu Konde

WAKATI aliyekuwa mbunge mteule wa jimbo la Konde, Sheha Mpemba Faki akieleza sababu nne zilizomfanya kujiuzulu nafasi hiyo, ikiwemo kupokea...

READ MORE

Simba Waua Wanafunzi Watatu Arusha

WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Ngoile wilayani Ngorongoro, Mkoa wa Arusha, wameuawa kwa kushambuliwa na Simba, walipokuwa wanatafuta mifugo...

READ MORE

Headlines za Magazeti ya Leo Aug. 6, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 6, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Breaking: Messi Anaondoka Barcelona, Wenyewe Wathibitisha

TAARIFA zilizotolewa na Klabu ya Barcelona jioni hii zinaeleza kuwa, nyota wao Lionel Messi raia wa Argentina anaondoka klabuni hapo...

READ MORE

Mwenyekiti Adaiwa Kumbaka Shemeji Yake

Mwenyekiti wa kitongoji cha Kanami, katika kijiji cha Isangijo wilayani Magu mkoani Mwanza, Robert Mfungo anashikiliwa na polisi kwa tuhuma...

READ MORE

Ridhiwani Ashiriki Mkutano wa Halmashauri ya CCM Bagamoyo

  Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Mhe. Ridhiwani Kikwete leo Agosti 05, 20201 ameshiriki Mkutano wa Halmashauri ya Chama Cha...

READ MORE

RC Makalla Azindua Kampeni Ya Usajili Walipakodi Wapya

  Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amezindua Kampeni ya usajili wa walipakodi Wapya ikiwa ni...

READ MORE

Kesi ya Mbowe: Atakayeandamana Kukamatwa

Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limesema halitosita kuchukua hatua kali dhidi ya kundi lolote ambalo litafanya maandamano kwa kushinikiza kuachiwa...

READ MORE

Ole Sabaya Apona, Afika Mahakamani

Shahidi wa saba wa Jamhuri, ASP Gwakisa Minga anaendelea kutoa ushahidi wake katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili...

READ MORE

Chanjo ya Corona: Ukitazama Video Hii, Utaamua Uchanje au Usichanje! – Video

KUMEIBUKA nadharia mbalimbali tangu chanjo ya Uviko 19 iliporuhusiwa na Serikali kuingia nchini Tanzania na baadae watumishi wa Serikali na...

READ MORE

Bwege: Naunga Mkono Tozo, Mwanasiasa Haogopi Kufungwa Wala Kufa – Video

  MBUNGE Mstaafu wa Jimbo la Kilwa Kusini, Suleiman Bungara maarufu kwa jina la Bwege amesema yeye anaunga mkono tozo...

READ MORE

Baba na Mtoto Wadaiwa Kumuua Mama

Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 57 mkazi wa kata ya Puge Wilaya ya Nzega mkoani Tabora anadaiwa kuuawa na...

READ MORE

Kesi ya Mbowe Yaahirishwa, Wafuasi Chadema Wasombwa

POLISI jijini Dar es Salam wamewatawanya wafuasi wa Chadema ambao walikuwa wamekusanyika nje ya mahakama ya Kisutu kufuatilia kesi ya...

READ MORE

Kimenuka Kisutu! Wafuasi Chadema Wakamatwa

Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliokuwa wamekusanyika nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kuzuiwa...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Mamlaka ya Usafiri wa Anga

Rais wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amemteua Bi. Mtumwa Khatib Ameir kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafiri...

READ MORE

Mume Amuua Mkewe kwa Kumkata na Panga Kisa Wivu wa Mapenzi

MKAZI wa kata ya Malezi wilayani Handeni mkoani Tanga, Nassoro Mustapha anatuhumiwa kwa kumuua mkewe kwa kumkata na panga sehemu...

READ MORE

Bastola ya DC Yakamatwa Ikitumika Kufanya Uhalifu Mbeya – Video

JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashiklilia watu 5 kwa tuhuma za kukutwa na bastola moja na risasi 11, mali ya...

READ MORE

Dkt. Mpango Atoa Pole Msiba wa Kwandikwa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiambatana na Mkewe Mama Mbonimpawe Mpango hii...

READ MORE

Sabaya Ashindwa Kufika Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha leo imeahirisha usikillizaji wa ushahidi wa shahidi namba saba upande wa Jamhuri wa kesi ya...

READ MORE

Marobota ya Nguo Yakwamisha ‘Guta’ Kupinduka Eneo la Machinga Complex

    Baiskeli la miguu mitatu maarufu kwa jina la ‘Guta’ limepinduka katika eneo la Wafanyabiashara maarufu Machinga Complex Ilala...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Rais Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anayeshughulikia masuala ya...

READ MORE

Mkuu wa Upelelezi Aanza Kutoa Ushahidi Kesi ya Sabaya

MKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Wilaya ya Arusha, ASP Gwakisa Minga ameanza kutoa ushahidi wake katika kesi...

READ MORE

Lusinde Amjibu Mnyika “Akae Kimya”

MJUMBE wa Halmashauri kuu Taifa CCM (MNEC) na Mbunge wa Jimbo la Mvumi Mhe.Livingstone Lusinde amemtaka Katibu Mkuu wa Chama...

READ MORE

Mbunge Ridhiwani Kikwete Atembelea Ujenzi Bwawa la Maji, Wananchi Kuondokana na Kero ya Maji

Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete ametembelea eneo la Ujenzi wa Mradi wa Bwawa Kubwa la Maji litakalogharimu Shilingi...

READ MORE

EWURA Yasitisha Bei za Gesi Kupanda

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imesitisha upandaji wa bei za gesi za kupikia zilizopanda maradufu...

READ MORE

Tanzia: Padre Raymond Saba Afariki Dunia

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padre Raymond Saba ,amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatano,...

READ MORE

Bunge Lathibitisha: Wabunge Wote Wanakatwa Kodi

Ofisi ya Bunge la Tanzania imesema, wabunge kama ilivyo kwa watumishi wengine wa umma na viongozi wa kisiasa wanakatwa kodi...

READ MORE

Rais Mwinyi Amlilia Waziri Kwwandikwa

Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo kufutia kifo cha...

READ MORE

Mmiliki wa Shule za Alpha Afariki Dunia

JUMUIYA ya Wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (University of Dar es Salaam Academic Staff Assembly) – UDASA...

READ MORE

Gwajima: Nilishasema Sichanjwi

Mbunge wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo Ubungo, Dkt. Josephat Gwajima amekanusha taarifa zinasombaa mitandaoni...

READ MORE

Wanandoa Waliozaliwa Siku Moja, Wafa na Kuzikwa Siku Moja

MIONGONI mwa stori zinazo make headlines mkoani Kilimanjaro ni kuhusu kile kinachoonekana kuwa maajabu ya Mungu yaliyoambatana na simanzi na...

READ MORE

Mfanyabiashara Ndama Ahukumiwa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu mfanyabiashara maarufu nchini, Ndama Shabani ‘Ndama mtoto wa Ng’ombe’ na mwenzake Yusuph Yusuph kulipa...

READ MORE

Rais Samia Amlilia Waziri Kwandikwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa pole kwa familia,Jeshi, Bunge na Wananchi wa Jimbo...

READ MORE