×

Michezo

Yanga Yatangaza Orodha ya Wagombea wa Uchaguzi wa Klabu

Kamati ya Uchaguzi ya Yanga SC imetangaza orodha ya wanachama waliochukua na kurejesha fomu za kuwania nafasi mbalimbali za uongozi...

READ MORE

Morocco yaiondoa Uholanzi kwa penalti, yatinga hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia 2026

Timu ya taifa ya Morocco imefuzu hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuiondoa Uholanzi kwa...

READ MORE

Paraguay Yaishangaza Dunia, Yaitupa Nje Ujerumani kwa Penalti Kombe la Dunia 2026

Paraguay imeandika historia kwa kuiondosha Ujerumani kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kushinda kwa mabao 4-3 kwa mikwaju ya...

READ MORE

Rasmi! Enzo Maresca Kurithi Kiti cha Guardiola Manchester City

Manchester City imemtangaza Enzo Maresca kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Pep Guardiola na kuanza rasmi...

READ MORE

Martinelli Aizamisha Japan Dakika ya Mwisho, Brazil Yasonga 16 Bora Kombe la Dunia

Brazil imefuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi...

READ MORE

Canada Yaandika Historia, Yatinga Hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia

LOS ANGELES, Marekani – Stephen Eustáquio aliifungia Canada bao la ushindi katika dakika za majeruhi na kuiwezesha timu hiyo kuifunga...

READ MORE

Rais wa Shirikisho la Soka Saudi Arabia Ajiuzulu Kisa Kombe la Dunia

Rais wa Shirikisho la Soka la Saudi Arabia, Yasser Al Mashal, amejiuzulu kufuatia kutolewa kwa timu ya taifa ya nchi...

READ MORE

Mercedes Yashinda Tena, Russell Aongoza Austrian Grand Prix

SPIELBERG, Austria – George Russell ameibuka mshindi wa mbio za Austrian Grand Prix baada ya kuanza kutoka nafasi ya kwanza...

READ MORE

Mashujaa Wasiotarajiwa: Afrika Kusini Kukabiliana na Canada

Afrika Kusini walianza Kombe hili wakitazamiwa kuwa chini kabisa katika Kundi A, lakini wamevunja matarajio yote kwa kufuzu kwa mara...

READ MORE

Mbio za Ubingwa Zazidi Kupamba Moto, Okello Afunga Hat-Trick Dhidi ya TRA

Yanga wameendelea kusogea karibu zaidi na ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya...

READ MORE

Cheza Michezo ya Expanse, Shinda Kitita cha Kiasi Kubwa

Shindano la Expanse VIP linazidi kutoa matajiri kibao kila siku, Meridianbet wameongeza mzuka kwa wapenzi wa kasino ya mtandaoni ambapo...

READ MORE

Kwa Taarifa Zaidi Ingia Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu...

READ MORE

Norway dhidi ya Ufaransa Mechi ya Kuamua Mbabe wa Kundi

Norway na Ufaransa zimekwishafuzu kwa hatua ya 32 Bora baada ya kushinda mechi zao mbili za awali. Hata hivyo, mechi...

READ MORE

Video: Yumna Mmanga Ahoji Hatma ya Michezo kwa Watu Wenye Ulemavu Bungeni

Yumna Mmanga Omar, Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha makundi ya Watu wenye Ulemavu kutoka Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),...

READ MORE

Morocco Yatinga Mtoano kwa Mara Nyingine Kombe la Dunia

Timu ya taifa ya Morocco imefuzu hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi...

READ MORE

Afrika Kusini Yaandika Historia, Yatinga Hatua ya Mtoano kwa Mara ya Kwanza

Afrika Kusini imeandika historia mpya baada ya kuifunga Korea Kusini bao 1-0 na kufuzu hatua ya mtoano ya Kombe la...

READ MORE

Qatar Yaaga Mashindano ya Kombe la Dunia Baada ya Kufungwa na Bosnia 3-1

Qatar imeondolewa rasmi katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya timu ya taifa...

READ MORE

Simba na Azam Kupambana Fainali ya Kombe la Shirikisho Julai 4 Pemba

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank (CRDB Federation Cup)...

READ MORE

Bosnia Yaiondoa Qatar, Uswizi Yaongoza Kundi B Baada ya Kuifunga Canada

Leo tena viwanja mbalimbali zinaenda kuwaka moto kushuhudia timu zikichuana vikali kupata ushindi. Andaa jamvi lako la ushindi na uberti...

READ MORE

Manchester United Yapata Eneo la Ujenzi wa Uwanja wa Watu 100,000

Klabu ya Manchester United imepiga hatua kubwa katika mpango wake wa kujenga uwanja mpya wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua...

READ MORE

Netanyahu: Israel Lazima Ijitegemee Kijeshi na Kutengeneza Silaha Zake Yenyewe

DUBAI – Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema kuwa taifa hilo linapaswa kuimarisha sekta yake ya ulinzi na kupunguza...

READ MORE

Ureno na Uingereza Kuvuta Hisia za Mashabiki Leo, Kombe la Dunia

Ni banduka bandua tena leo hii michuano mikubwa Duniani itaendelea kwa mechi za ushindi. Lakini kwa upande wa Meridianbet wanasema...

READ MORE

Jinsi Lionel Messi Anavyoendelea Kutengeneza Mabilioni Nje ya Uwanja – Picha

Nyota wa soka duniani, Lionel Messi, ameendelea kuthibitisha kuwa mafanikio ya kweli hayaishii uwanjani pekee, bali hujengwa kupitia uwekezaji wa...

READ MORE

Manchester United Yazindua Mpango wa Uwanja wa Kihistoria

Klabu ya Manchester United imetangaza hatua kubwa katika mpango wake wa kujenga uwanja mpya wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua...

READ MORE

Cristiano Ronaldo Ajenga Jumba la Bilioni 105, Latikisa Ureno

 Nyota wa soka duniani, Cristiano Ronaldo ameripotiwa kujenga moja ya majumba ya kifahari na ya gharama kubwa zaidi nchini Ureno,...

READ MORE

Mechi ya Moto: Argentina Kukutana na Austria Leo – Kombe la Dunia

Safari ya kuanza kutengeneza ndoto huanza mapema, ambapo kupitia michuano hii mikubwa Duniani ainayoendelea una nafasi nzuri ya kutimiza malengo...

READ MORE

Misri Yaandika Historia Kombe la Dunia 2026, Saudi Arabia na Tunisia Zapata Vipigo

Timu za Kiarabu zimekuwa na matokeo tofauti katika Kombe la Dunia 2026, huku Misri ikiandika historia kwa kupata ushindi wake...

READ MORE

Ronaldo Adaiwa Kuwahidi Wachezaji Ureno Magari Ya Mabilioni Itabebea Kombe

Nahodha wa Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuahidi kuwazawadia wachezaji wenzake wa timu ya Taifa ya Ureno magari mapya ya kifahari aina...

READ MORE

Algeria Yaibukia Fifa, Yadai Messi Alistahili Kadi Nyekundu, Yataja Dhuluma ya Waamuzi

Shirikisho la Soka la Algeria limelalamikia kile lilichokiita dhuluma ya uamuzi wa waamuzi kwa FIFA kufuatia kipigo cha mabao 4-0...

READ MORE

Leo Ni Siku Ya Japan Na Spain? Mechi Za Pili Zabeba Ndoto Za Ufuzu

Leo hii timu kubwa zinaingia uwanjani kusaka ushindi kwenye mechi zao za pili. Spain, Japan, Tunisia na Saudi Arabia wote...

READ MORE

Ujerumani Yafanya Comeback Ya Kusisimua, Yatinga 32 Bora Kombe La Dunia

Timu ya Taifa ya Ujerumani usiku wa kuamkia leo Juni 21, 2026 imefuzu hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia...

READ MORE

Simba Yatinga Fainali Kombe la Shirikisho Baada Ya Kuwafunga Coastal Union 4-0 Arusha

Simba leo Juni 20, 2026 wamefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB (FA Cup) baada ya kuibuka na...

READ MORE

Germany na Ivory Coast kukutana kwenye vita vya Kundi E usiku wa leo Toronto

Mechi ya Leo Juni 20 saa 23:00 usiku (saa za Tanzania) katika Uwanja wa BMO Field, Toronto, ni pambano la...

READ MORE

USA na Australia Kusaka Uongozi wa Kundi D Leo – Kombe la Dunia

Mechi ya Leo Juni 19 saa 22:00 usiku katika Uwanja wa Lumen Field, Seattle, ni pambano la kileleni katika Kundi...

READ MORE

Ruto Aialika Arsenal Kutembelea Kenya Baada ya Sherehe za Ubingwa

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema ameialika klabu ya Arsenal kutembelea Kenya baada ya kushuhudia namna mashabiki wa timu hiyo...

READ MORE

Waamuzi Wasimamishwa Mechi Tano, Simba Yapigwa Faini ya Milioni 10

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imewaondoa kwenye orodha ya waamuzi kwa...

READ MORE

Yanga Yarejea Kileleni Baada ya Kuizamisha Fountain Gate Arusha

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo Juni 18, 2026 wamerejea kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya...

READ MORE

Messi Afunguka Sababu ya Kulia Baada ya Kufunga Hat-Trick Kombe la Dunia 2026

Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, amefichua sababu iliyomfanya ashindwe kuzuia hisia zake na kulia baada ya kufunga bao lake la...

READ MORE

Mexico na South Korea Kukutana Katika Vita ya Kuongoza wa Kundi A

Mchezo wa mashindano ya Dunia 2026 kati ya Mexico na South Korea utakaochezwa usiku wa kuamkia Juni 19 saa 04:00...

READ MORE

Meridianbet Yaleta Burudani na Zawadi Kwenye Michezo ya SmartSoft

Kama unapenda michezo ya kasino yenye msisimko wa hali ya juu, Meridianbet imekuandalia SmartSoft Spin & Win Instant Prizes Tournament...

READ MORE