×

Spoti Xtra

Morrison Ngoma Ngumu Simba SC

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Bernard Morrison, ameonekana kuwa na maisha magumu ndani ya kikosi cha Simba, hii ni baada ya...

READ MORE

Simba Yajikabidhi Pointi Tatu za Yanga

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, ameelezea malengo yake hivi sasa ni kuhakikisha anashinda michezo mitano mfululizo ya Ligi...

READ MORE

Manara Amaliza Msala Wake TFF

OFISA Habari wa Simba, Haji Manara, jana Jumatano mchana, alifika kwenye ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kulipa faini...

READ MORE

Kazi Ndo Imeanza Yanga, Leo Kukipiga na Mbeya City

KAZI ndiyo imeanza kwa Kocha Mkuu wa Yanga, Zlatko Krmpotic raia wa Serbia kuirudisha timu hiyo kwenye furaha kwa kuanza...

READ MORE

Kocha Simba Amtaja Mchawi Wao

WAKATI jana Jumamosi Simba ikibanwa mbavu na Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro, Kocha Mkuu wa Simba, Sven...

READ MORE

Senzo Aingilia Kati Jezi za Yanga

MSHAURI wa Yanga, Senzo Mazingiza raia wa Afrika Kusini, ameibuka na kusema kuwa utengenezaji wa jezi za timu hiyo umetumia...

READ MORE

Mashabiki Wajishindia Tiketi Kutoka Spoti Xtra Uwanja wa Mkapa

Mapema leo Agosti 30, 2020 Mkuu wa kitengo cha Masoko Global Publishers, Adam Antony ameongoza zoezi la kuwakabihi tiketi za...

READ MORE

Yanga SC: Njooni Muone Mavituz Yacarlinhos

WAKATI leo Jumapili Yanga wakiwa na kilele cha Wiki ya Mwananchi, ofi sa habari wa timu hiyo, Hassani Bumbuli amewaomba...

READ MORE

Kocha Mpya Yanga Mzigoni Wiki Ijayo

UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umefunguka kuwa unatarajia kumtambulisha rasmi kocha wao mkuu mapema wiki ijayo tayari kuanza kazi ya...

READ MORE

Morrison Aanza Kazi Rasmi Simba Kesho

KESHO Jumatatu, kikosi cha Simba kinatarajiwa kuanza mazoezi rasmi kujiandaa na msimu ujao wa 2020/21 kikiwa na nyota wake wote...

READ MORE

Bosi Ataja Wachezaji Watakaobaki Simba

UONGOZI wa Simba umetangaza kuwa wachezaji watakaobaki kuendelea kuvaa jezi za timu hiyo msimu ujao ni wale walioonyesha ubora mkubwa...

READ MORE

Mrembo AS Vita Amzuia Ibenge Kutua Simba SC

RAIS mpya wa Klabu ya AS Vita, mwanamama mrembo, Bestine Kazadi, ameweka wazi kuwa kocha wa mkuu wa timu hiyo,...

READ MORE

Kotei Atibua Dili la Kiungo Mpya Yanga

INA la James Kotei linaweza lisiwe linazungumzwa sana na mashabiki wa Yanga, lakini uongozi wa timu hiyo upo kwenye mipango...

READ MORE

Timu Championi Watoa Neno Kwa Atakayeshinda Gari

ZIMESALIA siku tatu tu kwa mshindi wa gari aina ya Toyota FunCargo yenye thamani ya Sh milioni 10 kupatikana. Gari...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Wasauz Wakubali Kuwapa Simba Straika

UONGOZI wa timu ya Orlando Pirates umeweka wazi kuwa upo tayari kumuachia straika wao, Mzambia, Justin Shonga katika usajili ujao...

READ MORE

Kwa Tshishimbi, Hapa Wamelamba Dume

KIUNGO Papy Kabamba Tshishimbi ni jembe kweli na ukiwa naye kikosini kwako, basi umelamba dume. Kwa takribani wiki nzima, kulikuwa...

READ MORE

Kauli Ya Tshishimbi Yanga Hii Hapa, Aitaja Simba – Video

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Mkongomani Papy Tshishimbi, ametoa kauli ya matumaini Jangwani kwa kutamka kuwa bado mchezaji halali wa timu...

READ MORE

Huyu Hapa Aliyemleta Morrison Bongo

KIUNGO Mshambulizi nyota wa Yanga, Bernard Morrison, amekuwa gumzo katika soka nchini baada ya kujiunga na timu hiyo akitokea kwao...

READ MORE

Tshishimbi Aikubali Simba

NAHODHA wa Yanga, Papy Tshishimbi raia wa DR Congo, amebainisha kuwa kwa mechi zilizobaki na pointi ambazo wamezidiwa na wapinzani...

READ MORE

Sven Awatega Mastaa Simba

WACHEZAJI wa Simba wamejikuta wakiingia ndani ya mtego wa kocha mkuu wa timu hiyo, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, katika kipindi hiki...

READ MORE

Simba: Chama, Kanda Hawaendi Popote

KATIKA kukiboresha kikosi chao, uongozi wa Simba umeahidi kutomuachia mchezaji yeyote watakayemuhitaji kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu...

READ MORE

Mbelgiji Apata Dawa Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji Luc Eymael amejiapiza kuwa atapambana kufa au kupona kuhakikisha wanamaliza msimu huu wa Ligi Kuu...

READ MORE

Buguruni Waapa Kuchomoka na Ndinga ya Championi, Spoti Xtra

  WASOMAJI wa magazeti ya michezo maeneo ya Buguruni jijini Dar es Salaam, leo Alhamisi, Machi 19, 2020, wamemiminika kama...

READ MORE

Sheva Apewa Kibaiskeli Simba SC

KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Miraji Athuman ‘Sheva’ anatarajiwa kuanza mazoezi ya kunyonga baiskeli kwa ajili ya kujiweka sawa kabla ya...

READ MORE

Ajibu Majanga Matupu Simba

IBRAHIM Ajibu yupo kwenye majanga makubwa ndani ya Simba kwa kuhofia kushindwa kuvunja rekodi yake aliyoiweka msimu uliopita alipokuwa anaitumikia...

READ MORE

Molinga Afanyiwa Kikao Kizito Yanga SC

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji Luc Eymael, jana Jumatano alitarajiwa kukutana na uongozi wa timu hiyo kujadili masuala mbalimbali yanayowahusu...

READ MORE

Kagere: Nitawafunga Tena Yanga Uwanja wa Taifa

MSHAMBULIAJI wa Simba, Meddie Kagere raia wa Rwanda, amesema atawafunga tena Yanga katika mchezo wa leo Jumapili wa Ligi Kuu...

READ MORE

Kocha Simba Aiweka Kiporo Yanga

KOCHA Mbelgiji wa Simba, Sven Vandenbroeck, ameiweka kiporo Yanga baada ya kusema mawazo yake kwa sasa ni kupata pointi sita...

READ MORE

Mkwasa Abadili Mbinu Yanga

BILA kificho, Kocha Msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa amesema kuwa kasi waliyoionyesha kipindi cha pili kwenye mchezo wa mzunguko wa...

READ MORE

Championi, Spoti Xtra Baba Lao, Ndinga Mpya Gumzo Kila Kona!

BAHATI nasibu ya Chomoka na Gari Mpya iliyoanzishwa na Kampuni ya Global Publishers kupitia magazeti yake ya michezo ya Championi...

READ MORE

Luis Atinga Anga za Morrison Bongo

DAKIKA 85 alizotumia kiungo mshambuliaji wa Simba, Luis Jose Miquissone kwenye mchezo kati ya Simba na Kagera Sugar, juzi Jumanne,...

READ MORE

Wazungu Wamvamia Samatta Nyumbani

NAHODHA wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta, ambaye kwa sasa anakipiga katika Klabu ya Aston Villa...

READ MORE

Charles Mkwasa: Hatujatoka Kwenye Mbio za Ubingwa

KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa, amesema kuwa bado ni mapema kuitoa Yanga katika mbio za kuwania ubingwa wa...

READ MORE

Bosi Spoti Xtra Aula TFF

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limempa ulaji Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Saleh Ally ambaye ni bosi wa magazeti ya...

READ MORE

Kagere Aamka Baada ya dk 540

JANUARI 26, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar wakati Simba ikiifunga Namungo mabao 3-2, Meddie Kagere alifunga bao...

READ MORE

Tshishimbi Amuachia Msala Mbelgiji Yanga SC

NAHODHA na kiungo wa Yanga, Papy Tshishimbi raia wa DR Congo, ni kama amemuachia msala kocha wa timu hiyo, Mbelgiji...

READ MORE

Morrison Ashusha Mghana Mpya Yanga

MUDA si mrefu Yanga itafaidi zaidi matunda ya kiungo wao mshambuliaji raia wa Ghana, Bernard Morrison, hiyo ni baada ya...

READ MORE

Yanga Yamvaa Bosi Mpya Bodi Ya Ligi

UONGOZI wa Yanga, umemtaka Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almas Kasongo kuanza kuiweka sawa ratiba ya Ligi Kuu...

READ MORE

Samatta Kumtibulia Jose Mourinho Leo

LEO Jumapili, mshambuliaji wa Aston Villa, Mbwana Samatta, anatarajiwa kusimama mbele kuwaongoza wenzake kumtibulia Kocha Jose Mourinho na timu yake...

READ MORE