SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, akisaini kitabu cha maombolezo alipofika nyumbani kwa Rais wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa, kutoa pole kwa mjane Mama Anna Mkapa Masaki, Jijini Dar es Salaam leo.
…Akizungumza na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Zubeir Ali Maulid (kushoto) na Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai (kulia) katika Ofisi Ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam.
Spika Ndugai (kulia), Spika Maulid (katikati) na Kigaigai (kushoto) wakimpa pole Mama Anna Mkapa (kulia) mjane wa hayati Benjamin Mkapa, walipokwenda nyumbani kwake Masaki jijini Dar es Salaam leo.
Kigaigai akisaini kitabu cha maombolezo alipofika kutoa pole kwa Mama Anna Mkapa.
PICHA NA BUNGE