Aussems: Ubora Utaibeba Simba Kwa Kaizer
KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, amefunguka kuwa ubora wa timu hiyo kwa sasa umekuwa mkubwa kutokana na kusajili wachezaji wenye uwezo wa kutumikia timu hiyo huku akisisitiza hatashangaa ikiwa Simba itafanikiwa…