The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

bunge

Mbunge Hussein Nassor: Siombi Radhi

MBUNGE wa Viti Maalum, Jacqueline Ngonyani Msongozi amesimama na kuomba mwongozo kuhusu ishu iliyotokea jana Juni 1, 2021 ya Mbunge wa Momba Condester Michael Sichalwe kutolewa nje ya ukumbi wa Bunge na Spika kwa madai kuwa amevaa nguo…

Tume ya Madini Yafanya Makubwa

Tume ya Madini imefikia lengo kukusanya maduhuli kwa zaidi ya asilimia 100. Katika 2018/19 ilikusanya maduhuli ya sh bilioni 346.78 sawa na asilimia 101.59 na kuvuka lengo la kukusanya Sh bilioni 310.32. Katika 2019/20, Tume hii imevuka…

Kimei: Serikali Ikakope Nje

Mbunge wa Vunjo, Dk Charles Kimei amesema deni la taifa ni himilivu na thamani ya shilingi ni nzuri na Serikali inaweza kutumia kwenda kukopa fedha kwenye soko la dunia kwa riba ndogo ili kukamilisha miradi mikubwa nchini. …