Fei Toto Atajwa Azam Kutolewa Kombe la Shirikisho Afrika Hatua ya Awali
BAADA ya Azam FC kuondolewa katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya awali, kocha wa timu hiyo, Yousouf Dabo, amesema sababu kubwa iliyofanya kutokea hali hiyo ni matumizi mabaya ya nafasi walizopata wachezaji wake.…
