The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

NDOA

Haolewi? Hujui Sababu? SOMA HAPA!

KUOLEWA au kutoolewa ni majaaliwa ya Mungu lakini zipo sababu ambazo zinaweza kumfanya mwanamke akawa anatanga na njia kila siku bila kupata mtu wa kumuoa. Kila mwanaume anashindwa kumuoa kutokana na mwenendo wa maisha yake.…

Usikurupukie Ndoa, Wengi Wameumia!

HAKUNA anayebisha kwamba ndoa ni jambo la msingi sana katika maisha ya kila binadamu. Aidha, kuoa ama kuolewa ni heshima katika jamii na ndiyo maana leo hii wapo wanaofanya kadiri wawezavyo kuhakikisha wanapata watu wa kuwa nao…

Ukiwa na Sifa Hizi Lazima Uolewe!

MOJA kati ya kilio kikubwa cha mabinti ni kupata wanaume sahihi wa kuwaoa. Ishu si tu kuolewa lakini kupata mume sahihi ni jambo lingine. Wengi wanaishia kukutana na wanaume ‘wasanii’ ambao hawana mpango wa ndoa. Wao wanafurahia…

Mwanamke Aolewa na Wanaume Saba

Mwanamke mmoja ambaye ni Mganga wa Kienyeji nchini Nigeria ameweza kuolewa na wanaume saba tofauti, amesema wanaume wake hawawezi kumsaliti kwa sababu amewajengea nyumba ambazo ana uwezo wa kutembelea kimaajabu muda wowote wakitaka…