The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

uchaguzi

Maagizo ya NEC kwa Vyama vya Siasa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vya siasa, wagombea na wadau wa uchaguzi kuepuka kujihusisha na matukio yenye viashiria vya uvunjifu wa amani kwani jukumu la kulinda amani ni la kila mwananchi, hivyo wahakikishe…

Simba Kuchagua Mwenyekiti Kesho

KLABU ya soka ya Simba leo Februari 06, wameitisha mkutano na wanahabari kuzungumzia mchakato wa uchaguzi wa kujaza nafasi ya Mwenyekiti wa klabu hiyo utakaofanyika kesho Februari 7 2021. Akizungumza na wanahabari…

Watoto wa Trump Waitupia Lawama Republican

WATOTO wawili wa kiume wa Rais wa Marekani Donald Trump wamekishutumu chama cha Republican kwa kutokuwa bega kwa bega na baba yao, kipindi hiki  ambacho yupo kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake. Trump Don Jr ambaye ni…

Giza Nene Latanda Upinzani

WAKATI Watanzania wakikaa chini na kutafakari mustakabali wa siasa nchini katika kipindi cha miaka mitano ijayo, giza nene limetanda kwa upande wa vyama vya upinzani baada ya kutokea anguko la kihistoria katika uchaguzi mkuu uliofanyika…