Bodi ya Wakurugenzi Simba SC Yatangaza kamati Rasmi ya Uchaguzi
BODI ya wakurugenzi wa klabu ya Simba imefanya uteuzi wa kamati ya uchaguzi ya klabu hiyo ambayo itahusika na kuandaa na kusimamia uchaguzi mkuu wa klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Msimbazi jijini Dar es Salaam.
…
