Rucky Baby Akiri Mapedeshee Kufulia
NA GABRIEL NG'OSHA | AMANI | SHOWBIZ XTRA
Sexy lady wa Bongo Fleva, Rukia Jumbe ‘Rucky Baby’ amefunguka kuwa wale mapedeshee wa mjini waliokuwa wanawahonga minoti mabinti hata wao kwa sasa wamefulia.
Akizungumza na Showbiz Xtra,…