Mayweather Amchapa Mkali wa ‘Mixed Martial Arts’ Mikuru Asakura Kwa KO – Video
Lejendari wa masumbwi duniani, Floyd Mayweather asubuhi ya leo Jumapili Septemba 25, 2022 amemchapa mkali wa mixed martial arts mjapan Mikuru Asakura kwa KO ya raundi ya pili huko Japan.
Mikuru kuelekea katika pambano hilo alikuwa…