Wanafunzi Nyamkumbu wanolewa na GGML kuhusu taaluma ya madini
Na Mwandishi Wetu
ZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu iliyopo mkoani Geita wamepatiwa mbinu za kuzingatia katika masomo yao ili kukua kitaaluma na kuja kuwa watalaamu wa masuala ya madini…