The House of Favourite Newspapers
Tags:

Auawa kikatili kwa kuchomwa visu baa

NA IGENGA MTATIRO Risasi Jumamosi Mara: Ryoba Marwa Hamba (24), mkazi wa Kijiji cha Nyangoto, Tarime mkoani Mara ameuawa baada ya kudaiwa kuchomwa visu sehemu mbalimbali za mwili wake, huku chanzo cha tukio hilo kikiwa hakijulikani. Kwa…

CCM yashinda majimbo 159, Chadema majimbo 35

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kunyakua majimbo ya uchaguzi 159, ambayo hadi jana yamethibitishwa na wasimamizi waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo hayo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo…

Live Updates: Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015

James Mbatia. Jimbo la Vunjo: Mgombea wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia, ameshinda kiti cha Ubunge kwa kuzoa kura 60,187 akifuatiwa kwa mbali na mgombea wa CCM Innocent Melleck Shirima aliyeambulia kura 16,097. January Makamba. Jimbo la…

Wameingia, Wametoka!

Anne Kilango Malecela. Stori: Oscar Ndauka TAYARI! Moshi mweupe umeanza kuonekana kwenye matokeo ya uchaguzi mkuu wa udiwani, ubunge na urais wa vyama zaidi ya 20 uliofanyika nchini kote, Oktoba 25, mwaka huu, Uwazi linatiririka.…

Mdahalo wa wagombea urais wafanyika jijini Dar

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Nghwira (kulia), na Mgombea nafasi hiyo kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Chifu Litayosa Yemba wakijibu maswali mbalimbali katika mdahalo wa wagombea…