×

Habari

Rais Samia Afanya Uteuzi, Utenguzi, Uhamisho wa Viongozi, Angellah Kizigha Ateuliwa Mbunge

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi, utenguzi, uhamisho na kumpangia kituo balozi katika mabadiliko...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Asafiri kwa SGR Kutoka Dodoma Hadi Dar – Picha

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, leo Aprili 2, 2026 amesafiri kwa treni ya reli ya...

READ MORE

Trump Amtania Macron Kuhusu ‘Kofi la Mkewe’, Rais wa Ufaransa Ajibu kwa Hasira

Rais wa Marekani Donald Trump ameibua mjadala mkubwa kimataifa baada ya kumkejeli Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kwa kurejea tukio...

READ MORE

Video: Polisi Ruvuma Wawakamata Watuhumiwa wa Mauaji ya Dereva Bodaboda

Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linawashikilia watuhumiwa wawili, Saidi Ramadhani (28), mkazi wa Mshangano–Namanyigu, na Gamaliel Mundo (36), mkazi...

READ MORE

Video: Mbunge John Nchimbi Ajilipua Sakata la Mafuta, Watumishi Wanaotumia Magari Binafsi

Mbunge wa Jimbo la Nyasa, John Nchimbi, amechangia katika Kikao cha Tatu cha Mkutano wa Tatu wa Bunge la 13,...

READ MORE

Rais wa Iran Atuma Barua ya Wazi Kwa Wamarekani Kuhusu Vita

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ameandika barua ya wazi kwa umma wa Marekani akihoji iwapo vita vinavyoendelea kati ya nchi...

READ MORE

Video: Hoja Nzito za Eric Shigongo Bungeni, Kuhusu CAG, Uchumi

Mbunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, amechangia mjadala Bungeni mjini Dodoma leo Aprili 2,...

READ MORE

Vodacom Yafanya Maboresho Makubwa M-Pesa, Kuongeza Usalama na Ufanisi

Dar es Salaam, Aprili 1, 2026: Kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano ya Vodacom Tanzania Plc leo imetangaza kukamilika kwa maboresho...

READ MORE

Video: Mbunge Sanga Ahoji Kuhusu Ujenzi wa ‘Arena’

Mbunge wa Jimbo la Makete kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Festo Sanga, ameuliza swali la nyongeza Bungeni akilenga Wizara ya...

READ MORE

SBL Yatambulisha Serengeti Premium Apple Kwa Wadau Dar

Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imewakutanisha wadau kutoka tasnia mbalimbali jijini Dar es Salaam katika mkakati maalum wa kutambulisha...

READ MORE

Video: Mbunge Bahati Ndingo Aibananisha Serikali Sekta ya Elimu

Mbunge wa Jimbo la Mbarali, Bahati Ndingo, amepata nafasi ya kumuuliza swali Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

READ MORE

Benki ya Exim Yaingia Ubia wa Kimkakati na The Voice TZ

Dar es Salaam, Aprili 1, 2026 — Kadiri mahitaji ya huduma za malipo ya kidijitali yanavyozidi kuongezeka nchini, Benki ya...

READ MORE

NASA Yaandika Historia Tena, Yazindua Misheni ya Artemis II Kuelekea Mwezini

Shirika la anga za juu la Marekani, NASA, limeanza rasmi hatua mpya ya safari za binadamu kwenda mwezini baada ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Nchemba Ajibu Maswali ya Papo kwa Papo Bungeni – Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Aprili 2, 2026 ameshiriki katika kipindi cha maswali...

READ MORE

Makamu wa Rais Nchimbi Akutana na Pope Leo XIV Vatican – Picha

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, amekutana na kusalimiana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki...

READ MORE

Trump Atangaza Kuishambulia Iran Kwa Nguvu Kubwa Kabla ya Kumaliza Vita Ndani ya Wiki 2–3

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa vita kati ya Marekani na Iran vinatarajiwa kumalizika hivi karibuni, licha ya kuonya...

READ MORE

Japan Yazindua Makombora Mapya Yatangaza Mkakati Mpya wa Ulinzi

TOKYO, Tokyo — Japan imeanza rasmi kutumia mfumo wake wa kwanza wa makombora ya masafa marefu katika kambi ya kijeshi...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 2, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Wagombea Urais Uchaguzi Mkuu 2025 – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na wagombea wa nafasi ya urais...

READ MORE

Waziri Mkuu Awasilisha Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge 2026/27- Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, leo amewasilisha rasmi Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi...

READ MORE

Namibia Yapunguza Ushuru wa Mafuta kwa Asilimia 50 Kudhibiti Bei

Katika kukabiliana na wimbi la kupanda kwa bei za mafuta duniani, Serikali mbalimbali barani Afrika zinaanza kuchukua hatua za moja...

READ MORE

Iran Yatangaza Kulenga Kampuni za Teknolojia za Marekani Mashariki ya Kati

Wakati mvutano wa vita ukiendelea, Iran kupitia Jeshi lake la Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) limetangaza mpango wa kulenga makampuni...

READ MORE

Trump Kutoa Taarifa Muhimu Kuhusu Mustakabali wa Vita Iran leo

Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kulihutubia taifa leo usiku akiwa na kile Ikulu ya White House imeeleza kuwa ni...

READ MORE

EWURA Yapandisha Bei ya Mafuta, Petroli Dar Sasa Sh3,820 kwa Lita

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza ongezeko kubwa la bei za mafuta nchini, ambapo kwa...

READ MORE

Airtel Yatoa Mazda CX-5 kwa Mshindi wa Kampeni ya “Mwaka Umenyooka” Arusha

Arusha, Aprili 1, 2026 – Airtel Tanzania imemkabidhi rasmi gari jipya aina ya Mazda CX-5 Bw. Razak, mshindi wa pili...

READ MORE

Prof.. Shemdoe Awasilisha Randama Ya Makadirio ya Mapato Na Matumizi Ofisi ya Waziri Mkuu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewasilisha...

READ MORE

Msimamo wa Marekani NATO Watia Mashaka, Hegseth Asema Ni Uamuzi wa Rais

Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth, amekataa kuthibitisha tena dhamira ya Marekani...

READ MORE

Fahamu Mambo Muhimu Yasiyotakiwa Kupuuzwa Katika Gari Lako

Kila mmiliki wa gari anapaswa kuwa makini na alama ndogo ndogo zinazoweza kuashiria matatizo makubwa yanayoweza kusababisha ajali au gharama...

READ MORE

Cadillac Escalade IQ Yatangazwa Kuwa SUV Bora Mwaka 2026

Jarida la magari la MotorTrend limetangaza rasmi kuwa ndiyo SUV Bora ya Mwaka 2026. Ushindi huu si wa bahati, bali...

READ MORE

Video: Mwili wa Lukuvi Wazikwa Iringa, Waziri Mkuu Afunguka Mazito

WAZIRI MKUU, Mwigulu Nchemba, amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na...

READ MORE

Watu 6 Wafariki, 14 Wajeruhiwa Ajali ya Basi la Green Line Singida

Watu sita wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani, iliyotokea katika eneo la Injiri, Wilaya ya Ikungi...

READ MORE

Marekani Yathibitisha Ongezeko la Meli Kupita Hormuz, Afichua Harakati Mpya

Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth, amesema kuwa idadi ya meli zinazopita katika Strait of Hormuz imeongezeka, akisisitiza kuwa...

READ MORE

Mwanamke Atoroka Kwenye Gari la Polisi Kupitia Dirisha Akiwa na Pingu

Tukio la kushangaza limewaacha wengi midomo wazi baada ya mwanamke mmoja aliyekuwa amefungwa pingu kufanikiwa kutoroka ndani ya gari la...

READ MORE

Mwanamke Afungwa Mwaka Mmoja Jela kwa Kuiba Mtoto wa Miezi Mitatu – Video

Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu mwanamke mmoja, Novina Yoel Kuboja (23), kifungo cha mwaka mmoja jela baada...

READ MORE

Mtanzania Afariki Uturuki Baada ya Kudondoka Ghorofa ya 14, Utata Wazuka – Video

Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikimuonesha Mtanzania aliyefariki dunia baada ya kudondoka kutoka ghorofa ya 14 nchini Uturuki, umeibuka mjadala...

READ MORE

Zelensky Aishutumu Russia Kushirikiana na Iran Kushambulia Marekani

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ametoa madai mazito akidai Russia imekuwa ikishirikiana kwa karibu na Iran katika kutoa taarifa za...

READ MORE

Chris Brown Azua Gumzo Baada ya Kumbusu Shabiki Jukwaani

Msanii maarufu wa muziki kutoka Marekani, Chris Brown, amezua gumzo kubwa mitandaoni kufuatia tukio lililotokea katika moja ya maonyesho yake...

READ MORE

CAG Dkt. Kichere Aibua Kasoro Kwenye Mradi wa Uwanja wa Arusha – Video

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, Machi 30, 2026 amewasilisha ripoti kuu ya mwaka wa...

READ MORE

Rais Samia Ampongeza CAG, Aahidi Mapungufu Kushughulikiwa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itachukua hatua madhubuti kushughulikia mapungufu yote yaliyobainishwa katika...

READ MORE

CAG: Deni la Serikali lafikia Trilioni 110.05, Lakini Bado Salama – Video

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Charles Kichere, leo Machi 30, 2026 amewasilisha Ripoti Kuu ya mwaka wa...

READ MORE