Kharg Island ni kisiwa muhimu sana kwa uchumi wa Iran kilichopo katika maji ya Persian Gulf, karibu na pwani ya...
READ MOREWAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kufanyika kwa uchunguzi kuhusu mfumo wa upatikanaji wa dawa katika hospitali na vituo...
READ MOREMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameungana na Waumini mbalimbali katika Misa...
READ MOREBenki ya Absa Tanzania imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na wateja kwa kuandaa hafla ya futari iliyowakutanisha viongozi wa benki, viongozi...
READ MOREWAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini katika kulinda amani, kuimarisha...
READ MORERais wa Marekani, Donald Trump ameitaka Uingereza na mataifa mengine kutuma meli za kivita katika mlango bahari wa Strait of...
READ MOREMwalimu aliyewasaidia mastaa wakubwa wa muziki wa Bongo Fleva, akiwemo Diamond Platnumz, Harmonize na Rayvanny, kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha, Allen...
READ MOREWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekutana na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa,...
READ MORERais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Marekani inapanga kuhakikisha kuwa Strait of Hormuz inafunguliwa na kubaki salama kwa usafirishaji...
READ MOREMeneja Mkuu wa Global Group, Abdallah Mrisho leo Machi 14, 2026 amesema kuwa kifo ni fumbo na kila mwanadamu anapaswa kujiandaa...
READ MORESerikali ya Marekani imesaini makubaliano ya ushirikiano na Tanzania katika masuala ya kuimarisha jeshi, ulinzi wa amani na usalama wa...
READ MOREMbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, ametoa pole kwa familia ya marehemu Juma Maanda aliyefariki dunia, alipofika kuwafariji ndugu...
READ MOREMisa ya kuombea mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Uendeshaji na Biashara wa EFM Tanzania na TVE Tanzania, marehemu Dennis Busulwa...
READ MOREKatika kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa vitendo, Meridianbet imeleta tabasamu kwa wakazi wa Dar es Salaam kwa msaada wa...
READ MOREMsanii mwenye hekaheka zake mjini asiyeishiwa vibwanga Gift Stanford ‘Gigy Money’ ambaye kwa sasa amebadili dini na kutumia jina la...
READ MOREWiki moja tu kabla ya kuanza kwa Kilimanjaro Premium Lager International Marathon, waandaaji wa mbio hizi zenye hadhi ya...
READ MOREMkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko, amesema kuwa gharama za kufanya vipimo vya vinasaba vya binadamu (Human DNA) zimeongezeka...
READ MOREKatibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amempongeza Mbunge wa Jimbo la Buchosa,...
READ MORERais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa kwa sasa Marekani haijalenga kufanya operesheni ya kuchukua uranium ya Iran, ingawa alionyesha...
READ MOREUganda na Tanzania zimekubaliana kuondoa vikwazo vyote vya biashara kati ya nchi hizo mbili ifikapo mwezi Juni mwaka huu, hatua...
READ MORERais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Simon Nyakoro Sirro, kufuatia vifo vilivyotokana...
READ MORETehran, Iran — Leo Machi 13, 2026 Wairani wamejitokeza katika miji mikubwa ya nchi hiyo kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya...
READ MOREWAZIRI wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegseth ameeleza sababu ya kwa nini jeshi la Marekani bado halijaanza kusindikiza meli zinazopita...
READ MOREJiji la Dubai limeanza kuonekana kama mji uliotelekezwa baada ya maelfu ya wakazi na wageni kuondoka kufuatia mashambulizi ya makombora...
READ MOREJeshi la Marekani limesema kuwa wanajeshi wote sita waliokuwa ndani ya ndege ya kijeshi ya kujaza mafuta angani walifariki dunia...
READ MORERipoti mpya imeeleza kuwa Kiongozi mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, anadaiwa kuwa katika hali ya koma hospitalini na hajui kinachoendelea...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amrmetoa pole kwa uongozi wa Wilaya ya Kigoma mkoani hapa kufuatia tukio...
READ MOREWAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 13, 2026 ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Maji wa Miji 28...
READ MOREZoezi la pamoja la medani Justified Accord 2026 lililohusisha Kikosi Maalumu cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)...
READ MOREJeshi la Marekani limethibitisha kuwa ndege yake ya kijeshi imeanguka nchini Iraq. Kwa mujibu wa taarifa ya U.S. Central Command,...
READ MOREDiwani wa Kata ya Kariakoo, Haji Manara, amezungumzia kuhusu marehemu Denis Busulwa almaarufu Ssebo, akimwelezea kama mtu aliyekuwa na moyo...
READ MOREBABATI, MANYARA — Wakazi wa mitaa ya Mruki na Msasani katika Halmashauri ya Mji wa Babati wamesihi Serikali kuingilia kati...
READ MOREToyota Prius imekuwa mfano wa ubunifu katika sekta ya magari duniani kutokana na mfumo wake wa Hybrid Synergy Drive, unaounganisha...
READ MOREBaraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (Bakwata) limetangaza rasmi Sikukuu ya Eid El-Fitri mwaka huu itasherehekewa Machi 20 au 21,...
READ MORESoko la burudani ya kasino mtandaoni linaendelea kupata sura mpya baada ya Meridianbet kuileta Naga Games, mtoa huduma anayekuja na...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema eneo la Ngorongoro Conservation Area ni urithi wa kipekee...
READ MORETaarifa inayodaiwa kutolewa kwa niaba ya kiongozi mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, imesomwa kupitia televisheni ya taifa huku kukiwa na...
READ MOREMapigano yanayoendelea nchini Sudan tangu Aprili 2023 kati ya jeshi la serikali lenye makao Port Sudan na vikosi vya upinzani...
READ MOREIran imetuhumiwa kushambulia meli mbili kubwa za mafuta katika Ghuba ya Uajemi kwa kutumia boti zilizokuwa zimebeba vilipuzi, tukio lililosababisha...
READ MOREMsanii wa filamu nchini Tanzania, Abdulrazak Salum, amefunguka na kueleza kuwa ndoa iliwahi kuchanganya maisha yake kwa kiasi kikubwa hadi...
READ MORE