×

Habari

Simba Yaendeleza Dozi, Yainyuka Ruvu Shooting Kirumba

MABINGWA Watetezi wa Ligi kuu Tanzania Bara Simba, imefanikiwa kuondoka na alama tatu muhimu dhidi ya Ruvu Shooting, katika mchezo...

READ MORE

Basata Wampongeza Diamond Kuwania Tuzo Ya BET 2021

Baraza la Taifa la Sanaa (BASATA) wametoa pongezi kwa msanii Staa wa Bongo Fleva, Nassibu Abdul, maarufu Diamond Platnumz kwa...

READ MORE

Shigongo: Wanasema Magufuli Aliwadhibiti, Nitashikilia Shilingi – Video

MBUNGE wa Buchosa (CCM) ameipongeza Serikali kwa kuhakikisha umeme unapatikana kwa asilimia kubwa, ambapo ameitaka kuendelea kuwekeza kwenye nishati ya...

READ MORE

Mchungaji Mgogo Apata Ajali, Aonywa

BAADHI ya Watanzania wamemuomba Mchungaji wa Kanisa la Baptist Tanzania, Daniel Andendekyse Mgogo kutoendelea na hulka ya kuendesha gari mwenyewe...

READ MORE

Mbaroni Kisutu Kwa Tuhuma za Kusafirisha Dawa za Kulevya

Watu watatu akiwemo Afisa Utawala wa kampuni ya ujenzi ya Makame Mwinyi Generals Supplies, Batuli Bakari (39) na fundi umeme...

READ MORE

Wanaharakati Walia Mbunge Kutolewa Nje Kisa Nguo

Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini yamekosoa hatua ya Spika wa Bunge Job Ndugai kumtoa nje Mbunge wa Momba,...

READ MORE

Majaliwa: Hakuna Makinikia Yanayouzwa Bila Kulipiwa – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema makinikia yote yanayosafirishwa yamefuata taratibu na hakuna makinikia yanayouzwa bila kulipiwa kwanza.   “Makontena yote...

READ MORE

Drake Atakomba Tuzo 18 BET?

TANGU alipodondosha mixtape yake ya So Far Gone, Drake amekuwa msanii mwenye uhakika wa ‘namba’ kwenye chati mbalimbali za muziki...

READ MORE

Bibi wa Miaka 72 Ateseka na Mimba ya Miaka 30

Bibi mmoja mwenye umri wa miaka 72 nchini Nigeria anakumbana na maisha magumu kutokana na hali yake isiyokuwa ya kawaida....

READ MORE

Rais Samia Akutana na Ujumbe Kutoka Kwa Rais Kagame

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo June 3 2021 Ikulu Dodoma amepokea ujumbe kutoka kwa...

READ MORE

Rwanda Yaahidi Kukuza Ushirikiano na Tanzania

SERIKALI ya Rwanda imesema ipo tayari kukuza zaidi uhusiano na ushirikiano wake na Tanzania, hasa katika utekelezaji wa miradi mbalimbali....

READ MORE

Hatima ya Seth na Rugemarila Yamsubiri DPP

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa, mazungumzo ya makubaliano (Plea bargain) ya kumaliza kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi...

READ MORE

Balozi Mulamula Awasilisha Bajeti Mambo ya Nje

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Liberata Rutageruka Mulamula (Mb), juzi aliwasilisha bungeni makadirio...

READ MORE

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Amnyonga Mwenzake

MWANAFUNZI  wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Iringa, Petronel Mwanisawa (22) amefariki dunia kwa kunyongwa na mpenzi wake....

READ MORE

Lukuvi Afuta Waraka Unaokataza Madiwani

WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amefuta waraka namba moja  unaowaondoa madiwani kushiriki katika shughuli za...

READ MORE

Tanzia: Ismail Michuzi Afariki Dunia

  MWANAMUZIKI mkongwe Ismail Issa Michuzi amefariki dunia leo asubuhi Juni 3,  katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar...

READ MORE

Mbunge Akiri Kutumia Bangi: Ina faida Nyingi – Video

  MBUNGE Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu amekiri kuwa akiwa na umri mdogo aliwahi kutumia majani na Mbegu za Bangi kama...

READ MORE

Vodacom Yashiriki Upandaji Miti Kuelekea Kilele cha Siku ya Mazingira Duniani

Kampuni inayotoa huduma za simu ya Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na uongozi wa Mkoa wa Dodoma wameshirikiana kupanda mti katika eneo la...

READ MORE

Mbunge Aanika Sababu za Wanaume Kukosa Nguvu za Kiume – Video

Mbunge Viti Maalum anayewakilisha Vyuo Vikuu, Dkt. Tea Ntala Amesema Tatizo la ukosefu wa lishe Bora kwa wanaume kukosa limekuwa...

READ MORE

Tabasamu: Nimetishiwa Kuuawa Walinipigia Simu – Video

MBUNGE wa Sengerema (CCM), Hamis Tabasamu amedai kutishiwa kuuawa na watu wasiowajua baada ya kuchangia bungeni kuwa kazi ya kuweka...

READ MORE

Mtoto wa Komba Ashushiwa Kipigo na Polisi, Chanzo Mkewe – Video

MTOTO wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi (CCM) na mwimbaji maaarufu wa nyimbo za siasa nchini Tanzania, hayati Kapteni John...

READ MORE

Mita za Maji za Malipo ya Kabla, Wateja Kuhamishiana Uniti za Maji

WIZARA ya Maji na Umwagiliaji inakusudia kuanza kufunga mita za maji za malipo ya kabla kwa ajili ya majaribio kati...

READ MORE

Manji Mikononi mwa Takukuru, Sababu Zatajwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imethibitisha kuwa inamshikilia mfanyabiashara Yusuph Manji kwa mahojiano. Manji, ambaye aliondoka nchini...

READ MORE

Bulaya Atema Nyongo “Tanesco Inajiendesha kwa Hasara” – Video

MBUNGE wa Viti Maalum (CHADEMA), Ester Bulaya ametoa mchango wake kwa Wizara ya Nishati leo Jumatano, Juni 2, 2021 Bungeni...

READ MORE

Tanesco Yajiendesha Bila Ruzuku – Video

Mapato ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) yameongezeka kutoka kukusanya Sh72 bilioni mwaka 2016 hadi Sh160 bilioni mwaka 2020/2021 na...

READ MORE

Mkuchika: Aanika Alivyoagana na JPM Kabla ya Kifo ‘Niliugua Pingili’

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu, George Mkuchika leo amerejea bungeni baada ya kukosekana kwa miezi mitatu huku akisema...

READ MORE

Huzuni- Pacha Wafa Baharini Wakiwa Wamekumbatiana

FAMILIA katika eneo la Gasi, Kaunti ya Kwale nchini Kenya imeghubikwa na simanzi baada ya watoto wao pacha kupatikana wamefariki...

READ MORE

Wanne Wafariki Dunia, 20 Wajeruhiwa Ajali Ya Basi Shinyanga

WATU wanne wamefariki dunia katika ajali ya basi Kampuni ya Classic lenye namba za usajili binafsi Salum Rashidi Classic (SRC...

READ MORE

Rais Mstaafu Mwinyi Amkabidhi Mama Maria Nyerere Kitabu

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Ali Hassan Mwinyi, leo tarehe 02-06-2021 amefika...

READ MORE

Mkosoaji wa Ikulu Atiwa Nguvuni

Polisi ya Urusi imemkamata Dmitry Gudkov mmoja ya wakosoaji wakubwa wa ikulu ya Kremlin na taarifa zinasema huenda atakabiliwa na...

READ MORE

Samia Atoa Onyo Ma-RC na Ma-RAS Wanawake: ‘Nisiisikie’ – Picha,Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ameteua asilimia 46 ya Makatibu Tawala Wanawake hivyo anataka...

READ MORE

Morogoro: Mchina Akamatwa kwa Kutorosha Dhahabu

Mkuu wa Wilaya ya Ulanga, Ngolo Malenya kwa kushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo wamekamata madini...

READ MORE

RC Kafulila Aanza na Fedha za Madini

MKUU wa mkoa wa Simiyu David Kafulila ameagiza uhakiki wa kiasi cha madini ya ujenzi yanayotoka katika kila halmashauri za...

READ MORE

Nimenusurika, Namshukuru Mungu

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda Jenerali Katumba Wamala ametoa shukran zake kufuatia shambulio lililomlenga Jumanne asubuhi, akimshukuru Mungu...

READ MORE

Ndugai Alivyomtimua Mbunge Kisa Suruali Ya Kubana

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai jana Jumanne Juni Mosi, 2021 alimtoa katika ukumbi wa Bunge mbunge wa Momba (CCM), Condester...

READ MORE

Samia: Rais Hakosei, Msiwadharau Niliowateua – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuna Watu walisema Rais amekosea kuteua mtu kutoka chama...

READ MORE

Samia: Sina Ujuzi wa Kuhesabu Matofali na Mabati Kama Magufuli – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema mtangulizi wake, Hayati Dkt. John Magufuli alihesabu matofali na...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Makatibu Tawala wa Mikoa Ikulu – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha Makatibu Tawala wa Mikoa na viongozi mbalimbali aliyowateua hivi...

READ MORE

Waziri Ummy Atekeleza Maagizo ya Rais Samia Kariakoo

Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu atekeleza maagizo ya Rais Samia Suluhu. Awasimamisha kazi viongozi wa Soko la Kariakoo, Dar kupisha...

READ MORE