×

Habari

Diddy Ampiga Simu Trump – Aomba Msamaha Baada ya Kifungo cha Miezi 50!

Rais wa Marekani, Donald Trump, amethibitisha kwamba rapa maarufu Diddy (Puff Daddy) amempigia simu akiomba msamaha wa rais, kufuatia hukumu...

READ MORE

Donald Trump Aongoza Orodha ya Wagombea Tuzo ya Amani ya Nobel

Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kutangazwa rasmi kwa mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Rais wa Marekani, Donald...

READ MORE

Aspect Gaming & Superspade Games Sasa Ndani ya Meridianbet

Mpaka wakati huu, kwenye ulimwengu wa michezo ya kasino ya mtandaoni, majina makubwa yamekuwa yakitengeneza historia kwa ubora, ubunifu na...

READ MORE

Trump Aweka Kiwango Kipya cha Wakimbizi, Aelekeza Kipaumbele kwa Waafrika Kusini Weupe

Utawala wa Rais Donald Trump nchini Marekani unajiandaa kuweka kiwango kipya cha kupokea wakimbizi kuwa watu 7,500 pekee kwa mwaka...

READ MORE

Saleh Jembe: Kwa Takwimu, Kocha wa Yanga Hafai Kufukuzwa – Video

Mchambuzi mkongwe wa michezo nchini, Saleh Jembe, ameibua mjadala baada ya kueleza kuwa kwa mujibu wa takwimu alizonazo kuhusu mwenendo...

READ MORE

Kuokoa Maisha Kupitia Huduma Wafanyakazi Wa Vodacom Washiriki Zoezi La Uchangiaji Wa Damu

Wafanyakazi wa kampuni ya Vodacom Tanzania PLC, Zinga Yahaya (kushoto), Christina Rodrigues( katikati), na Tariq Lukeko wakishiriki katika zoezi la...

READ MORE

Shule ya Lilian Kibo High School Yakabidhiwa kwa Mungu Baada ya Kifo cha Mwasisi Wake – Video

Aliyekuwa mmiliki wa Shule ya Sekondari Lilian Kibo High School, marehemu Kibo, aliwahi kutoa wosia wa kipekee kabla ya kifo...

READ MORE

Mahakama Kuu Yaamua Hatima ya Mpina Oktoba 10

Mwanachama wa chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema kuwa matamanio yake makuu ni kuona anaruhusiwa kugombea nafasi ya Urais...

READ MORE

Nmb Kufanikisha Sherehe za Kuzima Mwenge wa Uhuru

BENKI ya NMB, imeikabidhi ofisi ya Mkoa wa Mbeya hundi ya Sh. Milioni 30 kwa ajili ya udhamini wa maadhimisho...

READ MORE

Viongozi Airtel Watembelea Kituo cha Huduma kwa Wateja Kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja

Katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja, uongozi wa Airtel Tanzania ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Charles Kamoto, pamoja na...

READ MORE

Tabora Yasimama na Dkt. Samia, Dkt. Nchimbi Awanadi Wabunge..

MGOMBEA mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi amehitimisha mikutano yake ya hadhara...

READ MORE

Wakili Kibatala Aitaka Serikali Kutoa Taarifa Rasmi Kuhusu Usalama wa Polepole

Wakili maarufu wa Tanzania, Peter Kibatala, ametoa wito kwa mamlaka za usalama nchini kutumia rasilimali zote kuhakikisha hali ya usalama...

READ MORE

Umoja Wa Mataifa Walitunukia  Jwtz Nishani Ya Ulinzi Wa Amani Nchini Jamhuri  Ya Afrika Ya Kati

Kikosi Cha Nane cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TANBAT 08), kinacholinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Ufaransa, Sebastien Lecornu, Ajiuzulu Wiki Chache Baada ya Kuteuliwa

Waziri Mkuu mpya wa Ufaransa, Sebastien Lecornu, amejiondoa madarakani leo, Oktoba 6, 2025, ikiwa ni wiki chache tu baada ya...

READ MORE

Puma Energy Tanzania Waadhimisha Wiki ya Huduma Kwa Wateja Kwa Kutoa Huduma Za Ziada Kwenye Vituo Mbalimbali Nchini

Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania, Bi. Fatma Abdallah akisafisha kioo cha gari cha mmojawapo wa wateja waliofika kituoni kupatiwa...

READ MORE

Polepole Adaiwa Kutekwa, Polisi Waanza Uchunguzi

Jeshi la Polisi limetoa taarifa kwa umma, likieleza kuwa limeona taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii na ndugu wa Humphrey...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yaadhimisha Miaka 25 Ya Huduma Katika Wiki Ya Huduma Kwa Wateja

Urithi wa Ujumuishi na Ubunifu Unaomlenga Mteja Dar es Salaam – Oktoba 6, 2025: Wakati dunia ikiadhimisha Wiki ya Huduma...

READ MORE

Mzee Butiku Amlipua Captain Tesha “Hatuna Mavazi Kama Hayo, Hilo Si Jeshi Letu”- Video

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Mzee Joseph Warioba Butiku amewahimiza Watanzania kuungana na Kauli rasmi iliyotolewa na Jeshi la...

READ MORE

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Kuendelea Kusikilizwa leo

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, inatarajiwa kuanza kusikilizwa mfululizo kuanzia leo...

READ MORE

Jaji Mkuu Masaju Atoa Wito Wa Ushirikiano Kati Ya Mahakama, Polisi Na Mawakili – Video

JAJI MKUU wa Mahakama ya Tanzania,  George Masaju, ametoa wito kwa askari wa Jeshi la Polisi, mawakili na wadau wote...

READ MORE

Polisi Watoa Onyo Kuhusu Matumizi Mabaya ya Mitandao ya Kijamii

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa on warning kali dhidi ya kile lilichokiita matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii kwa...

READ MORE

TEF Yalaani Vikali Wito wa Wanajeshi Kujihusisha na Siasa

Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limelaani vikali kauli na maudhui yaliyosambazwa katika mitandao ya kijamii Oktoba 4, 2025, yakionesha watu...

READ MORE

Meridianbet Missions, Njia Mpya Ya Kuburudika Na Kushinda Zaidi

Karibu kwenye msimu mpya wa michezo ya kasino kupitia Meridianbet Missions, mfumo wa kipekee uliobuniwa kwa ajili ya wapenzi wa...

READ MORE

EWURA Yatoa Rai Kuhusu Vibali Vya Ujenzi wa Vituo Vya Mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa rai kwa wafanyabiashara wanaokusudia kuanzisha vituo vya mafuta kuhakikisha...

READ MORE

Mgeja Achanja Mbuga Kumuombea DK. Samia Kura za Ushindi wa Kishindo

Kahama Shinyanga: MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga na Mwanasiasa  Mkongwe, Khamis Mgeja amejitosa kumpigia...

READ MORE

Sikonge Yafurika Mkutano wa Kampeni wa Dkt. Nchimbi

Picha za matukio mbalimbali mkutano wa kampeni wa Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Amwakilisha Rais Samia Kwenye Uapisho wa Rais Mutharika Nchini Malawi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 04, 2025 amemwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho wa Rais Mteule...

READ MORE

Kihongosi: Zaidi ya Milioni 14 Wahudhuria Mikutano ya Dkt. Samia Nchini – Video

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Kenani Kihongosi amesema kuwa tangu...

READ MORE

Dansa Maarufu wa Tukuyu Sound, Arafa Matatuu, Afiwa na Mume

Dansa nyota wa Tukuyu Sound, Arafa Matatuu, amepata pigo kubwa baada ya kufiwa na mumewe leo alfajiri jijini Dar es...

READ MORE

Wikiendi ya Kibingwa Na Odds Kali Kutoka Meridianbet

Muda wa burudani ya soka safi ndo huu umewadia. Viwanja mbalimbali barani Ulaya vinaenda kuwa jukwaa la kutoa burudani ya...

READ MORE

Sbl Na Nct Yawakaribisha Wanafunzi Wa Learning For Life Siku Ya Kwanza Ya Mafunzo Arusha

Timu ya uongozi na wakufunzi wa Chuo Cha NCT Kampasi ya Arusha Pamoja na wanafunzi wa awamu ya pili wa...

READ MORE

Kampuni ya Global Venture Yawasafirisha Watanzania Kwenda Kazi Dubai

Kampuni ya Global Venture imefanikisha usafirishaji wa kundi la Watanzania waliopata nafasi za ajira katika mji wa Dubai, Falme za...

READ MORE

Dkt. Samia: Tunaendelea Kuijenga Tanzania Yenye Usawa na Fursa Kwa Wote – Video

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan,...

READ MORE

JWTZ Latoa Ufafanuzi Rasmi Kuhusu Upotoshaji Mitandaoni – Video

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa tamko kali kufuatia kuenea kwa taarifa na mijadala mitandaoni inayolihusisha jeshi hilo na...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Aendelea na Kampeni Tabora, Awaomba Wananchi Kumpigia Kura Dkt. Samia

Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 5, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Airtel Tanzania Yaadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 kwa Kujizatiti Upya kupitia Kaulimbiu ya “Mteja Kwanza”

Dar es Salaam, Oktoba 2025: AIRTEL Tanzania imeungana na mataifa katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja ya mwaka 2025,...

READ MORE

Rais Samia Awataka Mabalozi wa CCM Kuhakikisha Kila Aliyejiandikisha Anapiga Kura

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti...

READ MORE

Amorim Akabiliwa na Hatari ya Kutimuliwa Endapo United Watafungwa na Sunderland

Kocha wa Manchester United, Rúben Amorim, yuko katika hatihati ya kufutwa kazi endapo kikosi chake kitashindwa kupata ushindi dhidi ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awasili Malawi Kumwakilisha Rais Samia

Blantyre, Malawi – Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewasili leo Oktoba 4, 2025 nchini Malawi kumwakilisha Rais Dkt. Samia...

READ MORE