The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Category

Soccer

Nani Bingwa wa LALIGA 2025/26?

Wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa leo hii unaweza ukabashiri nani anaweza kuwa bingwa wa Laliga. Kila timu imepewa ODDS nzuri inayoweza kukupatia pesa za maana. Jiunge sasa na Meridianbet uanze safari yako ya ushindi hapa.…

Taifa Stars Yaelekea Benin

LEO Oktoba 8 Timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars, imeondoka leo Ijumaa, Oktoba 8, 2021 majira ya saa 6 mchana kuelekea nchini Benin kwenye mchezo wa marudiano kufuzu Kombe la Dunia. Jana, Oktoba 7, Uwanja wa Mkapa, Taifa…

Mourinho Atimuliwa Tottenham

Tottenham imemfuta kazi Jose Mourinho kutokana na timu hiyo kutokuwa na nafasi ya kushiriki Champions League msimu huu. Mourinho, mwenye miaka 58, alichukua mikoba ya Mauricio Pochettino Novemba 2019 ila…

Samatta Uso Kwa Uso Na Van Dijk

STRAIKA Mtanzania anayecheza Aston Villa, Mbwana Samatta, leo anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kitakacho pambana na mabingwa wa Ligi Kuu England, Liverpool ambao ukuta wao unaongozwa na Virgil van Dijk. Katikamchezo…

Tanzia: Yanga Yapata Pigo

KLABU ya Soka ya Yanga imepata pigo baada ya kuondokewa na mchezaji wake wa zamani na Taifa Sstars, Hassan Goebles 'Gobbos' ambaye amefariki dunia leo Alhamisi, Januari 17, 2019, asubuhi. Kwa mujibu wa mtoto wa marehemu,…