The House of Favourite Newspapers
Browsing Category

Latest News

Barbara Apigwa Faini ya Laki Tano

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Kuu Tanzania Bara TBLP katika kikao chake cha Desemba 30, 2021 ilipitia mwenendo wa matukio mbalimbali na kufanya maamuzi yafuatayo. Afisa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba…

Dias Mchezaji Bora wa Epl

BEKI wa klabu ya Manchester City  Ruben Dias ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa ligi kuu ya Uingereza msimu huu 2020/2021. Dias ameshakusanya tuzo mbili mpaka sasa ile ya  mchezaji bora wa mwaka wa waandishi wa…

Deal Done Zimbwe Aongeza Mkataba Msimbazi

NAHODHA msaidizi wa Simba Mohamed Hussein 'Zimbwe Jr', leo Aprili 28 ameongeza mkataba wa kuendelea kukipiga kwenye timu hiyo. Kupitia ukurasa wa Simba kwenye mtandao wa Instagram wamethibitisha beki huyo kuongeza mkataba. Na…

Karia Ajitoa Kugombea Ujumbe FIFA

RAIS wa TFF Wallace Karia amethibitisha kujitoa kwenye kinyang’anyiro cha kugombea Ujumbe wa Baraza la FIFA kuwakilisha nchi zinazozungumza lugha ya kiingereza. “Ni kweli, nafasi za kuingia kutoka Afrika zinagombewa…

Tetemeko la Ardhi Lapita Mara

Majira ya saa 10:47 alfajiri, usiku wa kuamkia leo Machi 11, Mkoa wa Mara na maeneo jirani ya Kanda ya Ziwa yamepitiwa na tetemeko la ardhi. Tetemeko hilo lilikuwa na ukubwa wa 4.7 kwa kipimo cha richa, lilianzia Butiama na kufika…

Bosi wa Mamelodi Atajwa Kumrithi Ahmad CAF

RAIS wa klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, Patrice Motsepe, anatajwa kuwa Rais Mpya wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) baada ya Ahmad Ahmad, katika kuelekea uchaguzi mkuu wa CAF March 12 2021 nchini Morocco. Inaripotiwa na…

Yanga Wapokea Rasimu ya Mabadiliko

KAMATI ya Utendaji ya klabu ya Yanga leo Desemba 2, 2020,  imepokea ripoti kwa ajili ya mabadiliko ya uendeshwaji wa kisasa baada ya ushauri wa La Liga. Wiki iliyopita, Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Kampuni ya GSM ambao pia ni…

Watano Rasmi Wasaini Yanga

JUNI 27, 2019  uongozi wa Yanga ulikuwa kwenye hatua ya kuwasainisha mikataba mipya nyota wake watano tayari kwa kuwatumia msimu ujao kwenye michuano mbalimbali. Timu hiyo inaanza kambi rasmi ya mazoezi Jumapili ijayo mjini Morogoro.…

Tanzia: CCM Yapata Pigo

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepata pigo baada ya kuondokewa mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, Hamisi Mnegero, aliyefariki dunia alfajiri ya jana Alhamisi, Mei 9, 2019, akiwa msikitini. Taarifa ya Umoja…

Simba Yaweka Rekodi Mpya Ligi Kuu

SIMBA, juzi ilifanikiwa kuweka rekodi mpya katika Ligi Kuu Bara baada ya ushindi dhidi ya Coastal Union ya Tanga na kujikita kileleni mwa ligi hiyo. Ushindi wa juzi wa mabao 8-1 dhidi ya Coastal ulifanya timu hiyo kujiwekea rekodi mpya…