The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

jacqueline wolper

Wolper Achimba Mkwara Mzito

MWANADADA anayekiwasha kunako Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe ambaye ni mjasiriamali mkubwa amechimba mkwara mzito.Wolper ametoa onyo kali kwa wale wanawawake wanaopenda kuchukua wanaume za watu. Akizungumza na…

Wolper Kasahau Kuumizwa Penzini

Staa wa filamu ambaye sasa hivi amegeukia kwenye upande wa kudizaini na kushona nguo mbalimbali, Jacqueline Wolper amesema kuwa anamshukuru Mungu kwa kuwa amesehau habari za kuumizwa kimapenzi. Akizungumza na amani, Wolper…

Wolper akiri kudanga

WAKATI mastaa mbalimbali wa kike wakidaiwa kudanga kwa wanaume tofauti, mwigizaji Jacqueline Wolper amefunguka kuwa hata yeye amewahi kufanya hivyo, lakini kwa staili ya tofauti.  Akistorisha na Gazeti la Ijumaa, Wolper alisema amewahi…

Mnaomsubilia Wolper Mmefeli

MKali wa sinema kunako Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe ametoa povu kwa wale wanaosubiria kwenye peji yake ya instagram kuona kama atamposti mpenzi wake wa sasa na kusema hao wamefeli. Wolper aliliambia Gazeti la…

Wolper Alia Kutengwa na Mastaa

STAA wa Bongo Movies, Jacquline Wolper amesema kuwa mastaa wengi hawapendi kupeana ‘sapoti’, kiasi kwamba hata kama staa mwenzao akiwa na biashara yake wapo radhi kununua kwingine lakini si kwake, ili tu wamkomoe. Akichonga…

Wolper, Punguza Ushamba Basi!

NINA kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa wema na fadhila zake kwangu, lakini nisiwe mchoyo kumshukuru kwa niaba yako wewe msomaji wangu, hasa kwa kuwa mfuatiliaji mzuri wa safu hii ya Barua Nzito. Leo nimeona…

Kajala, Wolper Kimewaka Mbaya

DAR ES SALAAM: Kinachoendelea hivi sasa kati ya mastaa wawili wakubwa wa filamu, Kajala Masanja na Jacqueline Wolper tunaweza kusema kimewaka mbaya baada ya mazungumzo kwa njia ya video kati ya muigizaji huyo na aliyekuwa bwana wa…

WOLPER AMTOLEA POVU MADEE!

DIVA anayeng’ara kupitia Bongo Muvi, Jacqueline Wolper, amejikuta akimtolea povu staa wa Bongo Fleva, Hamad Ally ‘Madee’ kwa kosa la kutumia katuni ya picha yake bila ridhaa yake kwenye kideo cha ngoma yake ya Sikila aliyomshirikisha…

Bila Tungi Wolper Hana Ujanja

IMEBAINIKA! Msanii wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper akiwa hajapiga ‘tungi’ anakuwa na aibu kiasi cha kushindwa kuzungumza jambo mbele za watu. Wolper alivujisha siri hiyo juzikati baada ya kufanya ‘interview’ akiwa hajaonja kilevi…

Wolper Ajiweka Kando na Wanaume

STORI: MAYASA MARIWATA, IJUMAA, STAR MIX STAA wa filamu Bongo Jacqueline Wolper amesema kuwa, japo wanaume wengi wenye nazo wamekuwa wakimsumbua kumtaka kimapenzi, haoni haja ya kuwa nao kwa kuwa anaamini ni wasumbufu tu hawana…

Wolper Acharukia Wasanii Wenzake

STORI: IMELDA MTEMA | UWAZI | HABARI Dar es Salaam: Staa mwenye kiwango cha juu Bongo Muvi, Jacqueline Wolper Massawe amefunguka kuwa, wasanii wengi waliopo kwenye tasnia ya filamu ni wanafiki na wanafuata mkumbo, hawako kiuhalisia.…