Mayele Adaiwa Kuuzwa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, CEO wa Yanga Senzo Mbatha Akanusha
MWANDISHI Mkongwe Afrika, Nuhu Adams leo Julai 30, 2022 kupitia ukurasa wake wa twitter ameandika kuwa mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele ameuzwa kwa Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kwa mkataba wa miaka mitatu.
…
