The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Kaizer Chiefs

Gomes Aleta Mashine Nne za CAF

KATIKA kuhakikisha msimu ujao wanafanya vema kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes amewaambia mabosi wake kuwa anahitaji wachezaji wanne pekee kutoka nje ya nchi. Hiyo ikiwa ni siku…

Simba Yapiga Tizi la Kona, Krosi

KATIKA kuhakisha Simba inafanikiwa kupata ushindi dhidi ya Kaizer Chiefs katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kocha mkuu wa Simba, Didier Gomes ametumia muda wake kufundisha kuhusu kucheza mipira ya juu…

Simba Yanasa Siri za Kaizer

JANA Jumatano, Kaizer Chiefs ilitarajiwa kucheza mechi ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini dhidi ya Moroka Swallows, ambapo Simba walipanga kuufuatilia mchezo huo kwa lengo la kuzinasa mbinu za wapinzani wao hao. Uamuzi wa Simba…