Wananchi Kibiti Wamshukuru Rais Samia Ujenzi Daraja la Mbuchi
				WAKAZI wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa daraja la Mbuchi linalounganisha kata hizo ambalo limegharimu shilingi bilioni 7.2.
 …			
				 
			