Msuva: Rais wa Timu Alikuwa Hapokei Simu Zangu, Nilimuombea Afe
MSHAMBULIAJI wa Timu ya Taifa ya Tanzania Simon Msuva ambaye alikuwa akikipiga katika Klabu ya Raja Casablanca amefunguka magumu aliyoyapitia wakati akihudumu katika klabu hiyo.
Akiongea na waandishi wa habari Msuva amesema…
