The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

tulia

Huyu Ndiye Dkt. Tulia Usiyemjua

Dkt. Tulia Ackson alizaliwa Novemba 23, 1976 katika Kata ya Bulyaga, Tukuyu Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya. Dkt. Tulia alisoma elimu yake ya msingi na sekondari mkoani Mbeya na baadaye mwaka 1998-2003 alisoma sheria Chuo Kikuu Cha Dar es…

CCM Yampitisha Dkt. Tulia Uspika

BREAKING NEWS: Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), leo Alhamisi Januari 20, 2022 imempitisha Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson kuwania nafasi ya uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurithi nafasi ya Job Ndugai…

Dkt. Tulia Achukua Fomu ya Uspika

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson leo Jumatatu, Januari 10, 2022 amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge, Dkt. Tulia amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu msaidizi Mkuu Idara ya…

Sugu: Tulia Aachane na Sugu

Aliyekuwa mbunge waJjimbo la Mbeya Mjini, kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi 'Sugu', amesema yeye hana mamlaka ya kumkabidhi ofisi mbunge wa sasa wa jimbo hilo kupitia CCM, Dkt. Tulia Ackson, kwani ofisi aliyokuwa akiitumia,…

Dkt. Tulia: 2020 Nitagombea

NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania,  Dkt. Tulia Ackson, amesema ana mpango wa kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa 2020, lakini hajabainisha atagombea jimbo gani, kwa kile alichodai chama chake cha CCM, kinamzuia kutaja jimbo…