PM Majaliwa Akabidhi Mil 600 za Nmb Kusaidia Wanawake Wenye Tatizo la Fistula
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Afya iendelee kuhamasisha taasisi, na wadau kuchangia maeneo muhimu kama ya afya hasa yanayogusa jamii ikiwemo fistula, na saratani ambayo yanasumbua jamii.
“Suala…