Mirabaha: Wasanii Wamiminika COSOTA
BAADHI ya Wasanii waliokidhi vigezo vya kisheria na kukidhi masharti ya kupata mgawo wa mirabaha wameendelea kumiminika katika ofisi za Taasisi ya Hakimiliki (COSOTA), jana Januari 31, 2022, kuwasilisha taarifa zao za kibenki na…