PSG Yatinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Barcelona Yatupwa Nje
Kylian Mbappe alifunga mara mbili wakati Paris St-Germain ilipoizaba Barcelona na kubadilisha matokeo ya awali na kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa.
PSG ilikuwa nyuma kwa mabao 3-2 baada ya mechi ya mkondo wa kwanza…