Metacha Asalim Amri kwa Chama, Diarra, Yondani
KIPA wa Polisi Tanzania, Metacha Mnata amesema tangu aanze kukaa golini hajawahi kukutana na changamoto kama aliyowahi kupata kutoka kwa aliyekuwa kiungo wa Simba, Clatous Chama.
Metacha alisema Chama alikuwa hatabiriki…