Browsing Category
Championi
Pacome Ajitwisha Mzigo Mzito Ligi ya Mabingwa Afrika
KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua ameweka wazi kuipigania timu yao haswa katika michuano ya kimataifa ili waweze kuvuka hatua waliyopo na kwenda katika hatua ya robo fainali.
Pacome ndani ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu…
Kocha Yanga Afunga Hesabu Ametangaza Maamuzi Mazito
HUKU zikiwa zimesalia siku sita kabla ya kufungwa kwa doirisha dogo la usajili wa timu zilizo chini ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF), Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametangaza kuwa ametumia mashindano ya Kombe la Mapinduzi…
Yanga Yatajiwa Dau La Clatous Chama la Kuvunja Mkataba
KAMA Yanga wapo siriazi kumsajili kiungo mchezeshaji Mzambia, Clatous Chama wapo watoe dau la dola 300,000 (zaidi ya Sh 752 Mil) ili waununue mkataba wake wa mwaka mmoja ambao ameubakisha Simba.
Tetesi zinasema kuwa kiungo huyo,…
Benchikha Aanza Mashine Nne Simba Dirisha Dogo la Usajili msimu huu
RASMI Kocha Mkuu wa Simba raia wa Algeria, Abdelhak Benchikha ameikabidhi Bodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo, majina ya wachezaji wanne anaotaka wasajiliwe katika dirisha dogo la usajili msimu huu.
Hiyo ni katika kuhakikisha…
Kocha wa Simba Aimaliza Yanga Kikubwa mchezo wa Jumapili
WAKIJIANDAA na mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu wa Simba, Robert Olivieira ‘Robertinho’ amechimba mkwara mzito kuwa wametumia uzito wa michezo yao miwili ya AFL, dhidi ya Al Ahly kujiandaa na uzito wa mchezo wa…
Yanga Yashtukia Mtego Wapinzani Wao Al Merrikh Ligi ya Mabingwa Afrika
JANA Jumatano Al Merrikh wametua Dar kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga, Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe, amechimba mkwara mzito kuwa wameshtukia mtego wa wapinzani wao hao.
Jumamosi ya wiki hii kwenye…
Kiungo Afichua Siri Za kocha wake Miguel Gamondi
KIUNGO wa Yanga, Mudathir Yahya amefichukua sababu kubwa iliyopelekea afunge bao pekee katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo ni kutokana na kufuata maelekezo ya kocha wake Miguel Gamondi kabla ya kuingia uwanjani.
Kiungo…
Siri Ya Robertinho Kwa Kibu Denis, Saido Yaanikwa Simba
HATIMAYE siri ya Kocha Mkuu wa Simba, raia wa Brazil, Roberto Oliveira ‘Robertinho’, kupenda kuwatumia wachezaji Kibu Denis pamoja na Said Ntibazonkiza ‘Saido’ ni kutokana na nyota hao kucheza kwa kufuata maelekezo yake bila hata…
Hafidh Konkoni Ashusha Presha ya Mabao Yanga, Azungumza na Championi
MSHAMBULIAJI wa Yanga raia wa Ghana, Hafidh Konkoni amewaondoa wasiwasi mashabiki wa timu hiyo, kwa kutamka sasa hivi yupo fiti na tayari kuifungia mabao timu yake.
Konkoni ni kati ya washambuliaji wanaotegemewa katika kikosi cha timu…
Bernard Morrison Kuishtaki Yanga FIFA, Mtoa Taarifa Afunguka
TAARIFA ambazo Championi Ijumaa zimepata ni kuhusiana na kiungo raia wa Ghana ambaye amepita Yanga na Simba, Bernard Morrison kutaka kwenda tena Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).
Taarifa kutoka kwa mtu wa karibu…
Mshambuliaji Mpya Hafiz Konkoni Amkosha Gamondi Yanga
KOCHA Mkuu wa Yanga, Muargentina, Miguel Gamondi, amemuangalia mshambuliaji wake mpya, Hafiz Konkoni na kutamka kwamba, nyota huyo atakuwa tishio msimu wa 2023/24.
Konkoni amesajiliwa na Yanga kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Mayele…
Fiston Mayele Atua Misri Kifalme Kujiunga na Klabu ya Pyramids
SASA ni rasmi kuwa nyota wa Yanga raia wa DR Congo, Fiston Mayele ameondoka rasmi klabuni hapo kwenda nchini Misri kwa ajili ya kujiunga na Klabu ya Pyramids huku nyuma Yanga nao wamemshusha mbadala wake ambaye ni raia wa Cameroon,…
Yanga Yathibitisha Kumsajili Winga Maxi Nzengeli Kutoka Klabu ya Maniema -Video
Klabu ya Yanga imethibitisha kumsajili Winga Maxi Mpia Nzengeli kutoka klabu ya Maniema Union ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Max Mpia Nzengeli (23) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesaini kandarasi la kuitumikia Young…
Winga Wa Mabao Kimeeleweka Yanga… Kitita cha Sh125Mil Kutolewa
YANGA italazimika kutoa kitita cha Sh 125Mil kwa ajili ya kukamilisha dili la usajili la kiungo mshambuliaji, Nickson Kibabage anayekipiga klabu ya Singida Fountain Gate.
Kiungo ni kati ya wachezaji ambao waliokuwa katika mipango ya…
Kiungo Fundi Wa Pasi Apewa Miaka 2 Yanga, Mtoa Taarifa Afunguka
MUDA wowote Yanga watatangaza kumuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake mchezeshaji, Salum Aboubakari ‘Sure Boy'.
Kiungo huyo alijiunga na Yanga katika msimu uliopita akitokea Azam FC ambayo ilivunja naye mkataba.
Yanga…
Bosi Afunguka Usajili Wa Morrison Azam Baada ya Kuachwa na Yanga
KUFUATIA kuwepo kwa tetesi kuwa Azam wapo kwenye mazungumzo na aliyekuwa kiungo wa Yanga raia wa Ghana, Bernard Morrison, uongozi wa klabu hiyo umeibuka na kuweka wazi kuwa nyota huyo hayuko kwenye mipango yao.
Morrison alitangazwa…
Simba Washtukia Ishu Ya Chama, Wamuita Fasta Kumuongezea Mkataba
MUDA wowote kuanzia leo, Simba itaanza mazugumzo rasmi ya kumuongezea mkataba mwingine wa miaka miwili, kiungo wake mshambuliaji Mzambia, Clatous Chama ya kuendelea kubakia hapo.
Hiyo ni baada ya mkataba wa kiungo huyo kubakia wa…
Mayele: Hawa USM Alger Siwaachi Azungumza na Championi
KUELEKEA mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, straika hatari wa Yanga, Mkongomani, Fiston Mayele amechimba mkwara mzito kuwa licha ya kwamba ni mara ya kwanza kwao kucheza hatua hiyo lakini wanaamini wana nafasi kubwa ya…
Singida BS Jiandaeni… Nabi Ashusha Full Kikosi Cha Caf
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amewaambia wapinzani wake Singida Big Stars kuwa wanalitaka Kombe la FA, hivyo hawatawadharau huku wakipanga kukitumia ‘full’ kikosi wanachokitumia katika Kombe la Shirikisho Afrika ambayo…
Yanga: Nini Mwarabu? Tunalitaka Kombe la Shirikisho Afrika
MARA baada ya kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na kufahamu kuwa watavaana na timu ya USM Alger ya Algeria, uongozi wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga umechimba mkwara mzito kuwa haijalishi ni mpinzani gani wanakutana naye…
Mshambuliaji Wa Simba Afunguka Mazito Baada ya Kupona Amtaja Baleke
MSHAMBULIAJI wa Simba, Moses Phiri amesema kuwa mara baada ya kupona kutoka katika majeraha ambayo yalikuwa yakimsumbua sasa anapambana kuona anapata nafasi na kuisadia Simba kufanya vyema katika michuano mbalimbali.
Phiri ameshindwa…
Mbrazil: Simba Tulieni, Tunaenda Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika
MBRAZIL wa Simba, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ jeuri, ndivyo unavyoweza kusema kwani licha ya kupangwa dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco katika hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ameibuka na kuchimba mkwara mzito kuwa…
Mshambuliaji wa Simba Jean Baleke Hakamatiki, Amkalisha Musonda wa Yanga
USAJILI wa Simba kwa mshambuliaji Mkongomani, Jean Baleke umeonekana kuwa bora zaidi ya straika wa Yanga, Mzambia, Kennedy Musonda.
Hiyo imetokana na kasi na ubora wake wa kufunga mabao tangu Mkongomani huyo ajiunge na Simba katika…
Winga wa TP Mazembe Kinzumbi Ataja Sababu 3 Za Kusaini Yanga
WINGA msumbufu wa TP Mazembe, Phillipe Kinzumbi ameweka wazi kuwa ameamua kukubali kumwaga wino Yanga kutokana na mambo matatu makubwa ambayo yamemvutia ndani ya timu hiyo.
Nyota huyo usajili wake unatajwa kumalizwa na vigogo wa…
Mbrazil Roberto Oliviera ‘Robertinho’ Apitisha Panga Kimya Kimya Simba
KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazil, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amepanga kuwapa nafasi wachezaji wote kwa lengo la kuangalia uwezo wa kila mmoja kabla ya kukabidhi ripoti ya kuwatema baadhi ya mastaa kuelekea msimu ujao.
Bodi ya…
Nabi Afichua Mazito Kipigo Cha Waarabu kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amefunguka kuwa, sababu kubwa iliyopelekea kufanikiwa kuibuka na ushindi dhidi ya Waarabu, US Monastir, ni kutokana na kupata muda wa kutosha kuwasoma wapinzani wake hao.
Nabi ametoa kauli hiyo…
Yanga, Winga Bamako Mambo Safi Wafanya naye Kikao cha Siri
KWA mara ya pili Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nasreddine Nabi amekutana na winga Real Bamako ya nchini Mali, Cheickna Diakite na kufanya naye kikao cha siri.
Jana baada ya mchezo huo, kigogo wa Yanga alimwambia mwandishi wa gazeti…
Yanga Yatamba Kuwapiga Mvua ya Mabao Real Bamako ya Mali Kwa Mkapa
RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said amesema baada ya kubanwa na wenyeji wao, Real Bamako ya Mali kwenye mchezo wa raundi ya tatu ya Kombe la Shirikisho Afrika sasa watahakikisha kwenye mchezo wa marudiano wanawapiga bao za kutosha kama…
Kocha wa Simba Robertinho Mtegoni, Apewa Mechi Tatu Simba
IMEELEZWA kuwa hatma ya Kocha Mkuu wa Simba, Mbrazil Roberto Oliveira ‘Robertinho’ ipo katika michezo miwili ya hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na mmoja wa Ligi Kuu Bara msimu huu.
Simba ina malengo mawili katika msimu…
Mo Dewji Aibuka Aipongeza Yanga Baada ya Kuibuka na Ushindi dhidi ya TP Mazembe
RAIS wa Heshima wa Simba, Bilionea Mohammed Dewji ‘Mo’ ameibuka na kuwapongeza watani wao wa jadi, Yanga ambayo juzi waliibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya TP Mazembe.
Yanga ilipata ushindi huo katika mchezo wa pili wa Kundi D la…
Kocha Mkuu wa Simba, Robert Oliveira ‘Robertinho’ Apewa Faili La Horoya
BAADA ya kurejea nchini akitokea kwao Brazil, Kocha Mkuu wa Simba, Robert Oliveira 'Robertinho' amekabidhiwa faili la wapinzani wao katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Horoya na mabosi wake tayari kwa kuanza kusaka ushindi.…
Kocha wa Simba Atenga Programu ya Siku Mbili kwa Mastaa Akiwemo Baleke, Chama
KIKOSI cha Simba jana Jumanne kilirejea kambini baada ya mapumziko ya siku moja, huku Kocha Mkuu Mbrazili, Robert Olvieira ‘Robertinho’ akitenga programu ya siku mbili sawa na saa 48, kwa mastaa wote akiwemo straika Jean Baleke.…
Kama Noma na Iwe Noma! Azam FC Watuma Maombi Yanga Kumsajili Mayele, Bangala
KAMA noma na iwe noma! Ndivyo utakavyoweza kusema ni baada ya uongozi wa Azam FC kuwaandikia barua Yanga ikiwaomba kukamilisha usajili wa mastaa wake Fiston Mayele na Yannick Bangala.
Hiyo ikiwa ni siku moja ipite tangu Yanga…
Hassan Dilunga Afichua Siri ya Kambi Simba “Ninaikumbuka Familia Yangu”
KIUNGO Hassan Dilunga ambaye kwa sasa anajiuguza majeraha yake, amesema kuwa amekuwa akiwaambia wachezaji wa timu hiyo kupambana kuwapa furaha mashabiki.
Nyota huyo ambaye alijiunga na Simba akitokea Mtibwa Sugar kwa sasa…
Saido Ntibazonkiza Aipania Yanga Kesho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza
GODFATHER wa Bunjumura kiungo wa soka ambaye alipata umaarufu mkubwa akiwa na Klabu ya Yanga, Saido Ntibazonkiza, amefunguka kuwa mechi yao ijayo dhidi ya Yanga, kwake anaitazama kwa umakini mkubwa.
Saido ambaye…
Muziki wa Simba Mpya Usipime, Mo Dewji Hataki Masihara, Heshima Itarudi Msimu Ujao
SIMBA mpya mbona mtapigwa sana! Hiyo ni baada ya Simba kuweka wazi kuwa watafanya usajili ambao utawafanya msimu ujao kufanya vyema mara baada ya msimu huu kuwa mbaya kwao.
Rais wa Heshima, Mohamed Dewji ‘Mo’,…
Simba Yatua Kwa Beki la Kazi Raia wa Cameroon Amecheza LA Galaxy ya Marekani
KLABU ya Simba ipo katika mazungumzo na beki la kazi raia wa Cameroon, Jean Jospin Engola kwa ajili ya kuimarisha ukuta wa timu hiyo kuelekea msimu ujao.
Simba huenda ikaachana na mabeki wake wa kati akiwemo…
Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
iOS : https://apple.co/38HjiCx
Android : http://bit.ly/38Lluc8
Nunua : Gazeti la championi
AU
NUNUA: champion
Kocha Orlando Aihofia Simba kwa Mkapa, Kukutana na Wakati Mgumu wa Mashabiki Elfu 60,000
KOCHA Mkuu wa Orlando Pirates ya Afrika Kusini, Josef Zinnbauer amesema kuwa ubora wa Simba na matokeo mazuri waliyoyapata katika michezo ya Kombe la Shirikisho msimu huu yanawapa mawazo ya kuwatambua kuwa timu hiyo ni imara haswa…
Sure Boy Awachimba Mkwara mzito Azam FC
KIUNGO wa Yanga, Salum Aboubakar ‘Sure Boy’ amewachimba mkwara mabosi wake wa zamani Azam FC kwa kuwaambia kuwa atahakikisha anaipambania timu yake kupata matokeo ya ushindi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajia kupigwa…