×

Habari

Waziri wa Kilimo Zanzibar Apongeza Kasi ya Ujenzi wa Seed Farm na Mabwawa ya Umwagiliaji

Zanzibar. Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Suleiman Masoud Makame, amepongeza kasi ya...

READ MORE

Baraza la Michezo Laibua Jingine Simba! “Serikali Imekamilisha Wajibu Wake” – Video

Dar es Salaam: Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa Katiba ya Klabu ya Simba iliyofanyiwa...

READ MORE

Vodacom Yakabidhi Madarasa Mawili Shule ya Msingi Mahilo Ruvuma

Ruvuma, Agosti 20, 2026 — Vodacom Tanzania Foundation imekabidhi madarasa mawili mapya yaliyojengwa katika Shule ya Msingi Mahilo mkoani Ruvuma,...

READ MORE

Ufaransa Yajibu Iran Yawafukuza Wanadiplomasia Wawili – Video

Ufaransa imetangaza kuwa itawafukuza wanadiplomasia wawili wa Iran kutoka nchini humo katika siku zijazo, hatua inayoongeza mvutano wa kidiplomasia kati...

READ MORE

Msimu Mpya, Vita mpya: Simba na Atletico Madrid Kukiwasha leo

Je unajua kuwa ukiwa na dau dogo, unaweza ukajipatia ushindi mnono?. Basi karibu ujiunge na mabingwa wa ubashiri Tanzania utengeneze...

READ MORE

UAE Yasimamisha Shughuli Zote za Biashara na Iran, Waziri Afunguka

Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kusitisha shughuli zote za kibiashara na kifedha na Iran hadi itakapotangaza vinginevyo, huku...

READ MORE

Rekodi Zambeba Mnyama Simba Dhidi ya Pamba leo

Pamba Jiji FC vs Simba SC ni leo Agosti 19, 2026 Uwanja wa Kirumba rekodi zinambeba mgeni katika mechi 4...

READ MORE

Vieira Apata Kibarua Kipya, Apewa Jukumu la Kuinoa Senegal

  Gwiji wa zamani wa Arsenal, Patrick Vieira, ametangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Senegal, akichukua...

READ MORE

Eastern Fury Yafika Meridianbet, Nguvu Mpya ya Kasino ya Pragmatic Play

Eastern Fury kutoka Pragmatic Play imewasili kwenye kasino mtandaoni ya Meridianbet ikiwa na nguvu mpya kabisa ambayo haikuwahi kushuhudiwa hapo...

READ MORE

Rodri Arejea Hispania, Ajiunga na Barcelona kwa Miaka Minne, Aaga Man City

Mshindi wa Kombe la Dunia akiwa na Hispania, Rodri, amesema yuko tayari kuanza ukurasa mpya wa maisha yake ya soka...

READ MORE

Marekani Yaiwekea Vikwazo ICC, Trump Aongeza Shinikizo kwa Mahakama ya Kimataifa

Serikali ya Marekani imeweka vikwazo dhidi ya Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Tomoko Akane, pamoja na mwanasheria...

READ MORE

Simba Yamtambulisha Rasmi Ibrahim Nindi Akitokea Singida Black Stars

Klabu ya Simba SC imemtambulisha rasmi beki wa kati Ibrahim Nindi kama mchezaji mpya wa kikosi hicho, akirejea Msimbazi baada...

READ MORE

Mfanyabiashara Afichua Siri ya Mafanikio ya Wakinga na Safari Yake ya Utajiri – Video

Mfanyabiashara maarufu nchini, Hosiana Sanga, amefichua baadhi ya misingi anayoiamini kuwa imechangia mafanikio ya Wakinga katika biashara, huku akisimulia safari...

READ MORE

Simba Kuwakosa Nyota Wawili Dhidi Pamba Jiji, CCM Kirumba

Klabu ya Simba SC inayonolewa na Kocha , Steve Barker ina kibarua kizito kukabiliana na Pamba Jiji FC kwenye NBC...

READ MORE

Wabunifu Wataka Utamaduni wa Afrika Uingizwe Kwenye Majengo ya Kisasa

Dar es Salaam. Taasisi ya Utamaduni na Maendeleo Afrika Mashariki (CDEA) imeendelea kuhamasisha matumizi ya urithi wa Afrika katika usanifu...

READ MORE

Trump Aongeza Shinikizo, Ataka Hormuz Kuwa “Eneo Jipya la Marekani”

Rais wa Marekani Donald Trump ameendelea kusisitiza tishio lake la kutaka Marekani ichukue mamlaka Mlango wa Hormuz, njia muhimu ya...

READ MORE

Kocha wa Timu ya Taifa ya Misri Azimia Kisa Wake zake Kuzichapa, Amtwanga Takala Mke

Kocha wa timu ya taifa ya Misri, Hossam Hassan, ameripotiwa kuanguka na kuzimia baada ya wake zake wawili kuingia katika...

READ MORE

Uwekezaji Bandari ya Mtwara Wafungua Fursa za Kiuchumi, Wananchi na Mawakala Waeleza

WAKATI shehena ya mizigo mbalimbali ikiendelea kuongezeka katika Bandari ya Mtwara, wadau wa usafirishaji na wananchi wamesema hali hiyo imefungua...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 19, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Fahamu Majabu 7 Usiyoyajua ya Papai kwa Afya ya Binadamu

PAPAI ni tunda linalopendwa na watu wengi kutokana na ladha yake tamu na faida zake nyingi kiafya. Tunda hili hupatikana...

READ MORE

Fenerbahçe, Lyon Kukutana Katika Vita Ya Kufuzu Ligi ya Mabingwa

Leo usiku, Jumanne Agosti 18, 2026, uwanja wa Şükrü Saraçoğlu utakuwa jukwaa la mojawapo ya mechi kubwa ya msimu wa...

READ MORE

Trump Aitaka Iran Isalimu Amri, Akataa Kuongeza Muda wa Makubaliano

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Iran haitafanya makubaliano anayoyaona kuwa muhimu ili kumaliza vita kati ya Marekani na Iran,...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Rais Félix Tshisekedi Ikulu Ndogo Zanzibar – (Video +Picha)

ZANZIBAR: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amempokea Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...

READ MORE

Moto FIFA: Afisa Mkuu Afungashiwa Virago Baada ya Kumkosoa Infantino

Zurich, Uswisi — Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeingia katika kipindi kigumu cha kisiasa baada ya kumaliza uhusiano wa kikazi...

READ MORE

Al Ahli Tripoli Yamtambulisha Girumugisha, Yanga Yampoteza

Tripoli, Libya — Klabu ya Al Ahli Tripoli ya Libya imemtambulisha rasmi mshambuliaji wa Burundi, Jean Claude Girumugisha, baada ya...

READ MORE

Hichilema Atangazwa Mshindi Uchaguzi wa Urais Zambia

Rais Hakainde Hichilema ametangazwa rasmi mshindi wa uchaguzi wa kiti cha urais wa Zambia  baada ya kupata kura 2,965,326 sawa...

READ MORE

Fazi Cash Quest Yafunguka: Jitahidi Kupanda Kileleni kwa Sehemu ya Milioni 6

Wapenzi wa michezo ya sloti kutoka kasino mtandaoni, safari mpya ya kusaka zawadi imewasili. Fazi Cash Quest kutoka Meridianbet imefungua...

READ MORE

Video: Shigongo Aishukuru Serikali kwa Ujenzi wa Shule Mpya Mizororo

BUCHOSA: Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ameishukuru Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa...

READ MORE

Mkude Ajiunga na Mashujaa Baada ya Mkataba wa Yanga Kumalizika

Klabu ya Mashujaa FC imemtangaza rasmi kiungo wa Tanzania, Jonas “Nungunungu” Mkude (33), kuwa mchezaji wake mpya kwa ajili ya...

READ MORE

Airtel Yaandika Historia kwa Kuzindua Intaneti ya Satelaiti kwa simu DRC

Kinshasa, 17 Agosti 2026: Airtel Africa imeandika historia baada ya kuwa kampuni ya kwanza ya mawasiliano barani Afrika kuzindua kibiashara...

READ MORE

Niffer Afichua Sababu ya Kutoamini Urafiki wa Karibu na Wanawake

Mfanyabiashara maarufu nchini, Jennifer Bilikwija, anayefahamika kwa jina la Niffer, amezua gumzo baada ya kueleza mtazamo wake kuhusu kuwa na...

READ MORE

Washauri wa Kodi na TRA Kuelimisha Haki na Na Wajibu Kwa Walipakodi

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kikodi Ilala imefanya kikao na Washauri wa Kodi ambapo pande hizo mbili zimeeleza...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 18, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mkurugenzi Mkuu wa IOM Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika...

READ MORE

TOL Gases Yatoa Wito Kwa Serikali Kununua Oksijeni Kutoka Sekta Binafsi

SERIKALI imeombwa kuzipa nafasi kampuni zenye uwezo wa kuzalisha gesi ya Okseji ambayo inajukulikana kwa jina la hewa tiba kwa...

READ MORE

Depu Atoa Ujumbe Mzito Akiwaaga Mashabiki wa Yanga

Mshambuliaji wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson “Depu”, ameaga rasmi klabu ya Yanga pamoja na mashabiki wake baada ya kuondoka ...

READ MORE

Jamhuri Yafunga Rasmi Ushahidi Katika Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

Upande wa Jamhuri umefunga rasmi ushahidi wake katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...

READ MORE

Harmonize Aweka Mjengo Wake Hadharani, Mashabiki Wampa Pongezi

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa Konde Music Worldwide, Harmonize, ameibua hisia miongoni mwa mashabiki baada ya...

READ MORE

Mechi Kali Leo: Pisa na Empoli Kwenye Vita ya Kufuzu Raundi Inayofuata

Ligi mbalimbali zimerejea na huu ni msimu wa kutengeneza pesa tuu. Anza safari ya ushindi hapa kwani wengi wametajirika sana....

READ MORE

Trump Aagiza Pentagon Kupunguza Mazoezi ya Kijeshi na Korea Kusini

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameiagiza Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo (Pentagon) kupunguza kwa kiasi kikubwa mazoezi ya pamoja...

READ MORE