×

Habari

Aliondoka Kwenda Mjini Kutafuta Maisha, Kilichotokea Baadaye Ni Majonzi

Siku ambayo Hamisi Mwakalonge aliondoka kijijini kwao, Mbeya Vijijini, mkoani Mbeya, hakuna aliyedhani kwamba safari yake ingegeuka kuwa simulizi ya...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 25, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

JWTZ Kukamilisha Hospitali Yenye Hadhi ya Taifa

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko katika hatua za mwisho za kukamilisha ujenzi wa hospitali yenye hadhi...

READ MORE

Exim Bank yaboresha usalama na elimu Zanzibar kupitia Exim Cares

Benki ya Exim Tanzania kupitia mpango wake wa uwajibikaji kwa jamii (Exim Cares), imeendelea kuboresha maisha ya wananchi Zanzibar kwa...

READ MORE

Elon Musk Apoteza Hadhi ya Utrilionea Baada ya Utajiri Wake Kuporomoka

  Elon Musk si tena trilionea baada ya kushuka kwa bei za hisa za teknolojia duniani kufuta dola bilioni 500 (£bilioni...

READ MORE

Bunge la Seneti Lamkalia Kooni Rais Trump Kuhusu Vita Marekani na Iran

Bunge la Seneti la Marekani linalodhibitiwa na chama cha Republican limeidhinisha mswada ambao utamlazimu Rais wa Marekani Donald Trump kusitisha...

READ MORE

Bosnia Yaiondoa Qatar, Uswizi Yaongoza Kundi B Baada ya Kuifunga Canada

Leo tena viwanja mbalimbali zinaenda kuwaka moto kushuhudia timu zikichuana vikali kupata ushindi. Andaa jamvi lako la ushindi na uberti...

READ MORE

Fahamu Jinsi Stoberi Inavyosaidia Kupunguza Uzito na Kuimarisha Afya

Stoberi (strawberry) ni moja ya matunda maarufu duniani kutokana na ladha yake tamu na faida zake nyingi kiafya. Licha ya...

READ MORE

Manchester United Yapata Eneo la Ujenzi wa Uwanja wa Watu 100,000

Klabu ya Manchester United imepiga hatua kubwa katika mpango wake wa kujenga uwanja mpya wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua...

READ MORE

Familia ya Edgar Lungu Yashinda Rufaa, Mahakama Yaruhusu Azikwe Afrika Kusini

Familia ya rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, imepata ushindi mkubwa wa kisheria baada ya Mahakama Kuu ya Rufaa...

READ MORE

Oman na Iran Wafungua Mazungumzo Kuhusu Uendeshaji wa Mlango wa Hormuz

Oman na Iran zimekubaliana kuendeleza mazungumzo kuhusu mustakabali wa usimamizi wa shughuli za usafiri wa baharini katika Mlango wa Hormuz,...

READ MORE

Netanyahu: Israel Lazima Ijitegemee Kijeshi na Kutengeneza Silaha Zake Yenyewe

DUBAI – Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema kuwa taifa hilo linapaswa kuimarisha sekta yake ya ulinzi na kupunguza...

READ MORE

Kumekucha CDF Cup 2026, Nmb Yaweka Sh Milioni 150

Benki ya NMB imetangaza udhamini wa Sh milioni 150 kufanikisha msimu wa nane wa Mashindano ya Kombe la Mkuu wa...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Afungua Mkutano wa Ujirani Mwema kati ya Tanzania na Msumbiji

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mhe. Peres Magiri, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, leo Juni 23, 2026...

READ MORE

Kijana Akamatwa kwa Tuhuma za Kumuua Baba Yake na Kumfukia Ndani ya Nyumba Dar – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia kijana mmoja aitwaye Juma Ramadhan (21), kwa tuhuma za kumuua...

READ MORE

Iran Yakubali Ukaguzi wa Nyuklia, Trump Atangaza Nafuu ya Vikwazo vya Kiuchumi

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameonya kuwa atachukua hatua zozote atakazoona zinafaa iwapo Iran haitatekeleza makubaliano mapya yaliyofikiwa kati ya...

READ MORE

Video: Jiko la Mkaa Laua Mtoto wa Mwaka Mmoja Manyara, Mama Asimulia

Na Hosea – Manyara Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi minane amefariki dunia huku watu wengine wawili wakinusurika...

READ MORE

Hamisa Mobetto Afunguka Baada ya Kushinda Tuzo Mbili Kubwa

MWANAMITINDO, mjasiriamali na mshawishi wa mitandao ya kijamii, Hamisa Mobetto, ameeleza furaha yake baada ya kuibuka mshindi wa tuzo za...

READ MORE

Video: Rahma Azungumzia Mateso ya Oman, Masoud Atolea Ufafanuzi

Mtanzania Rahma Warioba amefunguka kuhusu changamoto na mateso aliyodai kuyapitia nchini Oman, ambako bado anafanya kazi za ndani. Rahma ameeleza...

READ MORE

Jinsi Lionel Messi Anavyoendelea Kutengeneza Mabilioni Nje ya Uwanja – Picha

Nyota wa soka duniani, Lionel Messi, ameendelea kuthibitisha kuwa mafanikio ya kweli hayaishii uwanjani pekee, bali hujengwa kupitia uwekezaji wa...

READ MORE

Video: Maelfu ya Wananchi Wafurika Kuuaga Mwili wa Kamanda Richard Abwao

Mwili wa aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard George Abwao, umewasili katika...

READ MORE

Iran Yatangaza Kudhibiti Mlango wa Bahari wa Hormuz Baada ya Mazungumzo na Marekani

TEHRAN, Iran – Mkuu wa mazungumzo wa Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesema kuwa Mlango wa Bahari wa Hormuz utasimamiwa na...

READ MORE

Fahamu Siri ya Mbegu za Maboga Zinazobadilisha Afya Yako

Mbegu za maboga ni moja ya vyakula vya asili vinavyopatikana kwa urahisi, lakini mara nyingi hazipewi thamani inayostahili. Licha ya...

READ MORE

Play’n GO na Meridianbet Waungana Kuboresha Burudani ya Kasino Mtandaoni

Meridianbet imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama jukwaa linaloongoza kutoa burudani ya mtandaoni kwa kumleta mtoa huduma mpya, Play’n GO. Hii...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 23, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Airtel Tanzania Yaimarisha Mawasiliano Vijiji Vya Nanyumbu, Pangani, Na Kondoa

Jumla ya vijiji vitatu katika mikoa ya Mtwara, Tanga, na Dodoma vimeanza kunufaika na huduma bora za kidijitali kufuatia hatua...

READ MORE

Mechi ya Moto: Argentina Kukutana na Austria Leo – Kombe la Dunia

Safari ya kuanza kutengeneza ndoto huanza mapema, ambapo kupitia michuano hii mikubwa Duniani ainayoendelea una nafasi nzuri ya kutimiza malengo...

READ MORE

Stanbic Yatoa Shilingi Milioni 20 Kuunga Mkono Kambi za Matibabu na Upasuaji Afrika

Stanbic Bank Tanzania imetoa msaada wa Sh milioni 20 kwa Mpango wa Kambi za Matibabu na Upasuaji wa Jumuiya ya...

READ MORE

Serikali Yachukua Ushauri wa Aziza Sleyum, Miradi 6 Mikubwa ya Barabara Kutekelezwa kwa PPP

Ikiwa ni siku chache tu tangu Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Aziza Sleyum Ally, achangie mjadala...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer Ajiuzulu, Mbio za Kumpata Mrithi Zaanza

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya uwaziri mkuu pamoja na uongozi wa Chama cha Labour,...

READ MORE

Marekani na Iran Zakubaliana Hatua Mpya ya Kusimamisha Vita Lebanon

Mazungumzo ya ngazi ya juu yaliyofanyika nchini Uswisi kwa lengo la kumaliza kabisa vita kati ya Marekani na Iran yamehitimishwa...

READ MORE

Video: Madee Aongoza Msafara wa Wasanii Wakongwe Kumtembelea Saidi Fella

WASANII wakongwe wa muziki wa Bongo Flava wakiongozwa na Madee wamemtembelea aliyekuwa Meneja wa Diamond Platnumz pamoja na Yamoto Band,...

READ MORE

Jennifer Lopez Afichua Alivyopoteza Uoni kwa Muda Baada ya Kufanya Kazi Siku 98 Mfululizo

Jennifer Lopez amefunguka kuhusu moja ya nyakati ngumu zaidi katika maisha yake ya kazi, akieleza jinsi alivyolazimika kukimbizwa hospitalini baada...

READ MORE

Ebitoke Afunguka Posti Iliyozua Taharuki, Asema Polisi Walilazimika Kutoa Tamko – Video

Mwanadada mchekeshaji Ebitoke amefunguka kuhusu ujumbe aliowahi kuuchapisha kwenye mitandao ya kijamii na kuzua taharuki kubwa miongoni mwa wananchi, hali...

READ MORE

Mapinduzi ya Kidigitali Zanzibar! Yas Fiber Yaingia na Bilioni 300

  Zanzibar, Juni 22, 2026 – Yas Fiber Tanzania itawekeza takriban shilingi bilioni 300 kwa kipindi cha miaka 20 ili...

READ MORE

Fahamu Mabilionea 10 Matajiri Zaidi Duniani Mwaka 2026

Dunia inaendelea kushuhudia ukuaji mkubwa wa utajiri wa viongozi wa sekta ya teknolojia, huku orodha ya mabilionea matajiri zaidi mwaka...

READ MORE

King Charles Awakaribisha Prince Harry na Meghan Kukaa Kwenye Makazi ya Kifalme Uingereza

Mfalme wa Uingereza, King Charles III, ameripotiwa kutoa mwaliko kwa mwanawe mdogo, Prince Harry, pamoja na mkewe Meghan Markle na...

READ MORE

Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance Awasili Uswisi Kufanya Mazungumzo na Iran

Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance, amewasili nchini Uswisi kwa mazungumzo muhimu ya amani kati ya Marekani na Iran,...

READ MORE

Fahamu Faida 7 Muhimu za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Juisi ya karoti ni kinywaji chenye virutubisho vingi muhimu kama vitamini, antioxidants na nyuzinyuzi, ambavyo huchangia kuboresha afya kwa ujumla....

READ MORE

Waziri Mkuu wa Italia Akataa Madai ya Trump, Asema Ni Uongo wa Kutungwa

Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni, amemjibu kwa ukali Rais wa Marekani, Donald Trump, baada ya kudai kuwa aliomba kupigwa...

READ MORE