×

Habari

Video: Wachina Wanaodaiwa Kumteka Mwenzao Wafikishwa Mahakamani

Wafanyabiashara Raia wanne wa China, Deng Anqing, Fan Zhong Hua, Zhang Jianjun na Deng Qiang, wamekosa kusomewa mashtaka yao katika...

READ MORE

Trump: Mlango wa Hormuz Kufunguliwa Kikamilifu Ndani ya Siku Mbili

Rais wa Marekani, Donald Trump leo Juni 17, 2026 amesema anatarajia njia muhimu ya usafirishaji wa mafuta duniani, katika mlango...

READ MORE

Muhimbili Yaandika Historia Baada ya Mama Kujifungua Watoto Watano kwa Wakati Mmoja – Video

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeandika historia nyingine baada ya kufanikisha salama uzazi wa watoto watano kwa wakati mmoja kwa...

READ MORE

Real Madrid Yamnasa Bernardo Silva kwa Mkataba wa Miaka Miwili

Klabu ya Real Madrid imethibitisha kumsajili kiungo wa kimataifa wa Ureno, Bernardo Silva, kwa mkataba wa miaka miwili baada ya...

READ MORE

Mbeto Afunguka Athari za Kususia Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa Chadema

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kinadaiwa kuwasaliti waTanzania kwa kususia uchaguzi mkuu uliopita 2025 jambo linalofanya michango ya maoni...

READ MORE

Iran Kupata Uwekezaji wa Trilioni 788 Baada ya Makubaliano na Marekani

Mfuko maalumu wa uwekezaji wa sekta binafsi wenye thamani ya dola bilioni 300 za Marekani (Sawa na Shilingi Trilioni 788.1...

READ MORE

Wafikishwa Mahakamani Kisutu Kwa Tuhuma za Wizi wa Mafuta Ghafi

MSIMAMIZI wa tanki Kassim Kongwa na wenzake, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa shataka la wizi wa lita 2,800 za mafuta ya ghafi...

READ MORE

Tanzania Kupitia Tantrade Yafungua Fursa za Biashara Urusi

Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imeendelea kutangaza bidhaa na huduma za Tanzania katika soko la kimataifa kupitia ushiriki...

READ MORE

Diddy Apunguziwa Kifungo kwa Mara Nyingine, Kuachiwa 2028

Rapa na mfanyabiashara maarufu wa Marekani, Sean ‘Diddy’ Combs, ameongezewa matumaini ya kutoka gerezani mapema zaidi baada ya tarehe yake...

READ MORE

Nafasi Mpya za Kazi Zatangazwa Sekta ya Afya na Utawala

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs imetangaza nafasi 95 za kazi kwa Watanzania...

READ MORE

Trump: Iran Haitaruhusiwa Kumiliki Silaha za Nyuklia, Afunguka Akiwa Ufaransa

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya awali (memorandum of understanding) yanayosisitiza kuwa Iran...

READ MORE

Fahamu Mambo 12 Muhimu Kabla ya Kununua Laptop au PC

Katika zama za sasa, laptop na PC zimekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu kazi, burudani, elimu na mawasiliano yote yanategemea...

READ MORE

Bulaya Aibua Hoja Nzito Kuhusu Matumizi ya Serikali, Atoa Somo la Nidhamu – Video

Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya amesema Tanzania inaweza kufikia lengo la kujitegemea kiuchumi iwapo kutakuwa na nidhamu ya hali...

READ MORE

Fahamu Maajabu 15 Ya Dawa Ya Meno Usiyoyajua

KWA kawaida tunazifahamu dawa za meno na tunatumia majumbani lakini pia zimezoeleka kuitwa kama dawa ya mswaki. Njia kuu moja...

READ MORE

Musukuma Amwomba Rais Mwinyi Kudhibiti Kauli za Kibaguzi kati ya Uzanzibar na Utanganyika – Video

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma amemwomba Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi kuchukua hatua dhidi ya kauli zinazotolewa na...

READ MORE

Brenda Rupia Afafanua Hoja ya Katiba Mpya Nchini “Ni Matakwa ya Wananchi” – Video

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Brenda Rupia amesema kuwa suala la katiba mpya halipaswi kuonekana...

READ MORE

Goal Strike Frenzy: Mchezo Mpya wa Meridianbet Unaotikisa Mashabiki wa Soka

Meridianbet imezindua Goal Strike Frenzy, mchezo mpya unaowaletea mashabiki wa soka burudani ya kiwango kingine. Ukiwa umejaa msisimko wa kandanda...

READ MORE

Makamu wa Rais JD Vance Afichua Masharti Ya Makubaliano na Iran

Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance, amesema Rais wa Marekani, Donald Trump, huenda akayatoa hadharani makubaliano yaliyofikiwa kati ya...

READ MORE

Mwili Goodluck Silayo Kuzikwa Babati leo Baada Ya Kufariki Katika Ajali Dodoma

Mwili wa Meneja wa Mipango na Fedha wa kampuni ya MATI Super Brands Limited, Goodluck Didas Silayo, utaagwa leo Juni...

READ MORE

Ofisi Ya Dkt. Kikwete Yakanusha Kuhusishwa Na Mradi Wa Uwekezaji Wa Ai

Ofisi ya Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, inapinga na kukanusha vikali taarifa ya...

READ MORE

Vitu Muhimu vya Kuzingatia Unaponunua Matairi Mapya ya Gari

Kununua matairi mapya ya gari ni uamuzi muhimu unaogusa moja kwa moja usalama, matumizi ya mafuta, uimara wa gari na...

READ MORE

Mtoto wa Malkia wa Norway Ahukumiwa Miaka 4 Jela kwa Makosa ya Ubakaji

Marius Borg Høiby, mtoto wa miaka 29 wa Malkia wa Norway, Mette-Marit, amehukumiwa kifungo cha miaka minne gerezani baada ya...

READ MORE

Jenerali wa Zamani wa Jeshi la Nigeria Afariki Baada ya Kutekwa

Jeshi la Nigeria limethibitisha kifo cha Meja Jenerali mstaafu Rabe Abubakar, aliyekuwa msemaji wa jeshi kati ya mwaka 2015 na...

READ MORE

Aliyetimuliwa Man Utd Kuwa Kocha Mpya AC Milan ya Italia

Kocha raia wa Ureno, Ruben Amorim, anatarajiwa kuwa kocha mkuu mpya wa klabu ya Italia, AC Milan, baada ya kukubaliana...

READ MORE

Makubaliano Ya Marekani na Iran Yaleta Amani Lebanon, Hezbollah Wafunguka

Kundi la Hezbollah limetangaza kuwa makubaliano yaliyofikiwa kati ya Marekani na Iran ya kumaliza mzozo wa Mashariki ya Kati yamechangia...

READ MORE

Exim na Africarriers Waungana Kurahisisha Umiliki wa Magari Tanzania

Dar es Salaam, Juni 16, 2026 – Benki ya EximTanzania leo imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na kampuni ya Africarriers...

READ MORE

Nmb Yazindua Super App, Elimu ya Fedha Yapewa Kipaumbele

Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya NMB, Ruth Zaipuna (katikati), akiwa na Menejimenti Kuu ya benki hiyo...

READ MORE

Kutoka Marekani: Patricia Asimulia Kifo Kilivyomsogelea – Video

Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Ajuna Ishemo (Patricia), amefunguka kuhusu maisha yake na mtoto wake, akieleza jambo la kushangaza la kiimani...

READ MORE

Mtoto Aliyetekwa kwa Siku 13 Apatikana Katikati ya Hifadhi ya Kitula

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kumpata mtoto Razaki Damas Mwakatundu (5), mwanafunzi wa chekechea katika Shule ya Mwakikome...

READ MORE

Mmoja Akamatwa Kwa Tuhuma Za Mauaji Arusha, Atupa Mwili Kwenye Chemba Ya Maji Taka

Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamshikilia mtu mmoja aitwaye Lameck Jonathan Mlay (30) mfanya usafi na mkazi wa Maji ya...

READ MORE

Watu Sita Wafariki Baada ya Helikopta Mbili Kugongana Angani Brazil

Watu sita wamepoteza maisha baada ya helikopta mbili kugongana zikiwa angani na kisha kuanguka katika eneo la maegesho ya magari...

READ MORE

RC Chalamila Aagiza Gereji Pembezoni mwa Barabara Dar Ziondolewe

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameagiza kuondolewa kwa gereji zote zilizo pembezoni mwa barabara kuu ndani...

READ MORE

Israel Yatangaza Kubaki Lebanon, Syria na Gaza kwa Muda Usiojulikana

Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, amesema majeshi ya nchi hiyo yataendelea kuwepo katika maeneo ya Lebanon, Syria na...

READ MORE

Marekani na Iran Wafikia Makubaliano ya Kumaliza Vita, Hormuz Kufunguliwa Tena – Video

Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya awali ya kumaliza vita vilivyodumu kwa zaidi ya miezi mitatu, hatua inayotarajiwa kuleta nafuu...

READ MORE

Israel Yapinga Makubaliano ya Marekani na Iran, Waziri wa Usalama Afunguka

Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel, Itamar Ben Gvir, ameonyesha wazi kutoridhishwa na makubaliano yaliyofikiwa kati ya Marekani na...

READ MORE

Kampuni ya Ujenzi Yatangaza Nafasi za Kazi kwa Wahandisi Waliosajiliwa

JOB VACANCY – REGISTERED ENGINEERS A reputable construction company is looking for qualified and motivated *Registered Engineers* to join our...

READ MORE

Mama Ntilie Wa Kariakoo Anayetrendi Kujaza Wateja, Afunguka Mazito – Video

Siku chache zilizopita, video ilianza kusambaa mitandaoni ikimuonesha mama lishe mmoja akihudumia wateja wengi waliomzunguka katika eneo la Kariakoo, jijini...

READ MORE

Oryx Yazindua Kituo Kipya Wazo, Yaleta Huduma za Mafuta na Gesi Karibu na Wananchi

KAMPUNI ya Oryx Energies Tanzania imezindua kituo kipya cha mafuta eneo la Wazo jijini Dar es Salaam huku mkakati wake...

READ MORE

Kombe la Dunia Lapamba Moto, Mechi Mbili Kubwa Kuteka Hisia za Mashabiki leo

Nyasi kuwaka moto leo kwenye mechi za michuano mikubwa Duniani ambapo mataifa makubwa uanatarajiwa kushuka dimbani kuoneshana mbavu. Je nani...

READ MORE

Waziri wa TAMISEMI Aielekeza Kampuni ya CRBC Kukamilisha Ujenzi wa Barabara

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ametaka...

READ MORE